• barua pepe
  • Maswali ya Mara kwa Mara
  • Wasiliana Nasi
Mwanza Region

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania
Prime Minister's Office Regional Administration and Local Government
Mkoa wa Mwanza

  • Mwanzo
  • Kuhusu sisi
    • Dira na Mwelekeo
    • Historia ya Mkoa
    • Muundo
  • Wilaya
    • Babati
    • Mbulu
    • Hanang
    • Kiteto
    • Simanjiro
  • Idara
    • Utawala na Rasilimali Watu
    • Planning and Management
    • Fedha na Uhasibu
    • Ukaguzi wa Ndani
    • ununuzi na Ugavi
    • Uchumi na Uzalishaji
    • Miundombinu
    • Serikali za Mitaa
    • Social Welfare
    • Tehama
    • Afya
    • Elimu
    • Maji
  • Machapisho
    • Fomu
    • Miongozo
    • Taratibu
    • Ripoti
  • Investments
    • Investment One
    • Investment Two
    • Investment Three
    • Investment Four
    • Investment Five
  • Kituo cha Habari
    • Habari
    • Matangazo
    • Maktaba ya Picha
    • Sports and Games
    • Hotuba
    • Taarifa Kwa vyombo vya habari
    • Maktaba ya Video

MKANDARASI DARAJA LA MABATINI ATAKIWA KULIKAMILISHA KWA WAKATI

Posted on: April 10th, 2025

MKANDARASI DARAJA LA MABATINI ATAKIWA KULIKAMILISHA KWA WAKATI


Mkuu wa Mkoa wa Mwanza Mhe. Said Mtanda leo Aprili 10, 2025 amekagua ukarabati wa Daraja la Mabatini unaofanywa na kampuni ya Nyanza Roads Work na kumtaka mkandarasi huyo kukamilisha ndani ya muda aliyopewa wa mwaka mmoja.

Akizungumza na mkandarasi huyo pamoja na wananchi katika eneo la ujenzi la Mabatini wilayani Nyamagana, Mhe. Mtanda amesema hatovumilia ucheleweshaji endapo halitakamilika mwishoni mwa mwaka huu.

"Tayari nimesikia mkandarasi umeshalipwa na Serikali fedha za utangulizi Tshs. Milioni 600 na makubaliano ya mkataba ni muda wa mwaka mmoja hivyo nataka kuona Novemba mwaka huu kazi hii iwe imekamilika', amesema Mtanda.

Aidha, amebainisha kuwa eneo hilo ni barabara kuu ya kwenda mikoa ya Mara na Simiyu hivyo hakuna sababu ya kuendelea kuwacheleweshea shughuli za kiuchumi wananchi na amewataka Wakala ya Barabara TANROADS kusimamia kwa karibu kazi hiyo.

Kwa upande wake Meneja wa TANROADS Mkoa wa Mwanza, Mhandisi Paschal Ambroce amesema ukarabati wa daraja hilo umegharimu zaidi ya Tshs bilioni 6.3 na licha ya changamoto ya hali ya hewa hivi sasa ya mvua lakini watahakikisha mkandarasi huyo anafanya kazi hiyo usiku na mchana ili aikamilishe kazi hiyo kwa wakati waliyokubaliana.

"Ukarabati huu umeigharimu miundombinu yetu kuhamishika kazi ambayo imesababisha kuwepo na ukosefu wa maji siku za nyuma lakini hivi sasa hall ya upatikanaji wa huduma ya maji imerejea kama kawaida kasoro maeneo machache ya pembezoni mwa Jiji kutokana na kazi ya kutandaza mabomba inaendelea', Nelly Msuya,Meneja MWAUWASA mkoa wa Mwanza.

Latest Announcements

  • Tangazo la kukutana na Mhe. Mkuu wa Mkoa wa Mwanza kwa shida mbalimbali.

    soma zaidi
  • TANGAZO LA NANENANE TAREHE 8.8.2025

    soma zaidi
  • View More

Habari Mpya

  • SIKU 100 ZA RAIS DKT. SAMIA: UKEREWE YAPATA AJIRA 127
  • RC MTANDA AWASILI WILAYANI UKEREWE KWA ZIARA YA KIKAZI
  • MWANZA YAIMARISHA UTETEZI WA WATU WENYE ULEMAVU
  • SERIKALI YAAHIDI KUENDELEA KUTOA USHIRIKIANO KWA WADAU WA SEKTA YA BIASHARA
  • CHOROKO KWENYE RAMANI YA UCHUMI WA TAIFA
  • soma zaidi

Wasiliana Nasi

Prime Minister's Office Regional Administration and Local Government Mkoa wa Mwanza
Ofisi ya Mkuu wa Mkoa, Mkoa wa Mwanza, 2 Regional Drive
S.L.P: 119, Mwanza.
Simu: 028-2501037
Barua Pepe: ras@mwanza.go.tz
Simu ya Mkononi: 028-2501037
Balewa/Machemba Road Street
S.L.P: S.L.P 1333, Mwanza
Simu: +255 28 250 1375
Barua Pepe: cd@mwanzacc.go.tz
Simu ya Mkononi: 0768520195
Halmashauri ya Manispaa ya Ilemela
S.L.P: S.L.P 735, Mwanza
Simu: + 255 736 200910
Barua Pepe: md@ilemelamc.go.tz
Simu ya Mkononi:
Halmashauri ya Wilaya ya Magu
S.L.P: S.L.P 200, Magu
Simu: 028-2530035/2530003
Barua Pepe: ded@magudc.go.tz
Simu ya Mkononi:

Viunganishi vya Haraka

  • Maswali Yaulizwayo Mara kwa Mara
  • Makusanyo ya Ndani ya Halmashauri za Mkoa wa Mwanza
  • PReM
  • Fomu ya Ugonjwa
  • Opras fomu
  • Miongozo ya mfumo wa bajeti na Mipango
  • FFARS User Guidelines
  • OFISI MTANDAO

Viunganishi Linganishi

  • Tamisemi
  • Utumishi
  • Tovuti Kuu ya Serikali
  • Salary Slips Portal
  • Tovuti ya Sekreatarieti ya Ajira Tanzania
  • Ofisi ya Taifa ya Takwimu Tanzania
  • Tovuti ya Ikulu
  • Idara ya Habari Maelezo
  • Tovuti Rasmi ya Wananchi
  • Tovuti Kuu ya Takwimu Huria

Social Media

  • Like us on Facebook
  • Follow us on Twitter
  • Find us on Youtube
  • Follow us on Instagram

Copyright ©2016 GWF . All rights reserved.

  • Kanusho
  • Sera ya faragha
  • Maswali ya Mara kwa Mara
  • Ramani ya Tovuti