• barua pepe
  • Maswali ya Mara kwa Mara
  • Wasiliana Nasi
Mwanza Region

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania
Prime Minister's Office Regional Administration and Local Government
Mkoa wa Mwanza

  • Mwanzo
  • Kuhusu sisi
    • Dira na Mwelekeo
    • Historia ya Mkoa
    • Muundo
  • Wilaya
    • Babati
    • Mbulu
    • Hanang
    • Kiteto
    • Simanjiro
  • Idara
    • Utawala na Rasilimali Watu
    • Planning and Management
    • Fedha na Uhasibu
    • Ukaguzi wa Ndani
    • ununuzi na Ugavi
    • Uchumi na Uzalishaji
    • Miundombinu
    • Serikali za Mitaa
    • Social Welfare
    • Tehama
    • Afya
    • Elimu
    • Maji
  • Machapisho
    • Fomu
    • Miongozo
    • Taratibu
    • Ripoti
  • Investments
    • Investment One
    • Investment Two
    • Investment Three
    • Investment Four
    • Investment Five
  • Kituo cha Habari
    • Habari
    • Matangazo
    • Maktaba ya Picha
    • Sports and Games
    • Hotuba
    • Taarifa Kwa vyombo vya habari
    • Maktaba ya Video

Mkoa wa Mwanza kujenga Shule mpya za Sekondari 11 na madarasa 983 mwaka huu

Posted on: October 24th, 2022

Jumla ya Shule Mpya 11 na vyumba vya madarasa 983 vinatarajiwa kukamilika Disemba mwaka huu Mkoani Mwanza tayari kwa ajili ya kutumika na wanafunzi wa kidato cha kwanza watakaoanza masomo mwaka 2023.

Afisa Elimu wa Mkoa wa Mwanza Mwalimu Martin Nkwabi akizungumza leo Ofisini kwake na Vyombo vya Habari amesema Mkoa huo umepokea zaidi ya Shs Bilioni 19 ambazo zimeelekezwa kukamilisha ujenzi huo.

"Tangu kuanza mpango wa elimu bure mwaka 2016 Mkoa wa Mwanza umevunja rekodi tangu kupata Uhuru kwa kuwa na idadi ya wanafunzi 105,864 waliohitimu Elimu ya Msingi mwaka huu," amesema Afisa Elimu.

Mwalimu Nkwabi amebainisha kuwa kwenye Halmashauri zote za Mkoa wa Mwanza zinajengwa Shule hizo ambazo kila moja itagharimu Shs Milioni 600 na zingine tayari zimepata usajili.

"Tumejipanga vizuri kwa ajili ya wanafunzi hao hata kama wote watafaulu uwezo wa kusoma katika mazingira bora upo kutokana na mkakati uliopo wa kuboresha sekta ya elimu Mkoani hapa," amesisitiza Nkwabi

Aidha, amesema Mkoa huo umejenga Shule ya kisasa ya Sekondari ya Wasichana Wilayani Magu itakayochukua wanafunzi elfu moja kuanzia kidato cha kwanza hadi cha sita iliyogharimu Shs Bilioni 4 ambayo itakamilika kabla ya Disemba 15 mwaka huu.

Nkwabi ametoa rai kwa Maafisa elimu wote Wilayani kuhakikisha wanasimamia kwa weledi miradi hiyo ya ujenzi kwa kujiridhisha imekuwa na ubora kabla ya kuruhusu malipo kufanyika.

Serikali ya awamu ya Sita  chini ya Rais Samia Suluhu Hassan imetoa fedha  kwa ajili ya ujenzi wa vyumba vya madarasa 8000 nchi nzima.

Latest Announcements

  • Tangazo la kukutana na Mhe. Mkuu wa Mkoa wa Mwanza kwa shida mbalimbali.

    soma zaidi
  • TANGAZO LA NANENANE TAREHE 8.8.2025

    soma zaidi
  • View More

Habari Mpya

  • SIKU 100 ZA RAIS DKT. SAMIA: UKEREWE YAPATA AJIRA 127
  • RC MTANDA AWASILI WILAYANI UKEREWE KWA ZIARA YA KIKAZI
  • MWANZA YAIMARISHA UTETEZI WA WATU WENYE ULEMAVU
  • SERIKALI YAAHIDI KUENDELEA KUTOA USHIRIKIANO KWA WADAU WA SEKTA YA BIASHARA
  • CHOROKO KWENYE RAMANI YA UCHUMI WA TAIFA
  • soma zaidi

Wasiliana Nasi

Prime Minister's Office Regional Administration and Local Government Mkoa wa Mwanza
Ofisi ya Mkuu wa Mkoa, Mkoa wa Mwanza, 2 Regional Drive
S.L.P: 119, Mwanza.
Simu: 028-2501037
Barua Pepe: ras@mwanza.go.tz
Simu ya Mkononi: 028-2501037
Balewa/Machemba Road Street
S.L.P: S.L.P 1333, Mwanza
Simu: +255 28 250 1375
Barua Pepe: cd@mwanzacc.go.tz
Simu ya Mkononi: 0768520195
Halmashauri ya Manispaa ya Ilemela
S.L.P: S.L.P 735, Mwanza
Simu: + 255 736 200910
Barua Pepe: md@ilemelamc.go.tz
Simu ya Mkononi:
Halmashauri ya Wilaya ya Magu
S.L.P: S.L.P 200, Magu
Simu: 028-2530035/2530003
Barua Pepe: ded@magudc.go.tz
Simu ya Mkononi:

Viunganishi vya Haraka

  • Maswali Yaulizwayo Mara kwa Mara
  • Makusanyo ya Ndani ya Halmashauri za Mkoa wa Mwanza
  • PReM
  • Fomu ya Ugonjwa
  • Opras fomu
  • Miongozo ya mfumo wa bajeti na Mipango
  • FFARS User Guidelines
  • OFISI MTANDAO

Viunganishi Linganishi

  • Tamisemi
  • Utumishi
  • Tovuti Kuu ya Serikali
  • Salary Slips Portal
  • Tovuti ya Sekreatarieti ya Ajira Tanzania
  • Ofisi ya Taifa ya Takwimu Tanzania
  • Tovuti ya Ikulu
  • Idara ya Habari Maelezo
  • Tovuti Rasmi ya Wananchi
  • Tovuti Kuu ya Takwimu Huria

Social Media

  • Like us on Facebook
  • Follow us on Twitter
  • Find us on Youtube
  • Follow us on Instagram

Copyright ©2016 GWF . All rights reserved.

  • Kanusho
  • Sera ya faragha
  • Maswali ya Mara kwa Mara
  • Ramani ya Tovuti