• barua pepe
  • Maswali ya Mara kwa Mara
  • Wasiliana Nasi
Mwanza Region

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania
Prime Minister's Office Regional Administration and Local Government
Mkoa wa Mwanza

  • Mwanzo
  • Kuhusu sisi
    • Dira na Mwelekeo
    • Historia ya Mkoa
    • Muundo
  • Wilaya
    • Babati
    • Mbulu
    • Hanang
    • Kiteto
    • Simanjiro
  • Idara
    • Utawala na Rasilimali Watu
    • Planning and Management
    • Fedha na Uhasibu
    • Ukaguzi wa Ndani
    • ununuzi na Ugavi
    • Uchumi na Uzalishaji
    • Miundombinu
    • Serikali za Mitaa
    • Social Welfare
    • Tehama
    • Afya
    • Elimu
    • Maji
  • Machapisho
    • Fomu
    • Miongozo
    • Taratibu
    • Ripoti
  • Investments
    • Investment One
    • Investment Two
    • Investment Three
    • Investment Four
    • Investment Five
  • Kituo cha Habari
    • Habari
    • Matangazo
    • Maktaba ya Picha
    • Sports and Games
    • Hotuba
    • Taarifa Kwa vyombo vya habari
    • Maktaba ya Video

MWANZA YAPOKEA MWENGE WA UHURU, KUKIMBIZWA KWENYE MIRADI YENYE THAMANI YA ZAIDI YA BILIONI 21

Posted on: July 13th, 2023

MWANZA YAPOKEA MWENGE WA UHURU, KUKIMBIZWA KWENYE MIRADI YENYE THAMANI YA ZAIDI YA BILIONI 21


Leo Julai 13, 2023 Mkoa wa Mwanza umepokea Mwenge wa Uhuru kwenye Kijiji cha Muluseni wilayani Ukerewe ukitokea Mkoani Mara ambapo unatarajiwa kukimbizwa kwa takribani Siku 8 kwa umbali wa Kilomita 813.4 nchi kavu na majini.

Akipokea Mwenge huo, Mkuu wa Mkoa wa Mwanza Mhe. CPA Amos Makalla amesema ukiwa Mkoani humo unatarajiwa  ambapo ukiwa Mkoani humo unatarajiwa kukimbizwa kwenye miradi 51 yenye thamani ya zaidi ya Bilioni 21.

Mhe. Makalla amesema Mwenge wa Uhuru Mkoani humo unatarajiwa kuweka Mawe ya Msingi kwenye miradi 17 yenye zaidi ya Bilioni 13.7, kufungua 9 ya zaidi ya Bilioni 3.5, kuzindua 15 kwa Bilioni 3.1 huku ukitarajiwa kutembelea miradi 10 iliyogharimu Milioni 609.2.

CPA. Makalla ameongeza kuwa, kwa mwaka 2022 Mwenge wa Uhuru Mkoani Mwanza ulitembelea jumla ya Miradi 52 yenye thamani ya Bilioni 18.7 na kwamba kwa mwaka 2023 Mwenge huo utatembelea Miradi 05 iliyowekewa mawe ya Msingi mwaka jana kwa ajili ya kuifungua.

Kiongozi wa Mbio za Mwenge wa Uhuru Ndugu Abdalla Shaib Kaim ameomba ushirikiano kwa Mkoa wa Mwanza hususani usahihi wa taarifa za miradi na nyaraka ili kufanikisha mbio za Mwenge huo kwa mwaka 2023.

Wakati huohuo, Mhe. Mkuu wa Mkoa amemkabidhi Mwenge wa Uhuru Mkuu wa Wilaya ya Ukerewe Mhe. Hassan Bomboko kwa ajili ya kuukimbiza kwenye miradi 6 ya wilaya hiyo kwa siku ya kwanza ya tarehe 13, Julai, 2023.

  1. Kaulimbiu ya Mbio za Mwenge wa Uhuru 2023 inasema "Tunza Mazingira, Okoa vyanzo vya Maji kwa Ustawi wa viumbe hai kwa Uchumi wa Taifa."

Latest Announcements

  • Tangazo la kukutana na Mhe. Mkuu wa Mkoa wa Mwanza kwa shida mbalimbali.

    soma zaidi
  • TANGAZO LA NANENANE TAREHE 8.8.2025

    soma zaidi
  • View More

Habari Mpya

  • SIKU 100 ZA RAIS DKT. SAMIA: UKEREWE YAPATA AJIRA 127
  • RC MTANDA AWASILI WILAYANI UKEREWE KWA ZIARA YA KIKAZI
  • MWANZA YAIMARISHA UTETEZI WA WATU WENYE ULEMAVU
  • SERIKALI YAAHIDI KUENDELEA KUTOA USHIRIKIANO KWA WADAU WA SEKTA YA BIASHARA
  • CHOROKO KWENYE RAMANI YA UCHUMI WA TAIFA
  • soma zaidi

Wasiliana Nasi

Prime Minister's Office Regional Administration and Local Government Mkoa wa Mwanza
Ofisi ya Mkuu wa Mkoa, Mkoa wa Mwanza, 2 Regional Drive
S.L.P: 119, Mwanza.
Simu: 028-2501037
Barua Pepe: ras@mwanza.go.tz
Simu ya Mkononi: 028-2501037
Balewa/Machemba Road Street
S.L.P: S.L.P 1333, Mwanza
Simu: +255 28 250 1375
Barua Pepe: cd@mwanzacc.go.tz
Simu ya Mkononi: 0768520195
Halmashauri ya Manispaa ya Ilemela
S.L.P: S.L.P 735, Mwanza
Simu: + 255 736 200910
Barua Pepe: md@ilemelamc.go.tz
Simu ya Mkononi:
Halmashauri ya Wilaya ya Magu
S.L.P: S.L.P 200, Magu
Simu: 028-2530035/2530003
Barua Pepe: ded@magudc.go.tz
Simu ya Mkononi:

Viunganishi vya Haraka

  • Maswali Yaulizwayo Mara kwa Mara
  • Makusanyo ya Ndani ya Halmashauri za Mkoa wa Mwanza
  • PReM
  • Fomu ya Ugonjwa
  • Opras fomu
  • Miongozo ya mfumo wa bajeti na Mipango
  • FFARS User Guidelines
  • OFISI MTANDAO

Viunganishi Linganishi

  • Tamisemi
  • Utumishi
  • Tovuti Kuu ya Serikali
  • Salary Slips Portal
  • Tovuti ya Sekreatarieti ya Ajira Tanzania
  • Ofisi ya Taifa ya Takwimu Tanzania
  • Tovuti ya Ikulu
  • Idara ya Habari Maelezo
  • Tovuti Rasmi ya Wananchi
  • Tovuti Kuu ya Takwimu Huria

Social Media

  • Like us on Facebook
  • Follow us on Twitter
  • Find us on Youtube
  • Follow us on Instagram

Copyright ©2016 GWF . All rights reserved.

  • Kanusho
  • Sera ya faragha
  • Maswali ya Mara kwa Mara
  • Ramani ya Tovuti