• barua pepe
  • Maswali ya Mara kwa Mara
  • Wasiliana Nasi
Mwanza Region

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania
Prime Minister's Office Regional Administration and Local Government
Mkoa wa Mwanza

  • Mwanzo
  • Kuhusu sisi
    • Dira na Mwelekeo
    • Historia ya Mkoa
    • Muundo
  • Wilaya
    • Babati
    • Mbulu
    • Hanang
    • Kiteto
    • Simanjiro
  • Idara
    • Utawala na Rasilimali Watu
    • Planning and Management
    • Fedha na Uhasibu
    • Ukaguzi wa Ndani
    • ununuzi na Ugavi
    • Uchumi na Uzalishaji
    • Miundombinu
    • Serikali za Mitaa
    • Social Welfare
    • Tehama
    • Afya
    • Elimu
    • Maji
  • Machapisho
    • Fomu
    • Miongozo
    • Taratibu
    • Ripoti
  • Investments
    • Investment One
    • Investment Two
    • Investment Three
    • Investment Four
    • Investment Five
  • Kituo cha Habari
    • Habari
    • Matangazo
    • Maktaba ya Picha
    • Sports and Games
    • Hotuba
    • Taarifa Kwa vyombo vya habari
    • Maktaba ya Video

Mwanza Yazindua Kampeni ya Uzazi Salama

Posted on: April 2nd, 2019

Wizara ya Afya kwa kushirikiana na wadau mbalimbali wa Afya na Ustawi wa Jamii Mkoani Mwanza wamezindua Kampeni   ya Uzazi Salama ijulikanayo kama "Jiongeze Tuwavushe Salama".

Kampeni hiyo imezinduliwa na Mkuu wa Mkoa wa Mwanza Mhe.John Mongella ikiwa na kauli mbiu ya "Kila mmoja wetu anao wajibu wa kuzuia vifo vitokanavyo na uzazi.Maneno basi, sasa vitendo."

Akiongea katika uzinduzi huo Mhe.Mongella amesema vifo hivyo vinaepukika hivyo jamii ina jukumu kwa kuhakikisha inatambua dalili hatarishi na kuwasaidia wazazi na watoto wachanga.

"Katika kuhakikisha kuwa Vifo hivi vinapungua Serikali ya awamu ya  tano ya Mhe. Dkt.John Magufuli imejenga vituo vya afya 352 Nchi nzima na kuongeza upatikanaji wa dawa ili kusaidia wazazi na kiwavusha salama," aliaema Mongella.

Naye Katibu Tawala Msaidizi kwa upande wa Afya Dkt.Thomas Rutachunzibwa amesema kampeni hii  ina maana kuwa viongozi mbalimbali wakitumika  ipasavyo watachangia kumvusha mzazi salama na haipaswi kuachiwa wadau wa afya pekee.

"Swala la vifo bado ni tatizo tusiwaachie wadau wa afya pekee tubadirishe mtazamo kuhusiana na vifo vya wazazi na watoto wachanga kila mdau ana wajibu wa kumvusha mzazi  salama,"  alisema Dkt. Rutachunzibwa.

Aidha Katibu Tawala Mkoa wa Mwanza Christopher Kadio amesisitiza kuhusu Afya ya uzazi na kumtaka kila kiongozi kuwajibika katika kufanikisha Kampeni hii ya kumvusha mzazi  salama, hii inaweza kufanyika katika ngazi mbalimbali katika maeneo yetu ya kazi.

"Sisi tuliopo humu ndani tujiulize, umefanya nini katika kupunguza vifo vya wazazi na watoto wachanga hasa katika maeneo tuliyopo?" Alisema Kadio.


Mkoa wa Mwanza ni Mkoa wa nne kutekeleza uzinduzi wa kampeni hii ambayo Makamu wa Rais Mhe. Samia Suluhu Hassan aliizindua Kitaifa mwaka 2018 kwa lengo la kutokomeza kabisa vifo vya akina mama na watoto wachanga kwa kujiongeza na kuwavusha salama.

Latest Announcements

  • Tangazo la kukutana na Mhe. Mkuu wa Mkoa wa Mwanza kwa shida mbalimbali.

    soma zaidi
  • TANGAZO LA NANENANE TAREHE 8.8.2025

    soma zaidi
  • View More

Habari Mpya

  • SIKU 100 ZA RAIS DKT. SAMIA: UKEREWE YAPATA AJIRA 127
  • RC MTANDA AWASILI WILAYANI UKEREWE KWA ZIARA YA KIKAZI
  • MWANZA YAIMARISHA UTETEZI WA WATU WENYE ULEMAVU
  • SERIKALI YAAHIDI KUENDELEA KUTOA USHIRIKIANO KWA WADAU WA SEKTA YA BIASHARA
  • CHOROKO KWENYE RAMANI YA UCHUMI WA TAIFA
  • soma zaidi

Wasiliana Nasi

Prime Minister's Office Regional Administration and Local Government Mkoa wa Mwanza
Ofisi ya Mkuu wa Mkoa, Mkoa wa Mwanza, 2 Regional Drive
S.L.P: 119, Mwanza.
Simu: 028-2501037
Barua Pepe: ras@mwanza.go.tz
Simu ya Mkononi: 028-2501037
Balewa/Machemba Road Street
S.L.P: S.L.P 1333, Mwanza
Simu: +255 28 250 1375
Barua Pepe: cd@mwanzacc.go.tz
Simu ya Mkononi: 0768520195
Halmashauri ya Manispaa ya Ilemela
S.L.P: S.L.P 735, Mwanza
Simu: + 255 736 200910
Barua Pepe: md@ilemelamc.go.tz
Simu ya Mkononi:
Halmashauri ya Wilaya ya Magu
S.L.P: S.L.P 200, Magu
Simu: 028-2530035/2530003
Barua Pepe: ded@magudc.go.tz
Simu ya Mkononi:

Viunganishi vya Haraka

  • Maswali Yaulizwayo Mara kwa Mara
  • Makusanyo ya Ndani ya Halmashauri za Mkoa wa Mwanza
  • PReM
  • Fomu ya Ugonjwa
  • Opras fomu
  • Miongozo ya mfumo wa bajeti na Mipango
  • FFARS User Guidelines
  • OFISI MTANDAO

Viunganishi Linganishi

  • Tamisemi
  • Utumishi
  • Tovuti Kuu ya Serikali
  • Salary Slips Portal
  • Tovuti ya Sekreatarieti ya Ajira Tanzania
  • Ofisi ya Taifa ya Takwimu Tanzania
  • Tovuti ya Ikulu
  • Idara ya Habari Maelezo
  • Tovuti Rasmi ya Wananchi
  • Tovuti Kuu ya Takwimu Huria

Social Media

  • Like us on Facebook
  • Follow us on Twitter
  • Find us on Youtube
  • Follow us on Instagram

Copyright ©2016 GWF . All rights reserved.

  • Kanusho
  • Sera ya faragha
  • Maswali ya Mara kwa Mara
  • Ramani ya Tovuti