• barua pepe
  • Maswali ya Mara kwa Mara
  • Wasiliana Nasi
Mwanza Region

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania
Prime Minister's Office Regional Administration and Local Government
Mkoa wa Mwanza

  • Mwanzo
  • Kuhusu sisi
    • Dira na Mwelekeo
    • Historia ya Mkoa
    • Muundo
  • Wilaya
    • Babati
    • Mbulu
    • Hanang
    • Kiteto
    • Simanjiro
  • Idara
    • Utawala na Rasilimali Watu
    • Planning and Management
    • Fedha na Uhasibu
    • Ukaguzi wa Ndani
    • ununuzi na Ugavi
    • Uchumi na Uzalishaji
    • Miundombinu
    • Serikali za Mitaa
    • Social Welfare
    • Tehama
    • Afya
    • Elimu
    • Maji
  • Machapisho
    • Fomu
    • Miongozo
    • Taratibu
    • Ripoti
  • Investments
    • Investment One
    • Investment Two
    • Investment Three
    • Investment Four
    • Investment Five
  • Kituo cha Habari
    • Habari
    • Matangazo
    • Maktaba ya Picha
    • Sports and Games
    • Hotuba
    • Taarifa Kwa vyombo vya habari
    • Maktaba ya Video

NAWAPONGEZA TMFD KWA KUCHAGUA KULIFANYIA KAZI ENEO LA UCHUMI WA BLUU: RC MTANDA

Posted on: April 9th, 2024

NAWAPONGEZA TMFD KWA KUCHAGUA KULIFANYIA KAZI ENEO LA UCHUMI WA BLUU: RC MTANDA


Mkuu wa Mkoa wa Mwanza Mhe. Said Mtanda amekipongeza Chama cha Waandishi wa habari kuendeleza shughuli za bahari na uvuvi Tanzania TMFD kwa kuchagua kulifanyia kazi eneo hilo ambalo Serikali imelitengea shs bilioni 60 ili kuhakikisha sekta hiyo inakuwa na tija.

Akizungumza Jumatatu hii kwenye kongamano la chama hicho lililofanyika kwenye ukumbi wa Mkutano Mwanza Hotel, Mkuu huyo wa mkoa amebainisha uamuzi wa kufanyia kazi eneo la uvuvi utachangia kuzidi kuimarika kwenye sekta hiyo na kuongezeka kwa ajira.

"Kwa kutambua umuhimu wa sekta ya uvuvi Rais Samia ametoa shs bilioni 60 ambazo zimelenga kufanyika uvuvi wa kisasa ukiwemo ufugaji wa samaki kwa vizimba na boti za kisasa za uvuvi,sasa kalamu yenu imeongeza tija kwani mtafanya utafiti wa kina katika habari zenu na Serikali kuufanyia kazi,"Mhe.Mtanda.

Mkuu huyo wa mkoa amesema shughuli ya chama hicho itaunufaisha sana mkoa wa Mwanza ambao asilimia 53 ni maji ya ziwa Victoria,hivyo idadi kubwa wanaojishughulisha na uvuvi watafanya kazi zao kisasa zaidi.

"Mlichokifanya kwenye kongamano hilo ni kuishi kwenye maono ya Rais Samia ya kutoa fursa kupitia uchumi wa bluu,hatua hii ni jitihada nzuri za kumuunga mkono kiongozi wetu ambaye anataka kuona maendeleo ya kasi kwa wananchi.

Kwa upande wake mkurugenzi wa chama hicho Edwin Soko amesema wana mwaka mmoja na nusu tangu waanze shughuli zao lakini wanazidi kupata matokeo chanya kutokana na kuungwa mkono na Taasisi za Serikali na zisizo za Kiserikali.

"Mhe Mkuu wa mkoa katika kuhakikisha tunafanya shughuli zetu kwa uhakika tuna utaratibu wa kuwajengea uwezo waandishi wetu na kutoa tuzo kwa wale wanaofanya vizuri,"

Sekta ya uvuvi kwa Mkoa wa Mwanza inachangia pato la mkoa kwa asilimia 7 wakati Taifa inachangia asilimia 1.8

Latest Announcements

  • Tangazo la kukutana na Mhe. Mkuu wa Mkoa wa Mwanza kwa shida mbalimbali.

    soma zaidi
  • TANGAZO LA NANENANE TAREHE 8.8.2025

    soma zaidi
  • View More

Habari Mpya

  • SIKU 100 ZA RAIS DKT. SAMIA: UKEREWE YAPATA AJIRA 127
  • RC MTANDA AWASILI WILAYANI UKEREWE KWA ZIARA YA KIKAZI
  • MWANZA YAIMARISHA UTETEZI WA WATU WENYE ULEMAVU
  • SERIKALI YAAHIDI KUENDELEA KUTOA USHIRIKIANO KWA WADAU WA SEKTA YA BIASHARA
  • CHOROKO KWENYE RAMANI YA UCHUMI WA TAIFA
  • soma zaidi

Wasiliana Nasi

Prime Minister's Office Regional Administration and Local Government Mkoa wa Mwanza
Ofisi ya Mkuu wa Mkoa, Mkoa wa Mwanza, 2 Regional Drive
S.L.P: 119, Mwanza.
Simu: 028-2501037
Barua Pepe: ras@mwanza.go.tz
Simu ya Mkononi: 028-2501037
Balewa/Machemba Road Street
S.L.P: S.L.P 1333, Mwanza
Simu: +255 28 250 1375
Barua Pepe: cd@mwanzacc.go.tz
Simu ya Mkononi: 0768520195
Halmashauri ya Manispaa ya Ilemela
S.L.P: S.L.P 735, Mwanza
Simu: + 255 736 200910
Barua Pepe: md@ilemelamc.go.tz
Simu ya Mkononi:
Halmashauri ya Wilaya ya Magu
S.L.P: S.L.P 200, Magu
Simu: 028-2530035/2530003
Barua Pepe: ded@magudc.go.tz
Simu ya Mkononi:

Viunganishi vya Haraka

  • Maswali Yaulizwayo Mara kwa Mara
  • Makusanyo ya Ndani ya Halmashauri za Mkoa wa Mwanza
  • PReM
  • Fomu ya Ugonjwa
  • Opras fomu
  • Miongozo ya mfumo wa bajeti na Mipango
  • FFARS User Guidelines
  • OFISI MTANDAO

Viunganishi Linganishi

  • Tamisemi
  • Utumishi
  • Tovuti Kuu ya Serikali
  • Salary Slips Portal
  • Tovuti ya Sekreatarieti ya Ajira Tanzania
  • Ofisi ya Taifa ya Takwimu Tanzania
  • Tovuti ya Ikulu
  • Idara ya Habari Maelezo
  • Tovuti Rasmi ya Wananchi
  • Tovuti Kuu ya Takwimu Huria

Social Media

  • Like us on Facebook
  • Follow us on Twitter
  • Find us on Youtube
  • Follow us on Instagram

Copyright ©2016 GWF . All rights reserved.

  • Kanusho
  • Sera ya faragha
  • Maswali ya Mara kwa Mara
  • Ramani ya Tovuti