• barua pepe
  • Maswali ya Mara kwa Mara
  • Wasiliana Nasi
Mwanza Region

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania
Prime Minister's Office Regional Administration and Local Government
Mkoa wa Mwanza

  • Mwanzo
  • Kuhusu sisi
    • Dira na Mwelekeo
    • Historia ya Mkoa
    • Muundo
  • Wilaya
    • Babati
    • Mbulu
    • Hanang
    • Kiteto
    • Simanjiro
  • Idara
    • Utawala na Rasilimali Watu
    • Planning and Management
    • Fedha na Uhasibu
    • Ukaguzi wa Ndani
    • ununuzi na Ugavi
    • Uchumi na Uzalishaji
    • Miundombinu
    • Serikali za Mitaa
    • Social Welfare
    • Tehama
    • Afya
    • Elimu
    • Maji
  • Machapisho
    • Fomu
    • Miongozo
    • Taratibu
    • Ripoti
  • Investments
    • Investment One
    • Investment Two
    • Investment Three
    • Investment Four
    • Investment Five
  • Kituo cha Habari
    • Habari
    • Matangazo
    • Maktaba ya Picha
    • Sports and Games
    • Hotuba
    • Taarifa Kwa vyombo vya habari
    • Maktaba ya Video

N.C.U JENGENI NIDHAMU YA MATUMIZI YA FEDHA MLIZO REJESHEWA NA SERIKALI: RC MTANDA

Posted on: April 8th, 2024

N.C.U JENGENI NIDHAMU YA MATUMIZI YA FEDHA MLIZO REJESHEWA NA SERIKALI: RC MTANDA


Mkuu wa Mkoa wa Mwanza Mhe. Said Mtanda leo Aprili 8, 2024 amewakabidhi rasmi uongozi wa chama cha Ushirika Nyanza akaunti yao Maalum maarufu kama ESCROW iliyo na zaidi ya shs bilioni 1 na kuwataka kufanya matumizi sahihi na yenye tija ya kuendeleza chama hicho.

Akizungumza katika hafla fupi iliyofanyika kwenye ukumbi wa Ofisi ya mkuu wa Mkoa, Mtanda amesema Serikali imekuwa na nia njema tangu ilipozuia matumizi ya fedha hizo mwaka 2018 na sasa baada ya kukamilika kwa mifumo ya usimamizi imezirejesha.

"Naomba niwe mkweli katika hili sitasita kuchukua hatua kali nitakapo baini kuna ubabaishaji wa matumizi ya fedha hizi,ni lazima kuwepo na mpango kazi wa matumizi yanayo lenga kukiinua chama hiki kikongwe",mkuu wa mkoa.

Amesema Serikali ya Rais Samia ina maono ya N.C.U inazidi kuwa chombo madhubuti cha kiuchumi hasa kutokana na wingi wa mali zake vikiwemo viwanda.

Naibu Mrajisi wa vyama vya Ushirika nchini Bw. Collins Nyakunga ameishukuru Serikali kwa kuitikia ombi la kurejeshewa akaunti hiyo na kuonesha imani kwa uongozi wa Nyanza kuja na mikakati madhubuti yenye kuleta mageuzi chanya ya kiuchumi.

"Mhe.mkuu wa mkoa Ofisi ya Mrajisi wa vyama vya Ushirika itaendelea kuwa karibu na N.C.U kuhakikisha kunakuwa na usahihi wa matumizi ya fedha hizi na tutasaidia kuwepo na ubunifu wa mipango ya kiuchumi,"Naibu Mrajisi

Mwenyekiti wa bodi ya chama cha Ushirika Nyanza,Benjamini Mikomangwa baada ya mali zote zilizouzwa kinyume na utaratibu kurejeshewa,ni wajibu wao sasa kuweka mipango yenye tija kwa chama hicho.

Tangu Serikali kuzuia matumizi ya akaunti ya chama hicho mwaka 2018 kwa muda wote huo ilikuwa chini ya usimamizi wa Ofisi ya mkuu wa mkoa wa Mwanza.

Latest Announcements

  • Tangazo la kukutana na Mhe. Mkuu wa Mkoa wa Mwanza kwa shida mbalimbali.

    soma zaidi
  • TANGAZO LA NANENANE TAREHE 8.8.2025

    soma zaidi
  • View More

Habari Mpya

  • SIKU 100 ZA RAIS DKT. SAMIA: UKEREWE YAPATA AJIRA 127
  • RC MTANDA AWASILI WILAYANI UKEREWE KWA ZIARA YA KIKAZI
  • MWANZA YAIMARISHA UTETEZI WA WATU WENYE ULEMAVU
  • SERIKALI YAAHIDI KUENDELEA KUTOA USHIRIKIANO KWA WADAU WA SEKTA YA BIASHARA
  • CHOROKO KWENYE RAMANI YA UCHUMI WA TAIFA
  • soma zaidi

Wasiliana Nasi

Prime Minister's Office Regional Administration and Local Government Mkoa wa Mwanza
Ofisi ya Mkuu wa Mkoa, Mkoa wa Mwanza, 2 Regional Drive
S.L.P: 119, Mwanza.
Simu: 028-2501037
Barua Pepe: ras@mwanza.go.tz
Simu ya Mkononi: 028-2501037
Balewa/Machemba Road Street
S.L.P: S.L.P 1333, Mwanza
Simu: +255 28 250 1375
Barua Pepe: cd@mwanzacc.go.tz
Simu ya Mkononi: 0768520195
Halmashauri ya Manispaa ya Ilemela
S.L.P: S.L.P 735, Mwanza
Simu: + 255 736 200910
Barua Pepe: md@ilemelamc.go.tz
Simu ya Mkononi:
Halmashauri ya Wilaya ya Magu
S.L.P: S.L.P 200, Magu
Simu: 028-2530035/2530003
Barua Pepe: ded@magudc.go.tz
Simu ya Mkononi:

Viunganishi vya Haraka

  • Maswali Yaulizwayo Mara kwa Mara
  • Makusanyo ya Ndani ya Halmashauri za Mkoa wa Mwanza
  • PReM
  • Fomu ya Ugonjwa
  • Opras fomu
  • Miongozo ya mfumo wa bajeti na Mipango
  • FFARS User Guidelines
  • OFISI MTANDAO

Viunganishi Linganishi

  • Tamisemi
  • Utumishi
  • Tovuti Kuu ya Serikali
  • Salary Slips Portal
  • Tovuti ya Sekreatarieti ya Ajira Tanzania
  • Ofisi ya Taifa ya Takwimu Tanzania
  • Tovuti ya Ikulu
  • Idara ya Habari Maelezo
  • Tovuti Rasmi ya Wananchi
  • Tovuti Kuu ya Takwimu Huria

Social Media

  • Like us on Facebook
  • Follow us on Twitter
  • Find us on Youtube
  • Follow us on Instagram

Copyright ©2016 GWF . All rights reserved.

  • Kanusho
  • Sera ya faragha
  • Maswali ya Mara kwa Mara
  • Ramani ya Tovuti