• barua pepe
  • Maswali ya Mara kwa Mara
  • Wasiliana Nasi
Mwanza Region

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania
Prime Minister's Office Regional Administration and Local Government
Mkoa wa Mwanza

  • Mwanzo
  • Kuhusu sisi
    • Dira na Mwelekeo
    • Historia ya Mkoa
    • Muundo
  • Wilaya
    • Babati
    • Mbulu
    • Hanang
    • Kiteto
    • Simanjiro
  • Idara
    • Utawala na Rasilimali Watu
    • Planning and Management
    • Fedha na Uhasibu
    • Ukaguzi wa Ndani
    • ununuzi na Ugavi
    • Uchumi na Uzalishaji
    • Miundombinu
    • Serikali za Mitaa
    • Social Welfare
    • Tehama
    • Afya
    • Elimu
    • Maji
  • Machapisho
    • Fomu
    • Miongozo
    • Taratibu
    • Ripoti
  • Investments
    • Investment One
    • Investment Two
    • Investment Three
    • Investment Four
    • Investment Five
  • Kituo cha Habari
    • Habari
    • Matangazo
    • Maktaba ya Picha
    • Sports and Games
    • Hotuba
    • Taarifa Kwa vyombo vya habari
    • Maktaba ya Video

RAIS SAMIA ATOA BILIONI 18 UPANUZI WA BANDARI MWANZA : RC MAKALLA

Posted on: January 19th, 2024

RAIS SAMIA ATOA BILIONI 18 UPANUZI WA BANDARI MWANZA : RC MAKALLA


*Gati ya Kuegesha Meli kubwa ikiwemo MV Mwanza kujengwa*


*Aridhishwa na Ujenzi ataka Kasi iendane na Meli kutia nanga Mwezi Mei*


Mkuu wa Mkoa wa Mwanza Mhe. CPA Amos Makalla amemshukuru Rais Samia kwa kutoa zaidi ya Bilioni 18 kwa ajili ya upanuzi wa bandari ya Mwanza Kaskazini ambao unahusisha ujenzi wa jengo la abiria pamoja na Gati kwa ajili ya Maegesho ya Meli kubwa.


Mhe. Makalla amebainisha hayo leo januari 19, 2024 alipofika kwenye Bandari hiyo kwa ajili ya Ukaguzi wa maendeleo ya shughuli hizo zinazotekelezwa chini ya Usimamizi wa Mamlaka ya Bandari ya nchini.

Amesema serikali ya Rais Samia imetoa fedha hizo ili kuhakikisha sio tu upanuzi wa bandari hiyo muhimu kwa wasafiri wa ukanda wa ziwa victoria bali pia kwa ajili ya ufanisi wa uendeshaji wa Meli ya Kisasa ya MV Mwanza Hapa kazi tu ambayo inatarajiwa kukamilika mwezi Mei mwaka huu.

Makalla ameseam ameridhishwa na ujenzi wa Gati hiyo na akaagiza kasi iongezwe ili kuhakikisha mara itakapokamilika meli ya MV Mwanza iweze kupaki Bandarini hapo kwani inasubiriwa na wananchi wa ukanda wa maziwa makuu na nchi za jirani kwa ajili ya kusafirisha abiria na mizigo.

Aidha, amewataka Halmashauri ya Jiji la Mwanza kuwahamishia wafanyabiashara wadogo wanaojihusisha na uuzaji wa Dagaa na Samaki kwenye eneo jingine ili wapishe ujenzi huo kwa maslahi mapana ya Taifa.

Naye, Mkurugenzi wa Halmashauri jiji la Mwanza Aron Kalugumjuli amebainisha kuwa tayari halmashauri hiyo imeandaa eneo la Nella kwa ajili ya kuwahamishia wafanyabiashara hao na kwamba kwa sasa wapo kwenye uhimarishaji wa eneo hilo kwa kuwajengea Choo.

Latest Announcements

  • Tangazo la kukutana na Mhe. Mkuu wa Mkoa wa Mwanza kwa shida mbalimbali.

    soma zaidi
  • TANGAZO LA NANENANE TAREHE 8.8.2025

    soma zaidi
  • View More

Habari Mpya

  • SIKU 100 ZA RAIS DKT. SAMIA: UKEREWE YAPATA AJIRA 127
  • RC MTANDA AWASILI WILAYANI UKEREWE KWA ZIARA YA KIKAZI
  • MWANZA YAIMARISHA UTETEZI WA WATU WENYE ULEMAVU
  • SERIKALI YAAHIDI KUENDELEA KUTOA USHIRIKIANO KWA WADAU WA SEKTA YA BIASHARA
  • CHOROKO KWENYE RAMANI YA UCHUMI WA TAIFA
  • soma zaidi

Wasiliana Nasi

Prime Minister's Office Regional Administration and Local Government Mkoa wa Mwanza
Ofisi ya Mkuu wa Mkoa, Mkoa wa Mwanza, 2 Regional Drive
S.L.P: 119, Mwanza.
Simu: 028-2501037
Barua Pepe: ras@mwanza.go.tz
Simu ya Mkononi: 028-2501037
Balewa/Machemba Road Street
S.L.P: S.L.P 1333, Mwanza
Simu: +255 28 250 1375
Barua Pepe: cd@mwanzacc.go.tz
Simu ya Mkononi: 0768520195
Halmashauri ya Manispaa ya Ilemela
S.L.P: S.L.P 735, Mwanza
Simu: + 255 736 200910
Barua Pepe: md@ilemelamc.go.tz
Simu ya Mkononi:
Halmashauri ya Wilaya ya Magu
S.L.P: S.L.P 200, Magu
Simu: 028-2530035/2530003
Barua Pepe: ded@magudc.go.tz
Simu ya Mkononi:

Viunganishi vya Haraka

  • Maswali Yaulizwayo Mara kwa Mara
  • Makusanyo ya Ndani ya Halmashauri za Mkoa wa Mwanza
  • PReM
  • Fomu ya Ugonjwa
  • Opras fomu
  • Miongozo ya mfumo wa bajeti na Mipango
  • FFARS User Guidelines
  • OFISI MTANDAO

Viunganishi Linganishi

  • Tamisemi
  • Utumishi
  • Tovuti Kuu ya Serikali
  • Salary Slips Portal
  • Tovuti ya Sekreatarieti ya Ajira Tanzania
  • Ofisi ya Taifa ya Takwimu Tanzania
  • Tovuti ya Ikulu
  • Idara ya Habari Maelezo
  • Tovuti Rasmi ya Wananchi
  • Tovuti Kuu ya Takwimu Huria

Social Media

  • Like us on Facebook
  • Follow us on Twitter
  • Find us on Youtube
  • Follow us on Instagram

Copyright ©2016 GWF . All rights reserved.

  • Kanusho
  • Sera ya faragha
  • Maswali ya Mara kwa Mara
  • Ramani ya Tovuti