• barua pepe
  • Maswali ya Mara kwa Mara
  • Wasiliana Nasi
Mwanza Region

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania
Prime Minister's Office Regional Administration and Local Government
Mkoa wa Mwanza

  • Mwanzo
  • Kuhusu sisi
    • Dira na Mwelekeo
    • Historia ya Mkoa
    • Muundo
  • Wilaya
    • Babati
    • Mbulu
    • Hanang
    • Kiteto
    • Simanjiro
  • Idara
    • Utawala na Rasilimali Watu
    • Planning and Management
    • Fedha na Uhasibu
    • Ukaguzi wa Ndani
    • ununuzi na Ugavi
    • Uchumi na Uzalishaji
    • Miundombinu
    • Serikali za Mitaa
    • Social Welfare
    • Tehama
    • Afya
    • Elimu
    • Maji
  • Machapisho
    • Fomu
    • Miongozo
    • Taratibu
    • Ripoti
  • Investments
    • Investment One
    • Investment Two
    • Investment Three
    • Investment Four
    • Investment Five
  • Kituo cha Habari
    • Habari
    • Matangazo
    • Maktaba ya Picha
    • Sports and Games
    • Hotuba
    • Taarifa Kwa vyombo vya habari
    • Maktaba ya Video

RAS Balandya aipongeza Serikali kwa kutoa elimu ya afya magonjwa yasiyo ambukiza kwa Wananchi

Posted on: November 12th, 2022

Katibu Tawala wa Mkoa wa Mwanza Ndg Elikana Balandya amefunga rasmi wiki ya Kudhibiti na  Kuzuia magonjwa yasiyoambukiza,ajali na akili ya afya kwa kuwakumbusha Wananchi kuitumia vyema elimu  waliyopata kuhusiana na magonjwa hayo.

Akizungumza leo na hadhara kwenye kilele cha Maadhimisho hayo kwenye uwanja wa CCM Kirumba,Balandya amesema takwimu za Kimataifa za mwaka huu zimeonesha bado Dunia inapoteza nguvu kazi nyingi kutokana na vifo vinavyotokana na maradhi hayo.

"Takwimu za mwaka huu zimeonesha watu Milioni 41 wanapoteza maisha,ni lazima juhudi za makusudi zifanyike kupambana na tatizo hili"amesema kiongozi huyo mtendaji wa Mkoa.

Ameishukuru Serikali kwa kuendelea kuielimisha Jamii kupitia maadhimisho hayo yanayofanyika nchi nzima kila mwaka Novemba hali ambayo itachangia kupunguza na hatimaye kutokomeza tatizo hilo.

Aidha amewakumbusha wananchi kuzingatia utaratibu wa kupima afya zao mara kwa mara na kuwacha tabia ya kwenda Hospitali ugonjwa unapokuwa umefikia hatua mbaya.

Naye Mwenyekiti wa Kamati ya Kudumu ya Bunge ya Ukimwi,Kifua Kikuu,dawa za kulevya na magonjwa yasiyoambukiza Mhe.Fatma Tawfiq amebainisha wao kama Bunge wataendelea kuishauri Serikali kuweka mkazo kupambana na kuongeza bajeti ili kukabiliana kikamilifu na maradhi hayo.

"Tunashukuru Serikali yetu ni sikivu na yenye nia ya kuboresha maisha ya Mtanzania, miradi mingi ya afya ipo kila kona ya nchi hii tuendelee kuiunga mkono kwa jitihada hizi" amesisitiza mbunge huyo wa viti maalum kutoka Mkoa wa Dodoma.

Huu ni mwaka wa nne Serikali inafanya maadhimisho hayo, mwaka huu Mwanza ukiwa mwenyeji Kitaifa ukipokea kijiti kutoka Mkoa wa Arusha.

Latest Announcements

  • Tangazo la kukutana na Mhe. Mkuu wa Mkoa wa Mwanza kwa shida mbalimbali.

    soma zaidi
  • TANGAZO LA NANENANE TAREHE 8.8.2025

    soma zaidi
  • View More

Habari Mpya

  • SIKU 100 ZA RAIS DKT. SAMIA: UKEREWE YAPATA AJIRA 127
  • RC MTANDA AWASILI WILAYANI UKEREWE KWA ZIARA YA KIKAZI
  • MWANZA YAIMARISHA UTETEZI WA WATU WENYE ULEMAVU
  • SERIKALI YAAHIDI KUENDELEA KUTOA USHIRIKIANO KWA WADAU WA SEKTA YA BIASHARA
  • CHOROKO KWENYE RAMANI YA UCHUMI WA TAIFA
  • soma zaidi

Wasiliana Nasi

Prime Minister's Office Regional Administration and Local Government Mkoa wa Mwanza
Ofisi ya Mkuu wa Mkoa, Mkoa wa Mwanza, 2 Regional Drive
S.L.P: 119, Mwanza.
Simu: 028-2501037
Barua Pepe: ras@mwanza.go.tz
Simu ya Mkononi: 028-2501037
Balewa/Machemba Road Street
S.L.P: S.L.P 1333, Mwanza
Simu: +255 28 250 1375
Barua Pepe: cd@mwanzacc.go.tz
Simu ya Mkononi: 0768520195
Halmashauri ya Manispaa ya Ilemela
S.L.P: S.L.P 735, Mwanza
Simu: + 255 736 200910
Barua Pepe: md@ilemelamc.go.tz
Simu ya Mkononi:
Halmashauri ya Wilaya ya Magu
S.L.P: S.L.P 200, Magu
Simu: 028-2530035/2530003
Barua Pepe: ded@magudc.go.tz
Simu ya Mkononi:

Viunganishi vya Haraka

  • Maswali Yaulizwayo Mara kwa Mara
  • Makusanyo ya Ndani ya Halmashauri za Mkoa wa Mwanza
  • PReM
  • Fomu ya Ugonjwa
  • Opras fomu
  • Miongozo ya mfumo wa bajeti na Mipango
  • FFARS User Guidelines
  • OFISI MTANDAO

Viunganishi Linganishi

  • Tamisemi
  • Utumishi
  • Tovuti Kuu ya Serikali
  • Salary Slips Portal
  • Tovuti ya Sekreatarieti ya Ajira Tanzania
  • Ofisi ya Taifa ya Takwimu Tanzania
  • Tovuti ya Ikulu
  • Idara ya Habari Maelezo
  • Tovuti Rasmi ya Wananchi
  • Tovuti Kuu ya Takwimu Huria

Social Media

  • Like us on Facebook
  • Follow us on Twitter
  • Find us on Youtube
  • Follow us on Instagram

Copyright ©2016 GWF . All rights reserved.

  • Kanusho
  • Sera ya faragha
  • Maswali ya Mara kwa Mara
  • Ramani ya Tovuti