• barua pepe
  • Maswali ya Mara kwa Mara
  • Wasiliana Nasi
Mwanza Region

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania
Prime Minister's Office Regional Administration and Local Government
Mkoa wa Mwanza

  • Mwanzo
  • Kuhusu sisi
    • Dira na Mwelekeo
    • Historia ya Mkoa
    • Muundo
  • Wilaya
    • Babati
    • Mbulu
    • Hanang
    • Kiteto
    • Simanjiro
  • Idara
    • Utawala na Rasilimali Watu
    • Planning and Management
    • Fedha na Uhasibu
    • Ukaguzi wa Ndani
    • ununuzi na Ugavi
    • Uchumi na Uzalishaji
    • Miundombinu
    • Serikali za Mitaa
    • Social Welfare
    • Tehama
    • Afya
    • Elimu
    • Maji
  • Machapisho
    • Fomu
    • Miongozo
    • Taratibu
    • Ripoti
  • Investments
    • Investment One
    • Investment Two
    • Investment Three
    • Investment Four
    • Investment Five
  • Kituo cha Habari
    • Habari
    • Matangazo
    • Maktaba ya Picha
    • Sports and Games
    • Hotuba
    • Taarifa Kwa vyombo vya habari
    • Maktaba ya Video

RAS BALANDYA ASHAURI KUWEPO NA MPANGO WA KUTOKOMEZA UMASIKINI KUEPUSHA VITENDO VYA UKATILI NDANI YA JAMII

Posted on: July 3rd, 2024

RAS BALANDYA ASHAURI KUWEPO NA MPANGO WA KUTOKOMEZA UMASKINI KUEPUSHA VITENDO VYA UKATILI NDANI YA JAMII


Katibu Tawala wa Mkoa wa Mwanza Bw. Balabdya Elikana ameshauri kuwepo na mkakati endelevu wa kuutokomeza umaskini ndani ya jamii kwa Wanawake kuwezeshwa kiuchumi hali itakayopunguza vitendo vya ukatili vinavyozidi kushamiri.

Akizungumza leo Julai 3, 2024 Ofisini kwake na ugeni kutoka Wizara ya Maendeleo ya Jamii, Jinsia, Wazee na Watoto kutoka Zanzibar ukiongozwa na Katibu Mkuu wake Bi.Zubeida Abdallah, Balandya amebainisha Taasisi zilizo chini ya Wizara hiyo ianze kuona umuhimu huo ambao utakuja na matokeo mazuri.

"Tukiweka mazingira mazuri kama ubora wa miundombinu kama upatikanaji wa maji na Jamii kuwezeshwa kiuchumi kwa kupatiwa mitaji ya kuboresha vipato kwenye familia vitendo vya ukatili vitapungua kama siyo kumalizika," Balandya.

Mtendaji huyo wa Mkoa ameutaka mkazo uendelee wa kuelimisha Jamii kuhusiana na vitendo vya ukatili ili watu waishi kwa amani na kuendelea na shughuli za kulijenga Taifa

Kwa upande wake Katibu Mkuu wa Wizara hiyo Bi. Zubeida Abdallah amesema safari yao ya kufika Mwanza ni kujifunza namna ya kupambana na hali hiyo ili Jamii iishi kwa amani.

"Kuna mradi wa tokomeza ukatili dhidi ya Wanawake na watoto ulioanza mwaka huu hadi 2029, ambao huku Bara wameuanza vizuri nasi tunaamini tutapata la kujifunza." Katibu Mkuu.

Viongozi hao kutoka Zanzibar watakuwa Mkoani Mwanza kwa siku mbili wakitembelea maeneo mbalimbali yanayojishughulisha na malezi ya watu wanaoishi katika mazingira magumu.

Latest Announcements

  • Tangazo la kukutana na Mhe. Mkuu wa Mkoa wa Mwanza kwa shida mbalimbali.

    soma zaidi
  • TANGAZO LA NANENANE TAREHE 8.8.2025

    soma zaidi
  • View More

Habari Mpya

  • SIKU 100 ZA RAIS DKT. SAMIA: UKEREWE YAPATA AJIRA 127
  • RC MTANDA AWASILI WILAYANI UKEREWE KWA ZIARA YA KIKAZI
  • MWANZA YAIMARISHA UTETEZI WA WATU WENYE ULEMAVU
  • SERIKALI YAAHIDI KUENDELEA KUTOA USHIRIKIANO KWA WADAU WA SEKTA YA BIASHARA
  • CHOROKO KWENYE RAMANI YA UCHUMI WA TAIFA
  • soma zaidi

Wasiliana Nasi

Prime Minister's Office Regional Administration and Local Government Mkoa wa Mwanza
Ofisi ya Mkuu wa Mkoa, Mkoa wa Mwanza, 2 Regional Drive
S.L.P: 119, Mwanza.
Simu: 028-2501037
Barua Pepe: ras@mwanza.go.tz
Simu ya Mkononi: 028-2501037
Balewa/Machemba Road Street
S.L.P: S.L.P 1333, Mwanza
Simu: +255 28 250 1375
Barua Pepe: cd@mwanzacc.go.tz
Simu ya Mkononi: 0768520195
Halmashauri ya Manispaa ya Ilemela
S.L.P: S.L.P 735, Mwanza
Simu: + 255 736 200910
Barua Pepe: md@ilemelamc.go.tz
Simu ya Mkononi:
Halmashauri ya Wilaya ya Magu
S.L.P: S.L.P 200, Magu
Simu: 028-2530035/2530003
Barua Pepe: ded@magudc.go.tz
Simu ya Mkononi:

Viunganishi vya Haraka

  • Maswali Yaulizwayo Mara kwa Mara
  • Makusanyo ya Ndani ya Halmashauri za Mkoa wa Mwanza
  • PReM
  • Fomu ya Ugonjwa
  • Opras fomu
  • Miongozo ya mfumo wa bajeti na Mipango
  • FFARS User Guidelines
  • OFISI MTANDAO

Viunganishi Linganishi

  • Tamisemi
  • Utumishi
  • Tovuti Kuu ya Serikali
  • Salary Slips Portal
  • Tovuti ya Sekreatarieti ya Ajira Tanzania
  • Ofisi ya Taifa ya Takwimu Tanzania
  • Tovuti ya Ikulu
  • Idara ya Habari Maelezo
  • Tovuti Rasmi ya Wananchi
  • Tovuti Kuu ya Takwimu Huria

Social Media

  • Like us on Facebook
  • Follow us on Twitter
  • Find us on Youtube
  • Follow us on Instagram

Copyright ©2016 GWF . All rights reserved.

  • Kanusho
  • Sera ya faragha
  • Maswali ya Mara kwa Mara
  • Ramani ya Tovuti