• barua pepe
  • Maswali ya Mara kwa Mara
  • Wasiliana Nasi
Mwanza Region

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania
Prime Minister's Office Regional Administration and Local Government
Mkoa wa Mwanza

  • Mwanzo
  • Kuhusu sisi
    • Dira na Mwelekeo
    • Historia ya Mkoa
    • Muundo
  • Wilaya
    • Babati
    • Mbulu
    • Hanang
    • Kiteto
    • Simanjiro
  • Idara
    • Utawala na Rasilimali Watu
    • Planning and Management
    • Fedha na Uhasibu
    • Ukaguzi wa Ndani
    • ununuzi na Ugavi
    • Uchumi na Uzalishaji
    • Miundombinu
    • Serikali za Mitaa
    • Social Welfare
    • Tehama
    • Afya
    • Elimu
    • Maji
  • Machapisho
    • Fomu
    • Miongozo
    • Taratibu
    • Ripoti
  • Investments
    • Investment One
    • Investment Two
    • Investment Three
    • Investment Four
    • Investment Five
  • Kituo cha Habari
    • Habari
    • Matangazo
    • Maktaba ya Picha
    • Sports and Games
    • Hotuba
    • Taarifa Kwa vyombo vya habari
    • Maktaba ya Video

RAS BALANDYA AZITAKA HALMASHAURI KUTEKELEZA KWA WELEDI MRADI WA USAID KIZAZI HODARI

Posted on: November 13th, 2024

RAS BALANDYA AZITAKA HALMASHAURI KUTEKELEZA KWA WELEDI MRADI WA USAID KIZAZI HODARI


Katibu Tawala wa Mkoa wa Mwanza Ndugu Balandya Elikana amefungua kikao kazi cha mrejesho wa mradi wa USAID Kizazi Hodari Kanda ya Kaskazini Mashariki unaolenga kuboresha na kuimarisha afya na ustawi wa watoto, vijana na kaya zao walioathiriwa na virusi vya ukimwi na kuzitaka halmashauri zote zilizopitiwa na mradi huu kutekeleza kwa weledi ili kufikia malengo.

Akizungumza leo Novemba 13, 2024 na wadau wa mradi huo wakiwemo wasimamizi wakuu Kanisa la Kilutheri (KKKT) makao makuu kwenye ukumbi mkubwa wa Ofisi ya mkuu wa mkoa, Balandya amesema Serikali inatambua mchango wa wadau wa maendeleo katika kuwapatia huduma bora wananchi, hivyo ni wajibu kuendelea kuwapa ushirikiano.

"Nawapongeza kwa kuvuka malengo mliyojiwekea kutoka idadi mliyojiwekea ya walengwa 44,768 na kufika48,790 sawa na asilimia 109", Balandya.

Vilevile, amezipongeza Halmashauri za Jiji la Mwanza na Sengerema kwa kuingia kwenye kumi bora za zilizofanya vizuri miongoni mwa Halmashauri 184 na kuzitaka nyingine ziige mfano huo.

Awali, akimkaribisha mgeni rasmi Mganga Mkuu wa Mkoa wa Mwanza Dkt. Jesca Lebba amebainisha wameweka mikakati kwa waganga wakuu wote wa Wilaya kuhakikisha mpango wa afya, lishe, msaada wa kisaikolojia na huduma zote stahiki kwa watoto kuanzia umri wa 0-17 na vijana kuanzia 18-20 vinafanywa vizuri.

Mradi huo wa USAID Kizazi Hodari unatekelezwa katika mikoa 9 ukiwemo Mwanza na malengo ya mwaka 2025 ni kuwafikia walengwa 58165.

Latest Announcements

  • Tangazo la kukutana na Mhe. Mkuu wa Mkoa wa Mwanza kwa shida mbalimbali.

    soma zaidi
  • TANGAZO LA NANENANE TAREHE 8.8.2025

    soma zaidi
  • View More

Habari Mpya

  • SIKU 100 ZA RAIS DKT. SAMIA: UKEREWE YAPATA AJIRA 127
  • RC MTANDA AWASILI WILAYANI UKEREWE KWA ZIARA YA KIKAZI
  • MWANZA YAIMARISHA UTETEZI WA WATU WENYE ULEMAVU
  • SERIKALI YAAHIDI KUENDELEA KUTOA USHIRIKIANO KWA WADAU WA SEKTA YA BIASHARA
  • CHOROKO KWENYE RAMANI YA UCHUMI WA TAIFA
  • soma zaidi

Wasiliana Nasi

Prime Minister's Office Regional Administration and Local Government Mkoa wa Mwanza
Ofisi ya Mkuu wa Mkoa, Mkoa wa Mwanza, 2 Regional Drive
S.L.P: 119, Mwanza.
Simu: 028-2501037
Barua Pepe: ras@mwanza.go.tz
Simu ya Mkononi: 028-2501037
Balewa/Machemba Road Street
S.L.P: S.L.P 1333, Mwanza
Simu: +255 28 250 1375
Barua Pepe: cd@mwanzacc.go.tz
Simu ya Mkononi: 0768520195
Halmashauri ya Manispaa ya Ilemela
S.L.P: S.L.P 735, Mwanza
Simu: + 255 736 200910
Barua Pepe: md@ilemelamc.go.tz
Simu ya Mkononi:
Halmashauri ya Wilaya ya Magu
S.L.P: S.L.P 200, Magu
Simu: 028-2530035/2530003
Barua Pepe: ded@magudc.go.tz
Simu ya Mkononi:

Viunganishi vya Haraka

  • Maswali Yaulizwayo Mara kwa Mara
  • Makusanyo ya Ndani ya Halmashauri za Mkoa wa Mwanza
  • PReM
  • Fomu ya Ugonjwa
  • Opras fomu
  • Miongozo ya mfumo wa bajeti na Mipango
  • FFARS User Guidelines
  • OFISI MTANDAO

Viunganishi Linganishi

  • Tamisemi
  • Utumishi
  • Tovuti Kuu ya Serikali
  • Salary Slips Portal
  • Tovuti ya Sekreatarieti ya Ajira Tanzania
  • Ofisi ya Taifa ya Takwimu Tanzania
  • Tovuti ya Ikulu
  • Idara ya Habari Maelezo
  • Tovuti Rasmi ya Wananchi
  • Tovuti Kuu ya Takwimu Huria

Social Media

  • Like us on Facebook
  • Follow us on Twitter
  • Find us on Youtube
  • Follow us on Instagram

Copyright ©2016 GWF . All rights reserved.

  • Kanusho
  • Sera ya faragha
  • Maswali ya Mara kwa Mara
  • Ramani ya Tovuti