• barua pepe
  • Maswali ya Mara kwa Mara
  • Wasiliana Nasi
Mwanza Region

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania
Prime Minister's Office Regional Administration and Local Government
Mkoa wa Mwanza

  • Mwanzo
  • Kuhusu sisi
    • Dira na Mwelekeo
    • Historia ya Mkoa
    • Muundo
  • Wilaya
    • Babati
    • Mbulu
    • Hanang
    • Kiteto
    • Simanjiro
  • Idara
    • Utawala na Rasilimali Watu
    • Planning and Management
    • Fedha na Uhasibu
    • Ukaguzi wa Ndani
    • ununuzi na Ugavi
    • Uchumi na Uzalishaji
    • Miundombinu
    • Serikali za Mitaa
    • Social Welfare
    • Tehama
    • Afya
    • Elimu
    • Maji
  • Machapisho
    • Fomu
    • Miongozo
    • Taratibu
    • Ripoti
  • Investments
    • Investment One
    • Investment Two
    • Investment Three
    • Investment Four
    • Investment Five
  • Kituo cha Habari
    • Habari
    • Matangazo
    • Maktaba ya Picha
    • Sports and Games
    • Hotuba
    • Taarifa Kwa vyombo vya habari
    • Maktaba ya Video

RAS Mwanza awahimiza Walimu walezi na Wazazi kutokomeza vitendo vya Unyanyasaji Kijinsia kwa Watoto

Posted on: February 8th, 2023


Katibu Tawala wa Mkoa wa Mwanza Ndg.Balandya Elikana amewakumbusha walimu walezi na Wazazi kuzingatia  na kuyafanyia kazi mafunzo mbalimbali wanayopatiwa ili yawe na tija kwa Taifa.

Akifungua leo Jijini Mwanza Mafunzo ya kukabliliana na unyanyasaji wa kijinsia na majanga ya moto kwa walimu walezi kutoka Shule za msingi Jijini Mwanza Katibu Tawala msaidizi Uchumi na Uzalishaji Emil Kasagara aliyemuwakilisha Katibu Tawala amesema bado kunahitajika umakini katika malezi ya wanafunzi shuleni kutokana na vitendo vya unyanyasaji wa kijinsia kuendelea kushamiri nchini.

"Niwapongeze Taasisi ya Elimu ya Watu wazima kwa kutoa mafunzo haya ambayo yana lengo jema kwa Taifa letu,wajibu wetu sasa tuhakikishe yaje na matokeo chanya kwa kutokomeza vitendo vya unyanyasaji kwa watoto wetu"amesisitiza Katibu Tawala msaidizi.

Ameishauri pia Taasisi ya Elimu ya Watu wazima kuangalia namna ya utoaji wa mafunzo kama hayo kwa makondakta wa mabasi ya abiria na madereva wa bodaboda ambapo kumekuwa na tabia za unyanyasaji kwa baadhi yao.

"Tumejipanga kuona baada ya mafunzo haya kuna hatua gani za mabadiliko,ofisi yangu kwa kushirikiana na Viongozi wenzangu tutaendelea kufuatilia ili lengo letu la kujenga Taifa lililostaarabika litimie" Maenda Chambuko Afisa Elimu Watu wazima Mkoa.

"Ukimuelimisha Mwalimu tambua umewaelimisha watu mia moja nyuma yake,nimefarijika na mafunzo haya naamini walimu ambao muda mwingi mnakaa na watoto wetu mtakwenda kuwa muarobaini wa changamoto hii ya unyanyasaji"Mhe Diwani.Magreth Kuhanwa,Mwenyekiti Huduma za Jamii Baraza la Madiwani Halmashauri ya Jiji la Mwanza.

"Majanga ya moto yameigharimu sana Serikali kutokana na baadhi ya shule zake kuteketea kwa moto,kupitia mafunzo haya washiriki muwe makini kuwasikiliza Wataalamu kutoka Jeshi la Zimamoto na Uokoaji ili muwe na ujasiri wa kupambana na majanga ya moto yanapotokea"Dkt.Beatus Mwendwa Mkuu wa Chuo Taasisi ya Elimu ya Watu Wazima kituo cha Mwanza.

Mafunzo hayo ya siku moja yamewashiriksha Walimu walezi 146 kutoka Shule za Msingi Wilaya ya Nyamagana.

Latest Announcements

  • Tangazo la kukutana na Mhe. Mkuu wa Mkoa wa Mwanza kwa shida mbalimbali.

    soma zaidi
  • TANGAZO LA NANENANE TAREHE 8.8.2025

    soma zaidi
  • View More

Habari Mpya

  • SIKU 100 ZA RAIS DKT. SAMIA: UKEREWE YAPATA AJIRA 127
  • RC MTANDA AWASILI WILAYANI UKEREWE KWA ZIARA YA KIKAZI
  • MWANZA YAIMARISHA UTETEZI WA WATU WENYE ULEMAVU
  • SERIKALI YAAHIDI KUENDELEA KUTOA USHIRIKIANO KWA WADAU WA SEKTA YA BIASHARA
  • CHOROKO KWENYE RAMANI YA UCHUMI WA TAIFA
  • soma zaidi

Wasiliana Nasi

Prime Minister's Office Regional Administration and Local Government Mkoa wa Mwanza
Ofisi ya Mkuu wa Mkoa, Mkoa wa Mwanza, 2 Regional Drive
S.L.P: 119, Mwanza.
Simu: 028-2501037
Barua Pepe: ras@mwanza.go.tz
Simu ya Mkononi: 028-2501037
Balewa/Machemba Road Street
S.L.P: S.L.P 1333, Mwanza
Simu: +255 28 250 1375
Barua Pepe: cd@mwanzacc.go.tz
Simu ya Mkononi: 0768520195
Halmashauri ya Manispaa ya Ilemela
S.L.P: S.L.P 735, Mwanza
Simu: + 255 736 200910
Barua Pepe: md@ilemelamc.go.tz
Simu ya Mkononi:
Halmashauri ya Wilaya ya Magu
S.L.P: S.L.P 200, Magu
Simu: 028-2530035/2530003
Barua Pepe: ded@magudc.go.tz
Simu ya Mkononi:

Viunganishi vya Haraka

  • Maswali Yaulizwayo Mara kwa Mara
  • Makusanyo ya Ndani ya Halmashauri za Mkoa wa Mwanza
  • PReM
  • Fomu ya Ugonjwa
  • Opras fomu
  • Miongozo ya mfumo wa bajeti na Mipango
  • FFARS User Guidelines
  • OFISI MTANDAO

Viunganishi Linganishi

  • Tamisemi
  • Utumishi
  • Tovuti Kuu ya Serikali
  • Salary Slips Portal
  • Tovuti ya Sekreatarieti ya Ajira Tanzania
  • Ofisi ya Taifa ya Takwimu Tanzania
  • Tovuti ya Ikulu
  • Idara ya Habari Maelezo
  • Tovuti Rasmi ya Wananchi
  • Tovuti Kuu ya Takwimu Huria

Social Media

  • Like us on Facebook
  • Follow us on Twitter
  • Find us on Youtube
  • Follow us on Instagram

Copyright ©2016 GWF . All rights reserved.

  • Kanusho
  • Sera ya faragha
  • Maswali ya Mara kwa Mara
  • Ramani ya Tovuti