• barua pepe
  • Maswali ya Mara kwa Mara
  • Wasiliana Nasi
Mwanza Region

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania
Prime Minister's Office Regional Administration and Local Government
Mkoa wa Mwanza

  • Mwanzo
  • Kuhusu sisi
    • Dira na Mwelekeo
    • Historia ya Mkoa
    • Muundo
  • Wilaya
    • Babati
    • Mbulu
    • Hanang
    • Kiteto
    • Simanjiro
  • Idara
    • Utawala na Rasilimali Watu
    • Planning and Management
    • Fedha na Uhasibu
    • Ukaguzi wa Ndani
    • ununuzi na Ugavi
    • Uchumi na Uzalishaji
    • Miundombinu
    • Serikali za Mitaa
    • Social Welfare
    • Tehama
    • Afya
    • Elimu
    • Maji
  • Machapisho
    • Fomu
    • Miongozo
    • Taratibu
    • Ripoti
  • Investments
    • Investment One
    • Investment Two
    • Investment Three
    • Investment Four
    • Investment Five
  • Kituo cha Habari
    • Habari
    • Matangazo
    • Maktaba ya Picha
    • Sports and Games
    • Hotuba
    • Taarifa Kwa vyombo vya habari
    • Maktaba ya Video

RAS Mwanza awapa kongole Agha Khan foundation kwa Mchango Sekta ya Lishe

Posted on: August 31st, 2023

RAS Mwanza awapa kongole Agha Khan foundation kwa Mchango Sekta ya Lishe


Kaimu Katibu Tawala Mkoa wa Mwanza Daniel Machunda amewashukuru Agha Khan foundation kwa michango wanayotoa kwenye jamii kwa kushirikiana na Serikali katika upande wa sekta ya lishe huku akibainisha kuwa serikali inawathamini kwa dhati.

Ametoa pongezi hizo mapema leo Agosti 31, 2023 wakati akifungua Kikao cha Kamati ya Lishe ya Mkoa kilichoketi mahsusi kwa ajili ya kupitia na kusikiliza shughuli za Lishe ili kubainisha maeneo yanayohitaji usaidizi kwa ufadhili wa Shirika la Agha Khan foundation.

"Shirika la Agha Khan lina mchango mkubwa sana katika masuala ya Lishe na Sekta ya afya kwa ujumla ikiwa ni pamoja na kutoa huduma za matibabu kwa ujumla, watumishi wa afya tunapaswa kuunga mkono juhudi hizo kwa kushirikiana nao kwa karibu sana". Amesema Machunda.

Aidha, ametoa wito kwa wataalam kwenye Sekta ya lishe kuendelea kutoa elimu kwenye jamii kupitia makundi mbalimbali kuanzia ngazi ya Kaya, jamii na hata makundi ya kijamii na ili kuhakikisha suala la lishe linakua Agenda ya kudumu ili kujenga jamii iiliyoimarika kiafya.

Afisa Lishe Mkoa, Bi. Sofia Lazaro amefafanua kuwa Serikali inaendelea kuimarisha eneo la lishe nchini ndio maana Mhe. Rais anasaini Mkataba wa Lishe kwa Wakuu wa Mikoa ili kutekeleza afua za upatikanaji wa chakula chenye Lishe shuleni, upangaji na utoaji wa fedha za lishe kwa watoto chini ya miaka 5 na afua zingine.

Vilevile, amefafanua kuwa wanaume kutohusishwa kwa karibu kwenye masuala ya lishe, hali duni ya usalama kwa watoto, uelewa finyu wa jamii kwenye masuala ya lishe, lishe duni kwenye Kaya, unyonyeshaji usiofaa, mazingira magumu ya kijiografia ni matatizo yaliyopelekea utapiamlo kwenye jamii kwa muda mrefu na kwamba ni sehemu zinazofanyiwa kazi kwa karibu zaidi.

Meneja wa Afya na Lishe kutoka Agha Khan foundation David Siso ameishukuru Serikali ya Tanzania kwa ushirikiano na ameimwagia sifa Ofisi ya Mkua wa Mkoa wa Mwanza kwa kutekeleza afua za lishe kwa njia ya ushirikishaji wa pamoja ambayo amebainisha kuwa inasaidia kufikia malengo kwa wakati.

Latest Announcements

  • Tangazo la kukutana na Mhe. Mkuu wa Mkoa wa Mwanza kwa shida mbalimbali.

    soma zaidi
  • TANGAZO LA NANENANE TAREHE 8.8.2025

    soma zaidi
  • View More

Habari Mpya

  • SIKU 100 ZA RAIS DKT. SAMIA: UKEREWE YAPATA AJIRA 127
  • RC MTANDA AWASILI WILAYANI UKEREWE KWA ZIARA YA KIKAZI
  • MWANZA YAIMARISHA UTETEZI WA WATU WENYE ULEMAVU
  • SERIKALI YAAHIDI KUENDELEA KUTOA USHIRIKIANO KWA WADAU WA SEKTA YA BIASHARA
  • CHOROKO KWENYE RAMANI YA UCHUMI WA TAIFA
  • soma zaidi

Wasiliana Nasi

Prime Minister's Office Regional Administration and Local Government Mkoa wa Mwanza
Ofisi ya Mkuu wa Mkoa, Mkoa wa Mwanza, 2 Regional Drive
S.L.P: 119, Mwanza.
Simu: 028-2501037
Barua Pepe: ras@mwanza.go.tz
Simu ya Mkononi: 028-2501037
Balewa/Machemba Road Street
S.L.P: S.L.P 1333, Mwanza
Simu: +255 28 250 1375
Barua Pepe: cd@mwanzacc.go.tz
Simu ya Mkononi: 0768520195
Halmashauri ya Manispaa ya Ilemela
S.L.P: S.L.P 735, Mwanza
Simu: + 255 736 200910
Barua Pepe: md@ilemelamc.go.tz
Simu ya Mkononi:
Halmashauri ya Wilaya ya Magu
S.L.P: S.L.P 200, Magu
Simu: 028-2530035/2530003
Barua Pepe: ded@magudc.go.tz
Simu ya Mkononi:

Viunganishi vya Haraka

  • Maswali Yaulizwayo Mara kwa Mara
  • Makusanyo ya Ndani ya Halmashauri za Mkoa wa Mwanza
  • PReM
  • Fomu ya Ugonjwa
  • Opras fomu
  • Miongozo ya mfumo wa bajeti na Mipango
  • FFARS User Guidelines
  • OFISI MTANDAO

Viunganishi Linganishi

  • Tamisemi
  • Utumishi
  • Tovuti Kuu ya Serikali
  • Salary Slips Portal
  • Tovuti ya Sekreatarieti ya Ajira Tanzania
  • Ofisi ya Taifa ya Takwimu Tanzania
  • Tovuti ya Ikulu
  • Idara ya Habari Maelezo
  • Tovuti Rasmi ya Wananchi
  • Tovuti Kuu ya Takwimu Huria

Social Media

  • Like us on Facebook
  • Follow us on Twitter
  • Find us on Youtube
  • Follow us on Instagram

Copyright ©2016 GWF . All rights reserved.

  • Kanusho
  • Sera ya faragha
  • Maswali ya Mara kwa Mara
  • Ramani ya Tovuti