• barua pepe
  • Maswali ya Mara kwa Mara
  • Wasiliana Nasi
Mwanza Region

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania
Prime Minister's Office Regional Administration and Local Government
Mkoa wa Mwanza

  • Mwanzo
  • Kuhusu sisi
    • Dira na Mwelekeo
    • Historia ya Mkoa
    • Muundo
  • Wilaya
    • Babati
    • Mbulu
    • Hanang
    • Kiteto
    • Simanjiro
  • Idara
    • Utawala na Rasilimali Watu
    • Planning and Management
    • Fedha na Uhasibu
    • Ukaguzi wa Ndani
    • ununuzi na Ugavi
    • Uchumi na Uzalishaji
    • Miundombinu
    • Serikali za Mitaa
    • Social Welfare
    • Tehama
    • Afya
    • Elimu
    • Maji
  • Machapisho
    • Fomu
    • Miongozo
    • Taratibu
    • Ripoti
  • Investments
    • Investment One
    • Investment Two
    • Investment Three
    • Investment Four
    • Investment Five
  • Kituo cha Habari
    • Habari
    • Matangazo
    • Maktaba ya Picha
    • Sports and Games
    • Hotuba
    • Taarifa Kwa vyombo vya habari
    • Maktaba ya Video

RAS Mwanza awashauri Wadau wa Ushirika kuwa chachu ya kukuza Uchumi nchini

Posted on: October 27th, 2022

Wadau wa Vyama vya Ushirika wanaoendelea kupata mafunzo maalum ya kutoka Analogia na kuingia Kidigitali wamepewa rai elimu hiyo ikalete mageuzi chanya kwenye vituo vyao vya kazi.
Akifungua Mafunzo hayo leo Jijini Mwanza kwa niaba ya Katibu Tawala wa Mkoa wa Mwanza Balandya Elikana, Katibu Tawala msaidizi Uchumi na Uzalishaji  Ndugu Emil Kasagara amebainisha kumekuwa na upotezu wa nyaraka na kazi kuzorota kutokana na kutumia utaratibu uliopitwa na wakati ambao umechangia kurudisha nyuma kasi ya maendeleo kwenye Vyama vya Ushirika.

"Ndugu zangu mliopo hapa kwa haya mafunzo msione aibu katika kujifunza siku zote tatu mtakazo kuwa hapa, mkumbuke kuelimika kwenu kunakwenda kuleta taswira mpya katika majukumu yenu ya kila siku kwenye vituo vyenu vya kazi." Amesema Kasagara.


Kasagara amebainisha kuwepo kwa hati chafu na migogoro isiyokwisha, kutokuwepo kwa uwazi wa uwajibikaji kwenye Vyama vya Ushirika na kwamba muarobaini wake ni matumizi ya TEHAMA katika rahisisha utoaji huduma bora kwa Wananchi.
Mrajisi Msaidizi kutoka Mkoa wa Mara, Kija Maheda amesema baadhi ya Viongozi waliopewa dhamana ya kuongoza vyama hivyo lakini hawakuwa na nia njema wametumia udhaifu huo wa mfumo duni kujinufaisha, lakini sasa kwa hatua hii mpya wanaoingia na jinsi Serikali hii ya awamu ya Sita ilivyonuia kuviinua Vyama vya Ushirika watasimama imara kuleta tija ya Maendeleo.
"Vyama vya Ushirika vinachangia ukuaji wa Uchumi wa Taifa letu, na  Mkuu wa Mkoa wa Mwanza Mhe Adam Malima ametuahidi kutupigania kuwa na Benki yetu ya Taifa ya Ushirika hivyo tuna kila sababu sisi Viongozi kuwa chachu ya Maendeleo," amesisitiza Maheda.
Mafunzo hayo yanasimamiwa na kutolewa na Tume  ya Maendeleo ya Ushirika Makao Makuu kwa kuwashirisha wenyeviti na Mameneja, warajisi wasaidizi, na Maafisa Ushirika kutoka Mikoa ya Mwanza, Geita, Kagera, Shinyanga pamoja na Mara.

Latest Announcements

  • Tangazo la kukutana na Mhe. Mkuu wa Mkoa wa Mwanza kwa shida mbalimbali.

    soma zaidi
  • TANGAZO LA NANENANE TAREHE 8.8.2025

    soma zaidi
  • View More

Habari Mpya

  • SIKU 100 ZA RAIS DKT. SAMIA: UKEREWE YAPATA AJIRA 127
  • RC MTANDA AWASILI WILAYANI UKEREWE KWA ZIARA YA KIKAZI
  • MWANZA YAIMARISHA UTETEZI WA WATU WENYE ULEMAVU
  • SERIKALI YAAHIDI KUENDELEA KUTOA USHIRIKIANO KWA WADAU WA SEKTA YA BIASHARA
  • CHOROKO KWENYE RAMANI YA UCHUMI WA TAIFA
  • soma zaidi

Wasiliana Nasi

Prime Minister's Office Regional Administration and Local Government Mkoa wa Mwanza
Ofisi ya Mkuu wa Mkoa, Mkoa wa Mwanza, 2 Regional Drive
S.L.P: 119, Mwanza.
Simu: 028-2501037
Barua Pepe: ras@mwanza.go.tz
Simu ya Mkononi: 028-2501037
Balewa/Machemba Road Street
S.L.P: S.L.P 1333, Mwanza
Simu: +255 28 250 1375
Barua Pepe: cd@mwanzacc.go.tz
Simu ya Mkononi: 0768520195
Halmashauri ya Manispaa ya Ilemela
S.L.P: S.L.P 735, Mwanza
Simu: + 255 736 200910
Barua Pepe: md@ilemelamc.go.tz
Simu ya Mkononi:
Halmashauri ya Wilaya ya Magu
S.L.P: S.L.P 200, Magu
Simu: 028-2530035/2530003
Barua Pepe: ded@magudc.go.tz
Simu ya Mkononi:

Viunganishi vya Haraka

  • Maswali Yaulizwayo Mara kwa Mara
  • Makusanyo ya Ndani ya Halmashauri za Mkoa wa Mwanza
  • PReM
  • Fomu ya Ugonjwa
  • Opras fomu
  • Miongozo ya mfumo wa bajeti na Mipango
  • FFARS User Guidelines
  • OFISI MTANDAO

Viunganishi Linganishi

  • Tamisemi
  • Utumishi
  • Tovuti Kuu ya Serikali
  • Salary Slips Portal
  • Tovuti ya Sekreatarieti ya Ajira Tanzania
  • Ofisi ya Taifa ya Takwimu Tanzania
  • Tovuti ya Ikulu
  • Idara ya Habari Maelezo
  • Tovuti Rasmi ya Wananchi
  • Tovuti Kuu ya Takwimu Huria

Social Media

  • Like us on Facebook
  • Follow us on Twitter
  • Find us on Youtube
  • Follow us on Instagram

Copyright ©2016 GWF . All rights reserved.

  • Kanusho
  • Sera ya faragha
  • Maswali ya Mara kwa Mara
  • Ramani ya Tovuti