• barua pepe
  • Maswali ya Mara kwa Mara
  • Wasiliana Nasi
Mwanza Region

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania
Prime Minister's Office Regional Administration and Local Government
Mkoa wa Mwanza

  • Mwanzo
  • Kuhusu sisi
    • Dira na Mwelekeo
    • Historia ya Mkoa
    • Muundo
  • Wilaya
    • Babati
    • Mbulu
    • Hanang
    • Kiteto
    • Simanjiro
  • Idara
    • Utawala na Rasilimali Watu
    • Planning and Management
    • Fedha na Uhasibu
    • Ukaguzi wa Ndani
    • ununuzi na Ugavi
    • Uchumi na Uzalishaji
    • Miundombinu
    • Serikali za Mitaa
    • Social Welfare
    • Tehama
    • Afya
    • Elimu
    • Maji
  • Machapisho
    • Fomu
    • Miongozo
    • Taratibu
    • Ripoti
  • Investments
    • Investment One
    • Investment Two
    • Investment Three
    • Investment Four
    • Investment Five
  • Kituo cha Habari
    • Habari
    • Matangazo
    • Maktaba ya Picha
    • Sports and Games
    • Hotuba
    • Taarifa Kwa vyombo vya habari
    • Maktaba ya Video

RAS MWANZA AWATAKA WALIMU KUSIMAMIA MIONGOZO YA USIMAMIZI WA ELIMU ILI KUINUA UFAULU

Posted on: January 23rd, 2024

RAS MWANZA AWATAKA WALIMU KUSIMAMIA MIONGOZO YA USIMAMIZI WA ELIMU ILI KUINUA UFAULU


Kaimu Katibu Tawala Mkoa wa Mwanza Ndugu Kusirie Swai ambaye ni Mkuu wa Seksheni ya Usimamizi, Ufuatiliaji na ukaguzi amewataka Maafisa Elimu na Walimu Mkoani humo kusimamia miongozo ya sekta hiyo ili kuinua ufaulu Mkoani humo.

Ndugu Swai ametoa wito huo kwa niaba ya Katibu Tawala Mkoa leo Januari 23, 2024 kwenye kikao cha tathmini ya utekelezaji wa shughuli za Elimu kwa 2023 na kuwekeana mikakati ya ufanikishaji kwa 2024.

Swai amesema katika kuhakikisha Sekta ya Elimu inaimarika ni lazima kutekeleza vyema mtaala mpya wa elimu ambao umeanza kutumika mwaka huu na kwamba katika kufanikisha hilo walimu wanapaswa kupewa mafunzo angalau kila robo mwaka.

"Ufaulu wa mkoa wa Mwanza umepanda kwenye kila mitihani katika matokeo ya kidato cha nne na kidato cha pili, lakini bado lugha ya kiingereza bado haijapewa kipaumbelee sana katika shule za Msingi na Sekondari ", Ndugu Swai.

Suala la chakula shuleni ndugu Swai amelitaja kuwa linasaidia sana kuthibiti utoro wa wanafunzi hivyo akatoa wito kwa walimu kushirikiana na wazazi katika kufanikisha suala hilo muhimu kwa maendeleo ya Taifa.

"Wazazi waendeelee kuelimishwa kuchangia xhakula shuleni, Maafisa Elimu halikisheni mnaimarisha menejimenti za shule za Msingi, Secondari na katika ngazi zote kila wakati na kuimarisha ufatiliaji wa jambo hilo." Amesema Kaimu Katibu Tawala huyo.

Aidha, Swai ametoa wito kwa Wakurugenzi wa Halmashauri kuhakikisha wanasimamia ujenzi wa miundombinu ili iwe bora na kuondosha kabisa tatizo la uhaba wa madarasa, matundu ya vyoo, maabara, mabweni pamoja na samani.

Naye, Mthibiti Mkuu wa ubora wa elimu kanda ya ziwa Mwalimu Lucy Nyanda amewataka wadau wa kikao hicho kuhakikisha wanazingatia maagizo yatolewayo ili kwenda kuboresha utendaji wa kazi kwenye maeneo yao.

Latest Announcements

  • Tangazo la kukutana na Mhe. Mkuu wa Mkoa wa Mwanza kwa shida mbalimbali.

    soma zaidi
  • TANGAZO LA NANENANE TAREHE 8.8.2025

    soma zaidi
  • View More

Habari Mpya

  • SIKU 100 ZA RAIS DKT. SAMIA: UKEREWE YAPATA AJIRA 127
  • RC MTANDA AWASILI WILAYANI UKEREWE KWA ZIARA YA KIKAZI
  • MWANZA YAIMARISHA UTETEZI WA WATU WENYE ULEMAVU
  • SERIKALI YAAHIDI KUENDELEA KUTOA USHIRIKIANO KWA WADAU WA SEKTA YA BIASHARA
  • CHOROKO KWENYE RAMANI YA UCHUMI WA TAIFA
  • soma zaidi

Wasiliana Nasi

Prime Minister's Office Regional Administration and Local Government Mkoa wa Mwanza
Ofisi ya Mkuu wa Mkoa, Mkoa wa Mwanza, 2 Regional Drive
S.L.P: 119, Mwanza.
Simu: 028-2501037
Barua Pepe: ras@mwanza.go.tz
Simu ya Mkononi: 028-2501037
Balewa/Machemba Road Street
S.L.P: S.L.P 1333, Mwanza
Simu: +255 28 250 1375
Barua Pepe: cd@mwanzacc.go.tz
Simu ya Mkononi: 0768520195
Halmashauri ya Manispaa ya Ilemela
S.L.P: S.L.P 735, Mwanza
Simu: + 255 736 200910
Barua Pepe: md@ilemelamc.go.tz
Simu ya Mkononi:
Halmashauri ya Wilaya ya Magu
S.L.P: S.L.P 200, Magu
Simu: 028-2530035/2530003
Barua Pepe: ded@magudc.go.tz
Simu ya Mkononi:

Viunganishi vya Haraka

  • Maswali Yaulizwayo Mara kwa Mara
  • Makusanyo ya Ndani ya Halmashauri za Mkoa wa Mwanza
  • PReM
  • Fomu ya Ugonjwa
  • Opras fomu
  • Miongozo ya mfumo wa bajeti na Mipango
  • FFARS User Guidelines
  • OFISI MTANDAO

Viunganishi Linganishi

  • Tamisemi
  • Utumishi
  • Tovuti Kuu ya Serikali
  • Salary Slips Portal
  • Tovuti ya Sekreatarieti ya Ajira Tanzania
  • Ofisi ya Taifa ya Takwimu Tanzania
  • Tovuti ya Ikulu
  • Idara ya Habari Maelezo
  • Tovuti Rasmi ya Wananchi
  • Tovuti Kuu ya Takwimu Huria

Social Media

  • Like us on Facebook
  • Follow us on Twitter
  • Find us on Youtube
  • Follow us on Instagram

Copyright ©2016 GWF . All rights reserved.

  • Kanusho
  • Sera ya faragha
  • Maswali ya Mara kwa Mara
  • Ramani ya Tovuti