• barua pepe
  • Maswali ya Mara kwa Mara
  • Wasiliana Nasi
Mwanza Region

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania
Prime Minister's Office Regional Administration and Local Government
Mkoa wa Mwanza

  • Mwanzo
  • Kuhusu sisi
    • Dira na Mwelekeo
    • Historia ya Mkoa
    • Muundo
  • Wilaya
    • Babati
    • Mbulu
    • Hanang
    • Kiteto
    • Simanjiro
  • Idara
    • Utawala na Rasilimali Watu
    • Planning and Management
    • Fedha na Uhasibu
    • Ukaguzi wa Ndani
    • ununuzi na Ugavi
    • Uchumi na Uzalishaji
    • Miundombinu
    • Serikali za Mitaa
    • Social Welfare
    • Tehama
    • Afya
    • Elimu
    • Maji
  • Machapisho
    • Fomu
    • Miongozo
    • Taratibu
    • Ripoti
  • Investments
    • Investment One
    • Investment Two
    • Investment Three
    • Investment Four
    • Investment Five
  • Kituo cha Habari
    • Habari
    • Matangazo
    • Maktaba ya Picha
    • Sports and Games
    • Hotuba
    • Taarifa Kwa vyombo vya habari
    • Maktaba ya Video

RAS Mwanza awataka Watumishi wa Umma kusimamia weledi Utekelezaji mradi wa FIKIA

Posted on: August 29th, 2023

RAS Mwanza awataka Watumishi wa Umma kusimamia weledi Utekelezaji mradi wa FIKIA


Kaimu Katibu Tawala Mkoa wa Mwanza Daniel Machunda amewataka watumishi wa umma wanaohusika katika utekelezaji wa mradi wa FIKIA PLUS kufanya kazi kwa bidii na weledi na kuhakikisha wanafikia asilimia 100 za matumizi ya fedha za mradi zilizotengwa katika bajeti.

Ametoa maagizo hayo leo wilayani Misungwi kwenye kikao kazi cha siku 2 cha tathmini na maandalizi ya mpango kazi na bajeti mpya ya Mradi wa FIKIA PLUS unafadhiliwa na Shirika la ICAP kilichofanyika kwenye Ukumbi wa Gwambina Hoteli.

Amesema, Mkoa umewahaikishia Wafadhili yaani ICAP na CDC kuwa utatoa ushirikiano katika utekelezaji wa mradi huo ili kuhakikisha unatekelezwa kwa viwango vya juu  na amewapongeza ICAP kwa kuwa na ushirikishaji katika maandalizi ya bajeti ya mradi huo.

Amebainisha kuwa kwa kipindi cha miaka 2 iliyopita ya mradi kama mkoa hatukuweza kuwa na matumizi ya fedha kwa asilimia 100 jambo ambalo siyo sawa kutokana na kuwepo kwa mahitaji makubwa katika kufikia malengo ya kupambana na kuthibiti maambukizi ya Ukimwi kwenye Jamii.

Aidha, Machunda amefafanua kuwa

mwaka wa fedha wa mradi huo unaaanza Oktoba 2023 na kuisha Septemba 2024 na kwamba kikao hicho kimefanya tathmini ya utekelezaji wa mradi kwa mwaka 2022/2023 na kuandaa mpango kazi na bajeti ya 2023/2024.

Mkoa wa Mwanza umejipanga kuendelea na mapambano dhidi ya UKIMWI na udhibiti wa maambukizi mapya ili kufikia lengo la kitaifa la kuwa na maambukizi mpya sifuri ifikapo 2030.

Latest Announcements

  • Tangazo la kukutana na Mhe. Mkuu wa Mkoa wa Mwanza kwa shida mbalimbali.

    soma zaidi
  • TANGAZO LA NANENANE TAREHE 8.8.2025

    soma zaidi
  • View More

Habari Mpya

  • SIKU 100 ZA RAIS DKT. SAMIA: UKEREWE YAPATA AJIRA 127
  • RC MTANDA AWASILI WILAYANI UKEREWE KWA ZIARA YA KIKAZI
  • MWANZA YAIMARISHA UTETEZI WA WATU WENYE ULEMAVU
  • SERIKALI YAAHIDI KUENDELEA KUTOA USHIRIKIANO KWA WADAU WA SEKTA YA BIASHARA
  • CHOROKO KWENYE RAMANI YA UCHUMI WA TAIFA
  • soma zaidi

Wasiliana Nasi

Prime Minister's Office Regional Administration and Local Government Mkoa wa Mwanza
Ofisi ya Mkuu wa Mkoa, Mkoa wa Mwanza, 2 Regional Drive
S.L.P: 119, Mwanza.
Simu: 028-2501037
Barua Pepe: ras@mwanza.go.tz
Simu ya Mkononi: 028-2501037
Balewa/Machemba Road Street
S.L.P: S.L.P 1333, Mwanza
Simu: +255 28 250 1375
Barua Pepe: cd@mwanzacc.go.tz
Simu ya Mkononi: 0768520195
Halmashauri ya Manispaa ya Ilemela
S.L.P: S.L.P 735, Mwanza
Simu: + 255 736 200910
Barua Pepe: md@ilemelamc.go.tz
Simu ya Mkononi:
Halmashauri ya Wilaya ya Magu
S.L.P: S.L.P 200, Magu
Simu: 028-2530035/2530003
Barua Pepe: ded@magudc.go.tz
Simu ya Mkononi:

Viunganishi vya Haraka

  • Maswali Yaulizwayo Mara kwa Mara
  • Makusanyo ya Ndani ya Halmashauri za Mkoa wa Mwanza
  • PReM
  • Fomu ya Ugonjwa
  • Opras fomu
  • Miongozo ya mfumo wa bajeti na Mipango
  • FFARS User Guidelines
  • OFISI MTANDAO

Viunganishi Linganishi

  • Tamisemi
  • Utumishi
  • Tovuti Kuu ya Serikali
  • Salary Slips Portal
  • Tovuti ya Sekreatarieti ya Ajira Tanzania
  • Ofisi ya Taifa ya Takwimu Tanzania
  • Tovuti ya Ikulu
  • Idara ya Habari Maelezo
  • Tovuti Rasmi ya Wananchi
  • Tovuti Kuu ya Takwimu Huria

Social Media

  • Like us on Facebook
  • Follow us on Twitter
  • Find us on Youtube
  • Follow us on Instagram

Copyright ©2016 GWF . All rights reserved.

  • Kanusho
  • Sera ya faragha
  • Maswali ya Mara kwa Mara
  • Ramani ya Tovuti