• barua pepe
  • Maswali ya Mara kwa Mara
  • Wasiliana Nasi
Mwanza Region

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania
Prime Minister's Office Regional Administration and Local Government
Mkoa wa Mwanza

  • Mwanzo
  • Kuhusu sisi
    • Dira na Mwelekeo
    • Historia ya Mkoa
    • Muundo
  • Wilaya
    • Babati
    • Mbulu
    • Hanang
    • Kiteto
    • Simanjiro
  • Idara
    • Utawala na Rasilimali Watu
    • Planning and Management
    • Fedha na Uhasibu
    • Ukaguzi wa Ndani
    • ununuzi na Ugavi
    • Uchumi na Uzalishaji
    • Miundombinu
    • Serikali za Mitaa
    • Social Welfare
    • Tehama
    • Afya
    • Elimu
    • Maji
  • Machapisho
    • Fomu
    • Miongozo
    • Taratibu
    • Ripoti
  • Investments
    • Investment One
    • Investment Two
    • Investment Three
    • Investment Four
    • Investment Five
  • Kituo cha Habari
    • Habari
    • Matangazo
    • Maktaba ya Picha
    • Sports and Games
    • Hotuba
    • Taarifa Kwa vyombo vya habari
    • Maktaba ya Video

RC Gabriel awapongeza Watumishi wa Ofisi yake kwa kazi nzuri

Posted on: July 1st, 2022

Mkuu wa Mkoa wa Mwanza, Mhe. Mhandisi Robert Gabriel amewapongeza na kuwashukuru watumishi wa Ofisi yake kwa ushirikiano uliozaa ufanisi mkubwa kwenye kazi kwa kipindi cha mwaka wa fedha ulioishia juni 30, 2022.

Amebainisha hayo kwa furaha mchana wa leo Julai 1, 2022 katika kikao cha kufungua Mwaka mpya wa fedha 2022/23 kilichowakutanisha watumishi wa Ofisi ya Mkuu wa Mkoa ili kufanya tathmini ya kazi zilizotekelezwa katika kipindi cha mwaka wa fedha uliopita.

"Hongereni kwa kazi nzuri mliyofanya mwaka ulioisha, Mwaka huu Mpya tuna deni kubwa katika kuwahudumia wananchi kupitia ofisi zetu hivyo pamoja na tathmini tunayoenda kufanya ni wajibu wetu kuongeza ushirikiano na kuombeana kheri katika kazi." Mkuu wa Mkoa.

Vilevile, amewakumbusha watumishi wa Ofisi hiyo kuzingatia Melengo ya Makusanyo yaliyo mbeleni na amewataka kuketi na wataalamu wanaohusika na makusanyo katika halmashauri zote ili kuangalia kwa pamoja ni viashiria vipi vya makusanyo vinaonesha kuleta tija.

"Kwangu mimi siwaoni nyie kama wafanyakazi wenzangu bali nawaona kama ndugu zangu, ndani ya mwaka huu tumefanya makubwa nami naongeza maombi ili tuwe na afya njema na tuzidi kuwa bora katika kazi." Mkuu wa Mkoa amesema.

"Hivi karibuni nimezunguka kwenye Halmashauri zote za Mkoa huu kwenye Vikao vya Mabaraza ya CAG na nimeona changamoto kadhaa na tunahitajika sana katika kuwasaidia hasa kuepuka matumizi mabaya ya fedha ili kuepuka hoja." Amesema, Mhe. Gabriel.

Naye, Katibu Tawala wa Mkoa Ngusa Samike amemshukuru Mhe Rais Samia Suluhu Hassan kwa kuipatia Ofisi hiyo zaidi ya Tshs Bilioni 1 ambazo zinatekeleza maboresho ya Miundombinu pamoja na ujenzi wa Nyumba za Makatibu Tawala Wasaidizi, Ukarabati wa Ofisi za Wakuu wa Wilaya na Ujenzi wa Ofisi za Maafisa Tarafa.

"Ndugu watumishi wenzangu, tumekutana hapa leo kufanya tathmini ya tulikotoka na kuweka mikakati mipya kwa mwaka wa fedha tunaouanza katika kuwahudumia wananchi kwa ufanisi na kuboresha mazingira ya kazi." Amesema Samike.

Latest Announcements

  • Tangazo la kukutana na Mhe. Mkuu wa Mkoa wa Mwanza kwa shida mbalimbali.

    soma zaidi
  • TANGAZO LA NANENANE TAREHE 8.8.2025

    soma zaidi
  • View More

Habari Mpya

  • SIKU 100 ZA RAIS DKT. SAMIA: UKEREWE YAPATA AJIRA 127
  • RC MTANDA AWASILI WILAYANI UKEREWE KWA ZIARA YA KIKAZI
  • MWANZA YAIMARISHA UTETEZI WA WATU WENYE ULEMAVU
  • SERIKALI YAAHIDI KUENDELEA KUTOA USHIRIKIANO KWA WADAU WA SEKTA YA BIASHARA
  • CHOROKO KWENYE RAMANI YA UCHUMI WA TAIFA
  • soma zaidi

Wasiliana Nasi

Prime Minister's Office Regional Administration and Local Government Mkoa wa Mwanza
Ofisi ya Mkuu wa Mkoa, Mkoa wa Mwanza, 2 Regional Drive
S.L.P: 119, Mwanza.
Simu: 028-2501037
Barua Pepe: ras@mwanza.go.tz
Simu ya Mkononi: 028-2501037
Balewa/Machemba Road Street
S.L.P: S.L.P 1333, Mwanza
Simu: +255 28 250 1375
Barua Pepe: cd@mwanzacc.go.tz
Simu ya Mkononi: 0768520195
Halmashauri ya Manispaa ya Ilemela
S.L.P: S.L.P 735, Mwanza
Simu: + 255 736 200910
Barua Pepe: md@ilemelamc.go.tz
Simu ya Mkononi:
Halmashauri ya Wilaya ya Magu
S.L.P: S.L.P 200, Magu
Simu: 028-2530035/2530003
Barua Pepe: ded@magudc.go.tz
Simu ya Mkononi:

Viunganishi vya Haraka

  • Maswali Yaulizwayo Mara kwa Mara
  • Makusanyo ya Ndani ya Halmashauri za Mkoa wa Mwanza
  • PReM
  • Fomu ya Ugonjwa
  • Opras fomu
  • Miongozo ya mfumo wa bajeti na Mipango
  • FFARS User Guidelines
  • OFISI MTANDAO

Viunganishi Linganishi

  • Tamisemi
  • Utumishi
  • Tovuti Kuu ya Serikali
  • Salary Slips Portal
  • Tovuti ya Sekreatarieti ya Ajira Tanzania
  • Ofisi ya Taifa ya Takwimu Tanzania
  • Tovuti ya Ikulu
  • Idara ya Habari Maelezo
  • Tovuti Rasmi ya Wananchi
  • Tovuti Kuu ya Takwimu Huria

Social Media

  • Like us on Facebook
  • Follow us on Twitter
  • Find us on Youtube
  • Follow us on Instagram

Copyright ©2016 GWF . All rights reserved.

  • Kanusho
  • Sera ya faragha
  • Maswali ya Mara kwa Mara
  • Ramani ya Tovuti