• barua pepe
  • Maswali ya Mara kwa Mara
  • Wasiliana Nasi
Mwanza Region

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania
Prime Minister's Office Regional Administration and Local Government
Mkoa wa Mwanza

  • Mwanzo
  • Kuhusu sisi
    • Dira na Mwelekeo
    • Historia ya Mkoa
    • Muundo
  • Wilaya
    • Babati
    • Mbulu
    • Hanang
    • Kiteto
    • Simanjiro
  • Idara
    • Utawala na Rasilimali Watu
    • Planning and Management
    • Fedha na Uhasibu
    • Ukaguzi wa Ndani
    • ununuzi na Ugavi
    • Uchumi na Uzalishaji
    • Miundombinu
    • Serikali za Mitaa
    • Social Welfare
    • Tehama
    • Afya
    • Elimu
    • Maji
  • Machapisho
    • Fomu
    • Miongozo
    • Taratibu
    • Ripoti
  • Investments
    • Investment One
    • Investment Two
    • Investment Three
    • Investment Four
    • Investment Five
  • Kituo cha Habari
    • Habari
    • Matangazo
    • Maktaba ya Picha
    • Sports and Games
    • Hotuba
    • Taarifa Kwa vyombo vya habari
    • Maktaba ya Video

RC MAKALLA AAGIZA TANESCO NA RUWASA KUPELEKA HUDUMA ZA MAJI NA UMEME KWENYE UJENZI WA SHULE YA SEKONDARI YA WASICHANA MWANZA

Posted on: July 11th, 2023

RC MAKALLA AAGIZA TANESCO NA RUWASA KUPELEKA HUDUMA ZA MAJI NA UMEME KWENYE UJENZI WA SHULE YA SEKONDARI YA WASICHANA MWANZA


*Awapongeza Magu kwa Usimamizi mzuri wa Ujenzi*


Mkuu wa Mkoa wa Mwanza Mhe. CPA Amos Makalla ameupongeza uongozi wa Halmashauri ya wilaya ya Magu kwa Usimamizi mzuri wa Mradi na amewaagiza TANESCO na RUWASA kupeleka huduma za Umeme na Maji kwenye Shule ya Sekondari ya wasichana ya Mwanza (Mwanza Girls) inayokamilishwa kujengwa.

Mhe. Makalla ametoa agizo hilo mapema leo jumanne Julai 11, 2033 wakati alipofanya ziara kwenye kijiji cha Ihushi-Bujashi kwa ajili ya kukagua Maendeleo ya Ujenzi wa Shule Mpya ya Sekondari ya Wasichana Mwanza (Mwanza Girls) inayotekelezwa kwa zaidi ya Bilioni 3 fedha kutoka kutoka Serikali kuu.


"Mtu wa Maji na Umeme pokeeni kilichopo na utaendelea kudai fedha zingine ili wanafunzi hawa wapate maji au umeme, hizi ni huduma muhimu sana hivyo hatuwezi kuzikosa nataka muanze mpango kazi wa kutekeleza kwa haraka nawe wa barabara tengeneza kwa haraka kwa kutumia kile kidogo kilichopo." Mhe. Makalla.

"Tunamshukuru sana Mhe. Rais kwa kuweka alama hii na mabadiliko makubwa kwenye Sekta ya Elimu wilaya kwetu na Mkoa kwa ujumla, nasi tunamwombea kheri kwa Mwenyezi Mungu na tunamtia moyo aendelee kuwainua watoto wa kike wa nchi hii." amesema Mwenyekiti wa Halmashauri ya Wilaya ya Magu, Mhe. Simon Mpandalume.


Akitoa taarifa ya Utekelezaji wa Ujenzi wa Shule ya Wasichana ya Mwanza (Mwanza Girls), Afisa Elimu Sekondari ya Magu, Beatrice Balige amesema kuwa Halmashauri hiyo imepokea Shilingi bilioni 3 kati ya nne zilizotengwa na kwamba utekelezaji kwa ujumla umefikia zaidi ya asilimia 90 na kwamba wamejiwekea mikakati madhubuti ya kukamilisha kwa wakati.

Ameongeza kuwa Halmashauri hiyo imepokea zaidi ya bilioni Moja kwa ajili ya Ujenzi wa Miundombinu mingine na kwamba Shule hiyo kwa sasa ina Changamoto ya chanzo imara cha Maji pamoja na Umeme na kutokana na ufinyu wa bajeti kwenye eneo hilo huku akibainisha kuwa shule hiyo itasaidia kuboresha mazingira ya kufundisha na kujifunzia.

Latest Announcements

  • Tangazo la kukutana na Mhe. Mkuu wa Mkoa wa Mwanza kwa shida mbalimbali.

    soma zaidi
  • TANGAZO LA NANENANE TAREHE 8.8.2025

    soma zaidi
  • View More

Habari Mpya

  • SIKU 100 ZA RAIS DKT. SAMIA: UKEREWE YAPATA AJIRA 127
  • RC MTANDA AWASILI WILAYANI UKEREWE KWA ZIARA YA KIKAZI
  • MWANZA YAIMARISHA UTETEZI WA WATU WENYE ULEMAVU
  • SERIKALI YAAHIDI KUENDELEA KUTOA USHIRIKIANO KWA WADAU WA SEKTA YA BIASHARA
  • CHOROKO KWENYE RAMANI YA UCHUMI WA TAIFA
  • soma zaidi

Wasiliana Nasi

Prime Minister's Office Regional Administration and Local Government Mkoa wa Mwanza
Ofisi ya Mkuu wa Mkoa, Mkoa wa Mwanza, 2 Regional Drive
S.L.P: 119, Mwanza.
Simu: 028-2501037
Barua Pepe: ras@mwanza.go.tz
Simu ya Mkononi: 028-2501037
Balewa/Machemba Road Street
S.L.P: S.L.P 1333, Mwanza
Simu: +255 28 250 1375
Barua Pepe: cd@mwanzacc.go.tz
Simu ya Mkononi: 0768520195
Halmashauri ya Manispaa ya Ilemela
S.L.P: S.L.P 735, Mwanza
Simu: + 255 736 200910
Barua Pepe: md@ilemelamc.go.tz
Simu ya Mkononi:
Halmashauri ya Wilaya ya Magu
S.L.P: S.L.P 200, Magu
Simu: 028-2530035/2530003
Barua Pepe: ded@magudc.go.tz
Simu ya Mkononi:

Viunganishi vya Haraka

  • Maswali Yaulizwayo Mara kwa Mara
  • Makusanyo ya Ndani ya Halmashauri za Mkoa wa Mwanza
  • PReM
  • Fomu ya Ugonjwa
  • Opras fomu
  • Miongozo ya mfumo wa bajeti na Mipango
  • FFARS User Guidelines
  • OFISI MTANDAO

Viunganishi Linganishi

  • Tamisemi
  • Utumishi
  • Tovuti Kuu ya Serikali
  • Salary Slips Portal
  • Tovuti ya Sekreatarieti ya Ajira Tanzania
  • Ofisi ya Taifa ya Takwimu Tanzania
  • Tovuti ya Ikulu
  • Idara ya Habari Maelezo
  • Tovuti Rasmi ya Wananchi
  • Tovuti Kuu ya Takwimu Huria

Social Media

  • Like us on Facebook
  • Follow us on Twitter
  • Find us on Youtube
  • Follow us on Instagram

Copyright ©2016 GWF . All rights reserved.

  • Kanusho
  • Sera ya faragha
  • Maswali ya Mara kwa Mara
  • Ramani ya Tovuti