• barua pepe
  • Maswali ya Mara kwa Mara
  • Wasiliana Nasi
Mwanza Region

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania
Prime Minister's Office Regional Administration and Local Government
Mkoa wa Mwanza

  • Mwanzo
  • Kuhusu sisi
    • Dira na Mwelekeo
    • Historia ya Mkoa
    • Muundo
  • Wilaya
    • Babati
    • Mbulu
    • Hanang
    • Kiteto
    • Simanjiro
  • Idara
    • Utawala na Rasilimali Watu
    • Planning and Management
    • Fedha na Uhasibu
    • Ukaguzi wa Ndani
    • ununuzi na Ugavi
    • Uchumi na Uzalishaji
    • Miundombinu
    • Serikali za Mitaa
    • Social Welfare
    • Tehama
    • Afya
    • Elimu
    • Maji
  • Machapisho
    • Fomu
    • Miongozo
    • Taratibu
    • Ripoti
  • Investments
    • Investment One
    • Investment Two
    • Investment Three
    • Investment Four
    • Investment Five
  • Kituo cha Habari
    • Habari
    • Matangazo
    • Maktaba ya Picha
    • Sports and Games
    • Hotuba
    • Taarifa Kwa vyombo vya habari
    • Maktaba ya Video

RC Makalla afungua Baraza la Wafanyakazi Mkoa,ahimiza weledi wa kazi

Posted on: May 31st, 2023

*RC Makalla afungua kikao cha Baraza la Wafanyakazi la Mkoa ahimiza weledi kazini*


**Asema atawafuata wananchi walipo kutatua kero zao*


**Ahimiza nidhamu ya kazi*


 *Ataka kuona huduma bora kwa wananchi*



Mkuu wa Mkoa wa Mwanza Mhe.Amos Makalla amelitaka Baraza la Wafanyajazi kutoka Ofisi yake kuwa mfano wa kuchapa kazi ili wananchi waipate taswira halisi ya Serikali inayohimiza uwajibikaji na kuwajali wananchi wake.

Akifungua leo kikao cha Baraza hilo kilichofanyika  ukumbi wa Ofisi ya Mkuu wa Mkoa Mhe.Makalla amewakumbusha wajumbe kutanguliza maslahi ya Utumishi wenye weledi mahali pa kazi na kuepuka aina yoyote ya kuwakwaza wananchi wanapohitaji huduma.

"Niwakumbushe ndugu zangu wafanyakazi tudumishe nidhamu ya kazi,hii ni pamoja na kuwahi kufika kazini na kutoa huduma bora,sura halisi ya Ofisi ya Mkuu wa Mkoa nyie ndiyo mnayoionesha tofauti na hapo hata mimi mtaniangusha na kuonekana siwajibiki ipasavyo",Amesisitiza CPA Makalla.

Mkuu huyo wa Mkoa amebainisha yeye siyo mtu wa kukaa Ofisini na badala yake muda mwingi atautumia kukutana na wananchi huko walipo ili kuzijua kero zao na kuzipatia ufumbuzi na kutaka utaratibu huo uwe kwa kila kiongozi.

Awali akitoa taarifa fupi kabla ya kumkaribisha Mkuu wa Mkoa kulifungua Baraza hilo,Katibu Tawala wa Mkoa wa Mwanza,Ndg Balandya Elikana ambaye pia ni Mwenyekiti wa Baraza hilo, amesema Baraza hilo lipo kwa mujibu wa Sheria na miongoni mwa majukumu yake ni kuangalia utendaji wa kazi kwa ujumla na haki zote stahili za wafanyakazi zinavyozingatiwa.

"Mhe.Mkuu wa Mkoa kikao hiki cha Baraza cha siku moja tutajadiliana mambo mbalimbali na kuyapatia ufumbuzi ikiwemo bajeti ya Mkoa,changamoto za kupandishwa wafanyakazi madaraja na mikakati ya kuboresha mazingira ya kazi",amesema Mtendaji huyo wa Mkoa.

Wajumbe wa Baraza hilo ni pamoja na watumishi wote wa Ofisi ya Mkuu wa Mkoa na makatibu Tawala wa Wilaya.

Latest Announcements

  • Tangazo la kukutana na Mhe. Mkuu wa Mkoa wa Mwanza kwa shida mbalimbali.

    soma zaidi
  • TANGAZO LA NANENANE TAREHE 8.8.2025

    soma zaidi
  • View More

Habari Mpya

  • SIKU 100 ZA RAIS DKT. SAMIA: UKEREWE YAPATA AJIRA 127
  • RC MTANDA AWASILI WILAYANI UKEREWE KWA ZIARA YA KIKAZI
  • MWANZA YAIMARISHA UTETEZI WA WATU WENYE ULEMAVU
  • SERIKALI YAAHIDI KUENDELEA KUTOA USHIRIKIANO KWA WADAU WA SEKTA YA BIASHARA
  • CHOROKO KWENYE RAMANI YA UCHUMI WA TAIFA
  • soma zaidi

Wasiliana Nasi

Prime Minister's Office Regional Administration and Local Government Mkoa wa Mwanza
Ofisi ya Mkuu wa Mkoa, Mkoa wa Mwanza, 2 Regional Drive
S.L.P: 119, Mwanza.
Simu: 028-2501037
Barua Pepe: ras@mwanza.go.tz
Simu ya Mkononi: 028-2501037
Balewa/Machemba Road Street
S.L.P: S.L.P 1333, Mwanza
Simu: +255 28 250 1375
Barua Pepe: cd@mwanzacc.go.tz
Simu ya Mkononi: 0768520195
Halmashauri ya Manispaa ya Ilemela
S.L.P: S.L.P 735, Mwanza
Simu: + 255 736 200910
Barua Pepe: md@ilemelamc.go.tz
Simu ya Mkononi:
Halmashauri ya Wilaya ya Magu
S.L.P: S.L.P 200, Magu
Simu: 028-2530035/2530003
Barua Pepe: ded@magudc.go.tz
Simu ya Mkononi:

Viunganishi vya Haraka

  • Maswali Yaulizwayo Mara kwa Mara
  • Makusanyo ya Ndani ya Halmashauri za Mkoa wa Mwanza
  • PReM
  • Fomu ya Ugonjwa
  • Opras fomu
  • Miongozo ya mfumo wa bajeti na Mipango
  • FFARS User Guidelines
  • OFISI MTANDAO

Viunganishi Linganishi

  • Tamisemi
  • Utumishi
  • Tovuti Kuu ya Serikali
  • Salary Slips Portal
  • Tovuti ya Sekreatarieti ya Ajira Tanzania
  • Ofisi ya Taifa ya Takwimu Tanzania
  • Tovuti ya Ikulu
  • Idara ya Habari Maelezo
  • Tovuti Rasmi ya Wananchi
  • Tovuti Kuu ya Takwimu Huria

Social Media

  • Like us on Facebook
  • Follow us on Twitter
  • Find us on Youtube
  • Follow us on Instagram

Copyright ©2016 GWF . All rights reserved.

  • Kanusho
  • Sera ya faragha
  • Maswali ya Mara kwa Mara
  • Ramani ya Tovuti