• barua pepe
  • Maswali ya Mara kwa Mara
  • Wasiliana Nasi
Mwanza Region

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania
Prime Minister's Office Regional Administration and Local Government
Mkoa wa Mwanza

  • Mwanzo
  • Kuhusu sisi
    • Dira na Mwelekeo
    • Historia ya Mkoa
    • Muundo
  • Wilaya
    • Babati
    • Mbulu
    • Hanang
    • Kiteto
    • Simanjiro
  • Idara
    • Utawala na Rasilimali Watu
    • Planning and Management
    • Fedha na Uhasibu
    • Ukaguzi wa Ndani
    • ununuzi na Ugavi
    • Uchumi na Uzalishaji
    • Miundombinu
    • Serikali za Mitaa
    • Social Welfare
    • Tehama
    • Afya
    • Elimu
    • Maji
  • Machapisho
    • Fomu
    • Miongozo
    • Taratibu
    • Ripoti
  • Investments
    • Investment One
    • Investment Two
    • Investment Three
    • Investment Four
    • Investment Five
  • Kituo cha Habari
    • Habari
    • Matangazo
    • Maktaba ya Picha
    • Sports and Games
    • Hotuba
    • Taarifa Kwa vyombo vya habari
    • Maktaba ya Video

RC MAKALLA AMALIZA MGOGORO WA PAROKIA YA KAGEYE

Posted on: July 11th, 2023

RC MAKALLA AMALIZA MGOGORO WA  PAROKIA YA KAGEYE


*Aruhusu waumini kusali kama zamani*


*Asema kwa nyaraka kageye ni makumbusho ya Taifa*


*Aomba viongozi wa serikali kushirikiana na kanisa*


Mkuu wa Mkos wa Mwanza Mhe.CPA.Amos Makalla ameumaliza mgogoro baina ya Kanisa Katoliki na Halmashauri ya Magu kwa kuwaruhusu Waumini kuendelea kusali eneo la kihistoria la Kageye.

Akizungumza leo na uongozi wa Halmashauri na kanisa Katoliki, baadhi ya wananchi mara baada ya kutembezwa na kufahamishwa taarifa za kihistoria kwenye eneo hilo, Mkuu huyo wa Mkoa amebainisha amefanya mawasiliano na mawazili wa Maliasili na Utalii na Wizara ya Ardhi,Nyumba na Maendeleo ya Makazi,hivyo kwa hatua ya kwanza ameruhusu Waumini kuja kusali hapo.

"Hili eneo ni la Mali Kale chini ya Makumbusho ya Taifa, baada ya mwaka 2019 kufanyika mabadiliko,hivyo nawaomba waumini endeleeni kuonesha ushirikiano na Serikali wakati mchakato wa namna ya kulitumia eneo hili ukiendelea kufanyika",amesisitiza CPA Makalla

Amesema kufika eneo hilo ni utekelezaji wa agizo la Rais Dkt.Samia aliyelitoa wakati wa Sherehe za Bulabo zilizofanyika Juni 13,2023  aliyetaka kufanyika kwa mazungumzo ya pande zote ili kufikia mwafaka sahihi.

"Tunakushukuru sana Mhe.Mkuu wetu wa Mkoa kwa hatua hii,nazungumza hapa kwa niaba ya Baba Askofu Renatus Nkwande tulisimama kuja kusali hapa kwa muda wa mwaka mmoja",Padri John Makungu,Paroko wa Parokia ya Kayenze.

Latest Announcements

  • Tangazo la kukutana na Mhe. Mkuu wa Mkoa wa Mwanza kwa shida mbalimbali.

    soma zaidi
  • TANGAZO LA NANENANE TAREHE 8.8.2025

    soma zaidi
  • View More

Habari Mpya

  • SIKU 100 ZA RAIS DKT. SAMIA: UKEREWE YAPATA AJIRA 127
  • RC MTANDA AWASILI WILAYANI UKEREWE KWA ZIARA YA KIKAZI
  • MWANZA YAIMARISHA UTETEZI WA WATU WENYE ULEMAVU
  • SERIKALI YAAHIDI KUENDELEA KUTOA USHIRIKIANO KWA WADAU WA SEKTA YA BIASHARA
  • CHOROKO KWENYE RAMANI YA UCHUMI WA TAIFA
  • soma zaidi

Wasiliana Nasi

Prime Minister's Office Regional Administration and Local Government Mkoa wa Mwanza
Ofisi ya Mkuu wa Mkoa, Mkoa wa Mwanza, 2 Regional Drive
S.L.P: 119, Mwanza.
Simu: 028-2501037
Barua Pepe: ras@mwanza.go.tz
Simu ya Mkononi: 028-2501037
Balewa/Machemba Road Street
S.L.P: S.L.P 1333, Mwanza
Simu: +255 28 250 1375
Barua Pepe: cd@mwanzacc.go.tz
Simu ya Mkononi: 0768520195
Halmashauri ya Manispaa ya Ilemela
S.L.P: S.L.P 735, Mwanza
Simu: + 255 736 200910
Barua Pepe: md@ilemelamc.go.tz
Simu ya Mkononi:
Halmashauri ya Wilaya ya Magu
S.L.P: S.L.P 200, Magu
Simu: 028-2530035/2530003
Barua Pepe: ded@magudc.go.tz
Simu ya Mkononi:

Viunganishi vya Haraka

  • Maswali Yaulizwayo Mara kwa Mara
  • Makusanyo ya Ndani ya Halmashauri za Mkoa wa Mwanza
  • PReM
  • Fomu ya Ugonjwa
  • Opras fomu
  • Miongozo ya mfumo wa bajeti na Mipango
  • FFARS User Guidelines
  • OFISI MTANDAO

Viunganishi Linganishi

  • Tamisemi
  • Utumishi
  • Tovuti Kuu ya Serikali
  • Salary Slips Portal
  • Tovuti ya Sekreatarieti ya Ajira Tanzania
  • Ofisi ya Taifa ya Takwimu Tanzania
  • Tovuti ya Ikulu
  • Idara ya Habari Maelezo
  • Tovuti Rasmi ya Wananchi
  • Tovuti Kuu ya Takwimu Huria

Social Media

  • Like us on Facebook
  • Follow us on Twitter
  • Find us on Youtube
  • Follow us on Instagram

Copyright ©2016 GWF . All rights reserved.

  • Kanusho
  • Sera ya faragha
  • Maswali ya Mara kwa Mara
  • Ramani ya Tovuti