• barua pepe
  • Maswali ya Mara kwa Mara
  • Wasiliana Nasi
Mwanza Region

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania
Prime Minister's Office Regional Administration and Local Government
Mkoa wa Mwanza

  • Mwanzo
  • Kuhusu sisi
    • Dira na Mwelekeo
    • Historia ya Mkoa
    • Muundo
  • Wilaya
    • Babati
    • Mbulu
    • Hanang
    • Kiteto
    • Simanjiro
  • Idara
    • Utawala na Rasilimali Watu
    • Planning and Management
    • Fedha na Uhasibu
    • Ukaguzi wa Ndani
    • ununuzi na Ugavi
    • Uchumi na Uzalishaji
    • Miundombinu
    • Serikali za Mitaa
    • Social Welfare
    • Tehama
    • Afya
    • Elimu
    • Maji
  • Machapisho
    • Fomu
    • Miongozo
    • Taratibu
    • Ripoti
  • Investments
    • Investment One
    • Investment Two
    • Investment Three
    • Investment Four
    • Investment Five
  • Kituo cha Habari
    • Habari
    • Matangazo
    • Maktaba ya Picha
    • Sports and Games
    • Hotuba
    • Taarifa Kwa vyombo vya habari
    • Maktaba ya Video

RC MAKALLA ATOA SIKU 14 IDARA YA ARDHI KUMALIZA MGOGORO ENEO LA Z.E.K LADHANI

Posted on: November 14th, 2023

RC MAKALLA ATOA SIKU 14 IDARA YA ARDHI KUMALIZA MGOGORO ENEO LA Z.E.K LADHANI


*Awataka watendaji kumpa haki yake mmiliki huyo halali tangia Mwaka 1986*


*Makalla Atinga kwenye eneo husika, athibitisha  Maelezo mengi yalikuwa ya uongo*


*Awataka idara ya ardhi Jiji la Mwanza kumpa eneo lake halali au fidia kama wanalihitaji*


*Awataka Jiji hilo kumpa ushirikiano mmiliki na kumwonesha mipaka yake halali*


Mkuu wa Mkoa wa Mwanza Mhe.CPA Amos Makalla amewaagiza Idara ya Ardhi Jiji la Mwanza kumpa haki yake Mmiliki wa Kiwanja namba 1 Kitalu R Mjini Kati ndani ya Siku 14 kwani mgogoro uliopo unatokana na watendaji wa Idara hiyo kutokuwa na weledi.


CPA Makalla amesema hayo mapema leo Novemba 14, 2023 wakati wa kikao chake na kamati ya ardhi ya kushughulikia migogoro uliowakutanisha na wamiliki wa eneo hilo baada ya kufika  na kujionea kwa macho uhalisia na kubaini kuwa kuna uzembe upande wa idara hiyo hadi kuibuka kwa mgogoro huo.

Makalla amesema mpango wa maendeleo ya Makazi wa Mwaka 1967 unaonesha wazi kuwa eneo hilo la kiwanja Namba 1, Kitalu R lilimilikishwa kwa Z.E.K Ladhani na si vinginevyo kama anavyosumbuliwa kuendeleza eneo lake kwa sababu zisizo na msingi.

Akitoa majumuisho yake, Mhe. Makalla amewataka Idara ya ardhi kuhakikisha wanamwonesha mipaka yake au wanampa barua ya kumfidia kama Jiji hilo wanalihitaji eneo lake kwa matumizi mengine au wamtake mmiliki wa kiwanja namba mbili wamtake alinunue eneo hilo endapo analihitaji.


Mwakilishi wa upande wa Walalamikaji ametumia wasaa huo Kumshukuru Mkuu wa Mkoa na akatoa pendekezo la kurahisisha mgogoro kuwa TANESCO na TARURA wana nafasi ya kusaidia kwani kuna miundombinu yao kwenye eneo linalolalamikiwa.

Latest Announcements

  • Tangazo la kukutana na Mhe. Mkuu wa Mkoa wa Mwanza kwa shida mbalimbali.

    soma zaidi
  • TANGAZO LA NANENANE TAREHE 8.8.2025

    soma zaidi
  • View More

Habari Mpya

  • SIKU 100 ZA RAIS DKT. SAMIA: UKEREWE YAPATA AJIRA 127
  • RC MTANDA AWASILI WILAYANI UKEREWE KWA ZIARA YA KIKAZI
  • MWANZA YAIMARISHA UTETEZI WA WATU WENYE ULEMAVU
  • SERIKALI YAAHIDI KUENDELEA KUTOA USHIRIKIANO KWA WADAU WA SEKTA YA BIASHARA
  • CHOROKO KWENYE RAMANI YA UCHUMI WA TAIFA
  • soma zaidi

Wasiliana Nasi

Prime Minister's Office Regional Administration and Local Government Mkoa wa Mwanza
Ofisi ya Mkuu wa Mkoa, Mkoa wa Mwanza, 2 Regional Drive
S.L.P: 119, Mwanza.
Simu: 028-2501037
Barua Pepe: ras@mwanza.go.tz
Simu ya Mkononi: 028-2501037
Balewa/Machemba Road Street
S.L.P: S.L.P 1333, Mwanza
Simu: +255 28 250 1375
Barua Pepe: cd@mwanzacc.go.tz
Simu ya Mkononi: 0768520195
Halmashauri ya Manispaa ya Ilemela
S.L.P: S.L.P 735, Mwanza
Simu: + 255 736 200910
Barua Pepe: md@ilemelamc.go.tz
Simu ya Mkononi:
Halmashauri ya Wilaya ya Magu
S.L.P: S.L.P 200, Magu
Simu: 028-2530035/2530003
Barua Pepe: ded@magudc.go.tz
Simu ya Mkononi:

Viunganishi vya Haraka

  • Maswali Yaulizwayo Mara kwa Mara
  • Makusanyo ya Ndani ya Halmashauri za Mkoa wa Mwanza
  • PReM
  • Fomu ya Ugonjwa
  • Opras fomu
  • Miongozo ya mfumo wa bajeti na Mipango
  • FFARS User Guidelines
  • OFISI MTANDAO

Viunganishi Linganishi

  • Tamisemi
  • Utumishi
  • Tovuti Kuu ya Serikali
  • Salary Slips Portal
  • Tovuti ya Sekreatarieti ya Ajira Tanzania
  • Ofisi ya Taifa ya Takwimu Tanzania
  • Tovuti ya Ikulu
  • Idara ya Habari Maelezo
  • Tovuti Rasmi ya Wananchi
  • Tovuti Kuu ya Takwimu Huria

Social Media

  • Like us on Facebook
  • Follow us on Twitter
  • Find us on Youtube
  • Follow us on Instagram

Copyright ©2016 GWF . All rights reserved.

  • Kanusho
  • Sera ya faragha
  • Maswali ya Mara kwa Mara
  • Ramani ya Tovuti