• barua pepe
  • Maswali ya Mara kwa Mara
  • Wasiliana Nasi
Mwanza Region

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania
Prime Minister's Office Regional Administration and Local Government
Mkoa wa Mwanza

  • Mwanzo
  • Kuhusu sisi
    • Dira na Mwelekeo
    • Historia ya Mkoa
    • Muundo
  • Wilaya
    • Babati
    • Mbulu
    • Hanang
    • Kiteto
    • Simanjiro
  • Idara
    • Utawala na Rasilimali Watu
    • Planning and Management
    • Fedha na Uhasibu
    • Ukaguzi wa Ndani
    • ununuzi na Ugavi
    • Uchumi na Uzalishaji
    • Miundombinu
    • Serikali za Mitaa
    • Social Welfare
    • Tehama
    • Afya
    • Elimu
    • Maji
  • Machapisho
    • Fomu
    • Miongozo
    • Taratibu
    • Ripoti
  • Investments
    • Investment One
    • Investment Two
    • Investment Three
    • Investment Four
    • Investment Five
  • Kituo cha Habari
    • Habari
    • Matangazo
    • Maktaba ya Picha
    • Sports and Games
    • Hotuba
    • Taarifa Kwa vyombo vya habari
    • Maktaba ya Video

RC MAKALLA AWAHAKIKISHIA WAKAZI WA KIPANDE CHA FELA KUJA MWANZA MJINI MALIPO YAO YA FIDIA KUPISHA MRADI WA SGR YAMEKAMILIKA

Posted on: July 10th, 2023

RC MAKALLA AWAHAKIKISHIA WAKAZI WA KIPANDE CHA FELA KUJA MWANZA MJINI MALIPO YAO YA FIDIA KUPISHA MRADI WA SGR YAMEKAMILIKA


*Asema malipo yao yapo hatua za mwisho kulipwa


*Ofisi yake imejipanga kukabiliana na aina yoyote ya hujuma kwenye mradi


*Ampongeza Mkandarasi kwa kasi nzuri.


Mkuu wa Mkoa wa Mwanza Mhe.CPA Amos Makalla amewahakikishia wakazi wa kipande cha kutoka Fela kuja Mwanza mjini cha kilomita 20 wanaotakiwa kupisha mradi wa Treni iendayo kasi SGR utaratibu wa malipo yao ya fidia upo katika hatua za mwisho kulipwa.

Akizungumza na uongozi wa mradi huo kwenye ukumbi mdogo wa Ofisi ya Mkuu wa Mkoa kwa lengo la kufanya tathmini ya mradi huo,Mhe.Makala amewataka wananchi hao kuondoa shaka kwani mchakato wa malipo yao sasa upo Hazina.


"Hatua zote za msingi kuhusiana na fidia kwa wakazi wa maeneo hayo umefanyika,na wakati wowote kuanzia sasa malipo yatafanyika naomba niwahakikishie,"amesisitiza Mkuu huyo wa Mkoa.


Ameongeza kuwa Ofisi yake imejipanga kikamilifu kukabiliana na aina yoyote ya hujuma itakayofanyika kwenye mradi huo kwani kwa matendo hayo yatachangia kuzorotesha na kuchelewesha kukamilika kwa mradi huo.


"Nichukue nafasi hii kumpongeza sana Rais wetu Dkt.Samia Suluhu kwa kuhakikisha mradi huu unaendelea na fedha kutolewa kwa wakati",CPA Makalla


"Tupo katika hatua nzuri kukamilisha mradi huu,kipande cha Isaka-Mwanza chenye kilomita 341 kinajengwa kwa ubia wa Kampuni ya CCECC na CRCC zote kutoka China,"Christopher Kalisti,Meneja Mradi SGR LOT 5.

Latest Announcements

  • Tangazo la kukutana na Mhe. Mkuu wa Mkoa wa Mwanza kwa shida mbalimbali.

    soma zaidi
  • TANGAZO LA NANENANE TAREHE 8.8.2025

    soma zaidi
  • View More

Habari Mpya

  • SIKU 100 ZA RAIS DKT. SAMIA: UKEREWE YAPATA AJIRA 127
  • RC MTANDA AWASILI WILAYANI UKEREWE KWA ZIARA YA KIKAZI
  • MWANZA YAIMARISHA UTETEZI WA WATU WENYE ULEMAVU
  • SERIKALI YAAHIDI KUENDELEA KUTOA USHIRIKIANO KWA WADAU WA SEKTA YA BIASHARA
  • CHOROKO KWENYE RAMANI YA UCHUMI WA TAIFA
  • soma zaidi

Wasiliana Nasi

Prime Minister's Office Regional Administration and Local Government Mkoa wa Mwanza
Ofisi ya Mkuu wa Mkoa, Mkoa wa Mwanza, 2 Regional Drive
S.L.P: 119, Mwanza.
Simu: 028-2501037
Barua Pepe: ras@mwanza.go.tz
Simu ya Mkononi: 028-2501037
Balewa/Machemba Road Street
S.L.P: S.L.P 1333, Mwanza
Simu: +255 28 250 1375
Barua Pepe: cd@mwanzacc.go.tz
Simu ya Mkononi: 0768520195
Halmashauri ya Manispaa ya Ilemela
S.L.P: S.L.P 735, Mwanza
Simu: + 255 736 200910
Barua Pepe: md@ilemelamc.go.tz
Simu ya Mkononi:
Halmashauri ya Wilaya ya Magu
S.L.P: S.L.P 200, Magu
Simu: 028-2530035/2530003
Barua Pepe: ded@magudc.go.tz
Simu ya Mkononi:

Viunganishi vya Haraka

  • Maswali Yaulizwayo Mara kwa Mara
  • Makusanyo ya Ndani ya Halmashauri za Mkoa wa Mwanza
  • PReM
  • Fomu ya Ugonjwa
  • Opras fomu
  • Miongozo ya mfumo wa bajeti na Mipango
  • FFARS User Guidelines
  • OFISI MTANDAO

Viunganishi Linganishi

  • Tamisemi
  • Utumishi
  • Tovuti Kuu ya Serikali
  • Salary Slips Portal
  • Tovuti ya Sekreatarieti ya Ajira Tanzania
  • Ofisi ya Taifa ya Takwimu Tanzania
  • Tovuti ya Ikulu
  • Idara ya Habari Maelezo
  • Tovuti Rasmi ya Wananchi
  • Tovuti Kuu ya Takwimu Huria

Social Media

  • Like us on Facebook
  • Follow us on Twitter
  • Find us on Youtube
  • Follow us on Instagram

Copyright ©2016 GWF . All rights reserved.

  • Kanusho
  • Sera ya faragha
  • Maswali ya Mara kwa Mara
  • Ramani ya Tovuti