• barua pepe
  • Maswali ya Mara kwa Mara
  • Wasiliana Nasi
Mwanza Region

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania
Prime Minister's Office Regional Administration and Local Government
Mkoa wa Mwanza

  • Mwanzo
  • Kuhusu sisi
    • Dira na Mwelekeo
    • Historia ya Mkoa
    • Muundo
  • Wilaya
    • Babati
    • Mbulu
    • Hanang
    • Kiteto
    • Simanjiro
  • Idara
    • Utawala na Rasilimali Watu
    • Planning and Management
    • Fedha na Uhasibu
    • Ukaguzi wa Ndani
    • ununuzi na Ugavi
    • Uchumi na Uzalishaji
    • Miundombinu
    • Serikali za Mitaa
    • Social Welfare
    • Tehama
    • Afya
    • Elimu
    • Maji
  • Machapisho
    • Fomu
    • Miongozo
    • Taratibu
    • Ripoti
  • Investments
    • Investment One
    • Investment Two
    • Investment Three
    • Investment Four
    • Investment Five
  • Kituo cha Habari
    • Habari
    • Matangazo
    • Maktaba ya Picha
    • Sports and Games
    • Hotuba
    • Taarifa Kwa vyombo vya habari
    • Maktaba ya Video

RC MAKALLA AWAOMBA WADAU WA ELIMU KUJITOKEZA KUING'ARISHA MWANZA KUCHANGIA MFUKO WA MAENDELEO YA ELIMU DUNIANI

Posted on: July 20th, 2023

RC MAKALLA AWAOMBA WADAU WA ELIMU KUJITOKEZA KUING'ARISHA MWANZA KUCHANGIA MFUKO WA MAENDELEO YA ELIMU DUNIANI


*Asema faida ya kuchangia mfuko huo ni Tanzania kuzidi kuimarika kwenye Sekta ya elimu


*Aonesha matumaini wadau kumuunga mkono kwa wingi kwenye mkutano wa kitaifa mwezi ujao


Wadau wa elimu Mkoani Mwanza wameombwa kujitokeza kwa wingi kuunga mkono mpango wa uchangiaji elimu kupitia mfuko wa maendeleo ya elimu Duniani GPE ili Tanzania iweze kunufaika na msaada wa Dolla milioni 50 endapo nchi hii itaonesha utayari huo.

Akizungumza leo kwenye kikao kifupi cha kuelimishana kuhusu mpango huo kilichofanyika kwenye ukumbi mkubwa wa Ofisi ya Mkuu wa Mkoa,Mkuu wa Mkoa wa Mwanza Mhe.CPA.Amos Makalla amesema faida ya kupata fedha hizo ni kubwa katika kuzidi kujiimarisha kwenye sekta ya elimu hapa nchini

"Ndugu zangu wadau wa elimu tunaona jitihada za Serikali ya awamu ya sita inazofanya kwenye sekta hii ya elimu,hivyo tukifanikiwa kuzipata fedha hizo zitakwenda kujikita katika kuboresha miundombinu,na kuwajengea zaidi uwezo walimu wetu,"CPA Amos Makalla

Aidha ameonesha Imani kwa wadau hao kumuunga mkono kwa wingi katika uchangiaji huo ili katika kikao cha kitaifa kitakachofanyika Agosti 25,2023 kitakacho wajumuisha wakuu wa mikoa wote Mkoa wa Mwanza ushike nafasi za juu katika kuunga mkono mpango huo.


"Tanzania ni mnufaika wa  Mfuko huu tangu mwaka 2013 na ufadhili wa kwanza tulipata dola milioni 94.8 na zilisaidia mpango wa KKK yaani kusoma,kuandika na kuhesabu na Mkoa wa Mwanza umepata Shs bilioni 2.8 kuimarisha mkakati huo",amefafanua Dkt.Nicholous Gati,Afisa ufuatiliaji na tathmini,Mfuko wa maendeleo ya elimu Duniani,GPE.


Latest Announcements

  • Tangazo la kukutana na Mhe. Mkuu wa Mkoa wa Mwanza kwa shida mbalimbali.

    soma zaidi
  • TANGAZO LA NANENANE TAREHE 8.8.2025

    soma zaidi
  • View More

Habari Mpya

  • SIKU 100 ZA RAIS DKT. SAMIA: UKEREWE YAPATA AJIRA 127
  • RC MTANDA AWASILI WILAYANI UKEREWE KWA ZIARA YA KIKAZI
  • MWANZA YAIMARISHA UTETEZI WA WATU WENYE ULEMAVU
  • SERIKALI YAAHIDI KUENDELEA KUTOA USHIRIKIANO KWA WADAU WA SEKTA YA BIASHARA
  • CHOROKO KWENYE RAMANI YA UCHUMI WA TAIFA
  • soma zaidi

Wasiliana Nasi

Prime Minister's Office Regional Administration and Local Government Mkoa wa Mwanza
Ofisi ya Mkuu wa Mkoa, Mkoa wa Mwanza, 2 Regional Drive
S.L.P: 119, Mwanza.
Simu: 028-2501037
Barua Pepe: ras@mwanza.go.tz
Simu ya Mkononi: 028-2501037
Balewa/Machemba Road Street
S.L.P: S.L.P 1333, Mwanza
Simu: +255 28 250 1375
Barua Pepe: cd@mwanzacc.go.tz
Simu ya Mkononi: 0768520195
Halmashauri ya Manispaa ya Ilemela
S.L.P: S.L.P 735, Mwanza
Simu: + 255 736 200910
Barua Pepe: md@ilemelamc.go.tz
Simu ya Mkononi:
Halmashauri ya Wilaya ya Magu
S.L.P: S.L.P 200, Magu
Simu: 028-2530035/2530003
Barua Pepe: ded@magudc.go.tz
Simu ya Mkononi:

Viunganishi vya Haraka

  • Maswali Yaulizwayo Mara kwa Mara
  • Makusanyo ya Ndani ya Halmashauri za Mkoa wa Mwanza
  • PReM
  • Fomu ya Ugonjwa
  • Opras fomu
  • Miongozo ya mfumo wa bajeti na Mipango
  • FFARS User Guidelines
  • OFISI MTANDAO

Viunganishi Linganishi

  • Tamisemi
  • Utumishi
  • Tovuti Kuu ya Serikali
  • Salary Slips Portal
  • Tovuti ya Sekreatarieti ya Ajira Tanzania
  • Ofisi ya Taifa ya Takwimu Tanzania
  • Tovuti ya Ikulu
  • Idara ya Habari Maelezo
  • Tovuti Rasmi ya Wananchi
  • Tovuti Kuu ya Takwimu Huria

Social Media

  • Like us on Facebook
  • Follow us on Twitter
  • Find us on Youtube
  • Follow us on Instagram

Copyright ©2016 GWF . All rights reserved.

  • Kanusho
  • Sera ya faragha
  • Maswali ya Mara kwa Mara
  • Ramani ya Tovuti