• barua pepe
  • Maswali ya Mara kwa Mara
  • Wasiliana Nasi
Mwanza Region

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania
Prime Minister's Office Regional Administration and Local Government
Mkoa wa Mwanza

  • Mwanzo
  • Kuhusu sisi
    • Dira na Mwelekeo
    • Historia ya Mkoa
    • Muundo
  • Wilaya
    • Babati
    • Mbulu
    • Hanang
    • Kiteto
    • Simanjiro
  • Idara
    • Utawala na Rasilimali Watu
    • Planning and Management
    • Fedha na Uhasibu
    • Ukaguzi wa Ndani
    • ununuzi na Ugavi
    • Uchumi na Uzalishaji
    • Miundombinu
    • Serikali za Mitaa
    • Social Welfare
    • Tehama
    • Afya
    • Elimu
    • Maji
  • Machapisho
    • Fomu
    • Miongozo
    • Taratibu
    • Ripoti
  • Investments
    • Investment One
    • Investment Two
    • Investment Three
    • Investment Four
    • Investment Five
  • Kituo cha Habari
    • Habari
    • Matangazo
    • Maktaba ya Picha
    • Sports and Games
    • Hotuba
    • Taarifa Kwa vyombo vya habari
    • Maktaba ya Video

RC MAKALLA AWATAKA NSSF KUHARAKISHA KUIDHINISHA MABORESHO ILI MKANDARASI WA UJENZI HOTELI AKAMILISHE HARAKA

Posted on: January 10th, 2024

RC MAKALLA AWATAKA NSSF KUHARAKISHA KUIDHINISHA MABORESHO ILI MKANDARASI WA UJENZI HOTELI AKAMILISHE HARAKA


*Asema Mwanza ni mji wa kimkakati kitalii lazima wachangamkie fursa*


*Awataka kukamilisha taratibu za manunuzi ili mkandarasi aende kasi*


Mkuu wa Mkoa wa Mwanza Mhe. CPA Amos Makalla amewataka Mfuko wa Jamii (NSSF) kuharakisha taratibu za manunuzi ili mkandarasi anayejenga Hoteli ya kisasa ya kitalii ya nyota tano jijini Mwanza aendelee na ujenzi na kukamilisha kwa wakati.

Mkuu wa Mkoa ametoa maagizo hayo leo Januari 10, 2024 alipofika kukagua ujenzi wa Hoteli hiyo na kubaini kuwa ujenzi umesimama jambo ambalo litakwamisha ukamilishaji mwezi Julai mwaka huu kama ambavyo walibainisha siku za nyuma.

"Sasa nyie NSSF inaonesha mapendekezo yameshatolewa lakini msipofanya maamuzi mtachelewa zaidi ya hapa msilete visingizio vya bodi kukutana kumpa muda mkandarasi na kuidhinisha vitu fulani hapo tutachelewa zaidi nataka mkandarasi apewe kazi afanye." Makalla.


Aidha, amewataka NSSF kukamilisha taratibu za ukandarasi wa ujenzi wa Hoteli hiyo kufuatia kuongezwa kwa muda wa mkataba kufikia Disemba 2024 badala ya Mwezi Julai 2024 kama walivyoahidi siku za nyuma.

"Hoteli hii ni Muhimu sana kwa ukanda huu, Mwanza ni mji wa kimkakati nanyi mmepata nafasi ya kumiliki hoteli ya kisasa halafu mnaichezea wakati pale uwanja wa ndege linajengwa jengo la abiria na sehemu ya manunuzi (Shopping Mall), changamkeni." CPA makalla.

Latest Announcements

  • Tangazo la kukutana na Mhe. Mkuu wa Mkoa wa Mwanza kwa shida mbalimbali.

    soma zaidi
  • TANGAZO LA NANENANE TAREHE 8.8.2025

    soma zaidi
  • View More

Habari Mpya

  • SIKU 100 ZA RAIS DKT. SAMIA: UKEREWE YAPATA AJIRA 127
  • RC MTANDA AWASILI WILAYANI UKEREWE KWA ZIARA YA KIKAZI
  • MWANZA YAIMARISHA UTETEZI WA WATU WENYE ULEMAVU
  • SERIKALI YAAHIDI KUENDELEA KUTOA USHIRIKIANO KWA WADAU WA SEKTA YA BIASHARA
  • CHOROKO KWENYE RAMANI YA UCHUMI WA TAIFA
  • soma zaidi

Wasiliana Nasi

Prime Minister's Office Regional Administration and Local Government Mkoa wa Mwanza
Ofisi ya Mkuu wa Mkoa, Mkoa wa Mwanza, 2 Regional Drive
S.L.P: 119, Mwanza.
Simu: 028-2501037
Barua Pepe: ras@mwanza.go.tz
Simu ya Mkononi: 028-2501037
Balewa/Machemba Road Street
S.L.P: S.L.P 1333, Mwanza
Simu: +255 28 250 1375
Barua Pepe: cd@mwanzacc.go.tz
Simu ya Mkononi: 0768520195
Halmashauri ya Manispaa ya Ilemela
S.L.P: S.L.P 735, Mwanza
Simu: + 255 736 200910
Barua Pepe: md@ilemelamc.go.tz
Simu ya Mkononi:
Halmashauri ya Wilaya ya Magu
S.L.P: S.L.P 200, Magu
Simu: 028-2530035/2530003
Barua Pepe: ded@magudc.go.tz
Simu ya Mkononi:

Viunganishi vya Haraka

  • Maswali Yaulizwayo Mara kwa Mara
  • Makusanyo ya Ndani ya Halmashauri za Mkoa wa Mwanza
  • PReM
  • Fomu ya Ugonjwa
  • Opras fomu
  • Miongozo ya mfumo wa bajeti na Mipango
  • FFARS User Guidelines
  • OFISI MTANDAO

Viunganishi Linganishi

  • Tamisemi
  • Utumishi
  • Tovuti Kuu ya Serikali
  • Salary Slips Portal
  • Tovuti ya Sekreatarieti ya Ajira Tanzania
  • Ofisi ya Taifa ya Takwimu Tanzania
  • Tovuti ya Ikulu
  • Idara ya Habari Maelezo
  • Tovuti Rasmi ya Wananchi
  • Tovuti Kuu ya Takwimu Huria

Social Media

  • Like us on Facebook
  • Follow us on Twitter
  • Find us on Youtube
  • Follow us on Instagram

Copyright ©2016 GWF . All rights reserved.

  • Kanusho
  • Sera ya faragha
  • Maswali ya Mara kwa Mara
  • Ramani ya Tovuti