• barua pepe
  • Maswali ya Mara kwa Mara
  • Wasiliana Nasi
Mwanza Region

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania
Prime Minister's Office Regional Administration and Local Government
Mkoa wa Mwanza

  • Mwanzo
  • Kuhusu sisi
    • Dira na Mwelekeo
    • Historia ya Mkoa
    • Muundo
  • Wilaya
    • Babati
    • Mbulu
    • Hanang
    • Kiteto
    • Simanjiro
  • Idara
    • Utawala na Rasilimali Watu
    • Planning and Management
    • Fedha na Uhasibu
    • Ukaguzi wa Ndani
    • ununuzi na Ugavi
    • Uchumi na Uzalishaji
    • Miundombinu
    • Serikali za Mitaa
    • Social Welfare
    • Tehama
    • Afya
    • Elimu
    • Maji
  • Machapisho
    • Fomu
    • Miongozo
    • Taratibu
    • Ripoti
  • Investments
    • Investment One
    • Investment Two
    • Investment Three
    • Investment Four
    • Investment Five
  • Kituo cha Habari
    • Habari
    • Matangazo
    • Maktaba ya Picha
    • Sports and Games
    • Hotuba
    • Taarifa Kwa vyombo vya habari
    • Maktaba ya Video

RC Malima akabidhi Viti. mwendo 70,Fimbo 30 kwa wenye mahitaji maalum Mwanza

Posted on: February 27th, 2023


Mkuu wa Mkoa wa Mwanza Mhe. Adam Malima amekabidhi Baiskeli 70 na Fimbo 30 kwa watu wenye mahitaji maalum vilivyotolewa na Mhe. Furaha Matondo Mbunge wa Viti Maalum Mkoani Mwanza kutoka Jimbo la Ukerewe Mkoani humo.

Akizungumza kwenye hafla ya kukabidhi Vifaa hivyo iliyofanyika mapema leo Jijini Mwanza, Mhe. Malima amekemea tabia ya Unyanyapaa inayofanywa na baadhi ya watu kwa watu wenye Ulemavu na badala yake amewataka kuwapa nafasi ya kushiriki kujenga nchi katika vitu tofauti ambavyo wana vipaji navyo.

Vilevile, amemshukuru Mhe. Matondo kwa msaada huo na amemtia moyo kuendelea kuwajali wenye Ulemavu na akatoa wito kwa wengine kujitoa kwa kundi hilo muhimu na kwamba kwa Mwenyezi Mungu amefanya hisani yenye Ibada ndani yake.

Aidha, amewakemea wazazi na viongozi wanaonyamazia matukio ya ukatili wa kijinsia yanayotokea kwenye jamii na akawataka kuona kama ni jukumu la kila mmoja kukemea matendo kama ya ulawiti, ukatili na Unyanyasaji wa jamii ili kutokomeza madhira hayo kwenye jamii.

"Watoto wananyanyaswa sana, ulawiti na ubakaji vimekithiri sana nami nimehuzunishwa sana na matukio ya ukatili wa kijinsia na kwa watoto wadogo alafu jamii inawajua waovu hawa kwakuwa wanaishi nao" Ameongea Mhe. Malima wakati akionya kuhusiana na Ukatili wa kijinsia.

Mhe. Jamal Babu Mjumbe wa Halmashauri Kuu ya Chama Cha Mapinduzi (CCM) Taifa akiwakilisha Mkoa wa Mwanza ametoa wito kwa Serikali kuendelea kuwajali watu wenye ulemavu nchini kwa kuwapa kipaumbele kwenye huduma na kuwawekea Miundombinu rafiki kwa matumizi hususani kwenye Shule na Zahanati.

Naye Mhe. Furaha Matondo amesema anamshukuru Mwenyezi Mungu kwa kumjalia kupata vifaa hivyo na kusaidia watu wenye uhitaji na hiyo yote amefanya kwa moyo wa dhati ikiwa ni kumsaidia Mhe. Rais katika kuboresha maisha kwa makundi ya watu wenye Ulemavu.

Bi. Neofita Mkiringi, Mtaalamu wa Viti Mwendo kutoka CCBRT ametoa wito kwa viongozi wanaotaka kutoa misaada ya Viti Mwendo kuwashirikisha wataalam wa Magonjwa ya viungo kabla ya kufanya hivyo ili kuwalinda watumiaji na matatizo ya vidonda Mkandamizo, Mgongo kupinda na miguu kuumia.

Latest Announcements

  • Tangazo la kukutana na Mhe. Mkuu wa Mkoa wa Mwanza kwa shida mbalimbali.

    soma zaidi
  • TANGAZO LA NANENANE TAREHE 8.8.2025

    soma zaidi
  • View More

Habari Mpya

  • SIKU 100 ZA RAIS DKT. SAMIA: UKEREWE YAPATA AJIRA 127
  • RC MTANDA AWASILI WILAYANI UKEREWE KWA ZIARA YA KIKAZI
  • MWANZA YAIMARISHA UTETEZI WA WATU WENYE ULEMAVU
  • SERIKALI YAAHIDI KUENDELEA KUTOA USHIRIKIANO KWA WADAU WA SEKTA YA BIASHARA
  • CHOROKO KWENYE RAMANI YA UCHUMI WA TAIFA
  • soma zaidi

Wasiliana Nasi

Prime Minister's Office Regional Administration and Local Government Mkoa wa Mwanza
Ofisi ya Mkuu wa Mkoa, Mkoa wa Mwanza, 2 Regional Drive
S.L.P: 119, Mwanza.
Simu: 028-2501037
Barua Pepe: ras@mwanza.go.tz
Simu ya Mkononi: 028-2501037
Balewa/Machemba Road Street
S.L.P: S.L.P 1333, Mwanza
Simu: +255 28 250 1375
Barua Pepe: cd@mwanzacc.go.tz
Simu ya Mkononi: 0768520195
Halmashauri ya Manispaa ya Ilemela
S.L.P: S.L.P 735, Mwanza
Simu: + 255 736 200910
Barua Pepe: md@ilemelamc.go.tz
Simu ya Mkononi:
Halmashauri ya Wilaya ya Magu
S.L.P: S.L.P 200, Magu
Simu: 028-2530035/2530003
Barua Pepe: ded@magudc.go.tz
Simu ya Mkononi:

Viunganishi vya Haraka

  • Maswali Yaulizwayo Mara kwa Mara
  • Makusanyo ya Ndani ya Halmashauri za Mkoa wa Mwanza
  • PReM
  • Fomu ya Ugonjwa
  • Opras fomu
  • Miongozo ya mfumo wa bajeti na Mipango
  • FFARS User Guidelines
  • OFISI MTANDAO

Viunganishi Linganishi

  • Tamisemi
  • Utumishi
  • Tovuti Kuu ya Serikali
  • Salary Slips Portal
  • Tovuti ya Sekreatarieti ya Ajira Tanzania
  • Ofisi ya Taifa ya Takwimu Tanzania
  • Tovuti ya Ikulu
  • Idara ya Habari Maelezo
  • Tovuti Rasmi ya Wananchi
  • Tovuti Kuu ya Takwimu Huria

Social Media

  • Like us on Facebook
  • Follow us on Twitter
  • Find us on Youtube
  • Follow us on Instagram

Copyright ©2016 GWF . All rights reserved.

  • Kanusho
  • Sera ya faragha
  • Maswali ya Mara kwa Mara
  • Ramani ya Tovuti