• barua pepe
  • Maswali ya Mara kwa Mara
  • Wasiliana Nasi
Mwanza Region

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania
Prime Minister's Office Regional Administration and Local Government
Mkoa wa Mwanza

  • Mwanzo
  • Kuhusu sisi
    • Dira na Mwelekeo
    • Historia ya Mkoa
    • Muundo
  • Wilaya
    • Babati
    • Mbulu
    • Hanang
    • Kiteto
    • Simanjiro
  • Idara
    • Utawala na Rasilimali Watu
    • Planning and Management
    • Fedha na Uhasibu
    • Ukaguzi wa Ndani
    • ununuzi na Ugavi
    • Uchumi na Uzalishaji
    • Miundombinu
    • Serikali za Mitaa
    • Social Welfare
    • Tehama
    • Afya
    • Elimu
    • Maji
  • Machapisho
    • Fomu
    • Miongozo
    • Taratibu
    • Ripoti
  • Investments
    • Investment One
    • Investment Two
    • Investment Three
    • Investment Four
    • Investment Five
  • Kituo cha Habari
    • Habari
    • Matangazo
    • Maktaba ya Picha
    • Sports and Games
    • Hotuba
    • Taarifa Kwa vyombo vya habari
    • Maktaba ya Video

RC Malima awaahidi SCCULT kuwapigania kuwa na Benki ya Taifa ya UshIrika

Posted on: October 20th, 2022

Mkuu wa Mkoa wa Mwanza Mhe Adam Malima amewaahidi kuwapigania kuwa na Benki ya Taifa ya Ushirika Muungano wa Ushirika wa akiba na mikopo SCCULT ili kuwa na nguvu kubwa ya kiuchumi itakayomkomboa Mtanzania na Taifa kwa ujumla.

Akizungumza leo Jijini Mwanza kwenye Viwanja vya Furahisha wakati wa kufunga Maadhimisho ya Kimataifa ya Ushirika wa akiba na mikopo,Mhe Malima amesema haoni kinachoshindikana kwa umoja huo kujichangisha na kupata bilioni 15 kama mtaji wa kuanzisha Benki kwa mujibu wa taratibu za Benki Kuu ya Tanzania,hasa baada ya kuona baadhi ya Taasisi kuwa na mitaji ya zaidi ya bilioni 3.

"Mimi ni mkereketwa wa Ushirika huu naomba kuwaahidi kuzungumza na Mhe Rais Samia Suluhu Hassan kuhusu nia ya kuanzisha Benki na Serikali inunue pia hisa,naimani pasipo shaka mkuu wetu wa nchi atanielewa"

Amesema baada ya kuzungukia mabanda na kupata taarifa za Taasisi mbalimbali za Serikali na binafsi amepata somo zuri la umuhimu wa kuwepo kwa Ushirika huo ambao ni jawabu la kumkomboa mwananchi kiuchumi.

Aidha amewashauri Viongozi wa muungano huo wa ushirika kuendelea kuwa na nidhamu nzuri ya fedha hali itakayo waongezea Imani kutoka kwa wanachama wao.

Awali akimkaribisha mgeni rasmi Mrajisi wa Ushirika Tanzania Dktr Benson Ndiege amesema kwa mujibu wa takwimu ya mwaka 2018-2022 inaonesha Watanzania milioni 21 bado hawajafikiwa na huduma za kifedha wakati Duniani inafikia idadi ya watu Bilioni 1.4, hivyo fursa za Ushirika huo zina kila sababu ya kuchangamkiwa hapa nchini.

Maadhimisho hayo yalitanguliwa na wiki ya Ushirika iliyoanza Septemba 16 iliyowapa Wananchi wa Mwanza kupata taarifa za shughuli za Ushirika huo na faida zake.

Mkoa wa Mwanza utakuwa mwenyeji tena Kitaifa mwakani wa shughuli za Ushirika huku uboreshaji zaidi ukiahidiwa kuwepo

Latest Announcements

  • Tangazo la kukutana na Mhe. Mkuu wa Mkoa wa Mwanza kwa shida mbalimbali.

    soma zaidi
  • TANGAZO LA NANENANE TAREHE 8.8.2025

    soma zaidi
  • View More

Habari Mpya

  • SIKU 100 ZA RAIS DKT. SAMIA: UKEREWE YAPATA AJIRA 127
  • RC MTANDA AWASILI WILAYANI UKEREWE KWA ZIARA YA KIKAZI
  • MWANZA YAIMARISHA UTETEZI WA WATU WENYE ULEMAVU
  • SERIKALI YAAHIDI KUENDELEA KUTOA USHIRIKIANO KWA WADAU WA SEKTA YA BIASHARA
  • CHOROKO KWENYE RAMANI YA UCHUMI WA TAIFA
  • soma zaidi

Wasiliana Nasi

Prime Minister's Office Regional Administration and Local Government Mkoa wa Mwanza
Ofisi ya Mkuu wa Mkoa, Mkoa wa Mwanza, 2 Regional Drive
S.L.P: 119, Mwanza.
Simu: 028-2501037
Barua Pepe: ras@mwanza.go.tz
Simu ya Mkononi: 028-2501037
Balewa/Machemba Road Street
S.L.P: S.L.P 1333, Mwanza
Simu: +255 28 250 1375
Barua Pepe: cd@mwanzacc.go.tz
Simu ya Mkononi: 0768520195
Halmashauri ya Manispaa ya Ilemela
S.L.P: S.L.P 735, Mwanza
Simu: + 255 736 200910
Barua Pepe: md@ilemelamc.go.tz
Simu ya Mkononi:
Halmashauri ya Wilaya ya Magu
S.L.P: S.L.P 200, Magu
Simu: 028-2530035/2530003
Barua Pepe: ded@magudc.go.tz
Simu ya Mkononi:

Viunganishi vya Haraka

  • Maswali Yaulizwayo Mara kwa Mara
  • Makusanyo ya Ndani ya Halmashauri za Mkoa wa Mwanza
  • PReM
  • Fomu ya Ugonjwa
  • Opras fomu
  • Miongozo ya mfumo wa bajeti na Mipango
  • FFARS User Guidelines
  • OFISI MTANDAO

Viunganishi Linganishi

  • Tamisemi
  • Utumishi
  • Tovuti Kuu ya Serikali
  • Salary Slips Portal
  • Tovuti ya Sekreatarieti ya Ajira Tanzania
  • Ofisi ya Taifa ya Takwimu Tanzania
  • Tovuti ya Ikulu
  • Idara ya Habari Maelezo
  • Tovuti Rasmi ya Wananchi
  • Tovuti Kuu ya Takwimu Huria

Social Media

  • Like us on Facebook
  • Follow us on Twitter
  • Find us on Youtube
  • Follow us on Instagram

Copyright ©2016 GWF . All rights reserved.

  • Kanusho
  • Sera ya faragha
  • Maswali ya Mara kwa Mara
  • Ramani ya Tovuti