• barua pepe
  • Maswali ya Mara kwa Mara
  • Wasiliana Nasi
Mwanza Region

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania
Prime Minister's Office Regional Administration and Local Government
Mkoa wa Mwanza

  • Mwanzo
  • Kuhusu sisi
    • Dira na Mwelekeo
    • Historia ya Mkoa
    • Muundo
  • Wilaya
    • Babati
    • Mbulu
    • Hanang
    • Kiteto
    • Simanjiro
  • Idara
    • Utawala na Rasilimali Watu
    • Planning and Management
    • Fedha na Uhasibu
    • Ukaguzi wa Ndani
    • ununuzi na Ugavi
    • Uchumi na Uzalishaji
    • Miundombinu
    • Serikali za Mitaa
    • Social Welfare
    • Tehama
    • Afya
    • Elimu
    • Maji
  • Machapisho
    • Fomu
    • Miongozo
    • Taratibu
    • Ripoti
  • Investments
    • Investment One
    • Investment Two
    • Investment Three
    • Investment Four
    • Investment Five
  • Kituo cha Habari
    • Habari
    • Matangazo
    • Maktaba ya Picha
    • Sports and Games
    • Hotuba
    • Taarifa Kwa vyombo vya habari
    • Maktaba ya Video

RC Malima awaasa Wauguzi kuutumia vyema Mkutano wao Mkuu kutatua changamoto zao

Posted on: May 8th, 2023

RC Malima awataka Wauguzi kuutumia Mkutano wao Mkuu kutatua changamoto zao


Mkuu wa Mkoa wa Mwanza Mhe.Adam Malima amewataka Wauguzi wanaoshiriki Mkutano wao Mkuu wa Chama cha Wauguzi nchini,TANNA unaofanyika Mkoani humo kuutumia kikamilifu kutatua changamoto zao ili kuboresha mazingira yao ya kazi.

Alifungua leo Mkutano huo wa 50 wa Chama hicho kwenye ukumbi wa Malaika Resort uliopo Jijini Mwanza,Mkuu huyo wa Mkoa amesema Wauguzi ni nguzo muhimu kwenye Sekta ya afya licha ya kukabiliwa na mazingira magumu na hatarishi katika kazi zao,hivyo Mkutano huo ndiyo jukwaa la kupaza sauti ili kasoro zilipo zifanyiwe kazi.

"Mmefanya uamuzi wa busara kuuleta Mkutano huu wa Kitaifa Mkoani Mwanza,niwasihi sana msikae hapa kwa siku tano na kuuchukulia kirahisi tu bali hakikisheni unakuja  mageuzi chanya ili kuendelea kufanya kazi katika mazingira bora na salama",Amesisitiza Mhe.Malima.

Amesema Serikali ya awamu ya sita imezidi kuimarisha Sekta hiyo kwa kuhakikisha kunakuwepo na Hospitali na vituo vya afya vyenye ubora pamoja na upatikanaji wa dawa kwa wakati na hivi karibuni imetoa ajira 8070 kada ya afya.

"Mkutano huu tunaimani utakuja na matokeo chanya hasa kutokana na fursa za kuelimishana kupitia tafiti za kisayansi zilizofanyika,majadiliano na namna ya kuzitatua changamoto zinazotukabili yote ni baadhi ya faida kupitia Mkutano huu wa Kitaifa",Julius Shigella,Kaimu Mganga Mkuu wa Mkoa wa Mwanza.

Kwa upande wake Rais wa Chama cha Wauguzi nchini,Alexander Baluya amesema Mkutano huo umebeba mambo makuu matatu,Kongamano la Kisayansi lililoanza leo na kesho,Mkutano Mkuu wa 50 na siku ya Wauguzi Duniani inayoadhimishwa kila Mei 12 ambayo wataiadhimisha siku ya kufunga Mkutano huo.

"Mkoa wa Mwanza tuna jumla ya Wauguzi 4000 na vituo vya afya 600,licha ya uchache wetu na kuhudumia idadi kubwa ya wateja,lakini Wauguzi tumesimama imara kuhakikisha tunatoa huduma bora siku zote",Claudia Kaluli,Muuguzi Mkuu Mkoa wa Mwanza.

Mkutano huo uliobeba kauli mbiu ya WAUGUZI WETU,MUSTAKBARI WETU umewajumuisha washiriki 1200 wakiwemo Wauguzi wakuu kuanzia ngazi ya Mikoa na Wilaya.

Latest Announcements

  • Tangazo la kukutana na Mhe. Mkuu wa Mkoa wa Mwanza kwa shida mbalimbali.

    soma zaidi
  • TANGAZO LA NANENANE TAREHE 8.8.2025

    soma zaidi
  • View More

Habari Mpya

  • SIKU 100 ZA RAIS DKT. SAMIA: UKEREWE YAPATA AJIRA 127
  • RC MTANDA AWASILI WILAYANI UKEREWE KWA ZIARA YA KIKAZI
  • MWANZA YAIMARISHA UTETEZI WA WATU WENYE ULEMAVU
  • SERIKALI YAAHIDI KUENDELEA KUTOA USHIRIKIANO KWA WADAU WA SEKTA YA BIASHARA
  • CHOROKO KWENYE RAMANI YA UCHUMI WA TAIFA
  • soma zaidi

Wasiliana Nasi

Prime Minister's Office Regional Administration and Local Government Mkoa wa Mwanza
Ofisi ya Mkuu wa Mkoa, Mkoa wa Mwanza, 2 Regional Drive
S.L.P: 119, Mwanza.
Simu: 028-2501037
Barua Pepe: ras@mwanza.go.tz
Simu ya Mkononi: 028-2501037
Balewa/Machemba Road Street
S.L.P: S.L.P 1333, Mwanza
Simu: +255 28 250 1375
Barua Pepe: cd@mwanzacc.go.tz
Simu ya Mkononi: 0768520195
Halmashauri ya Manispaa ya Ilemela
S.L.P: S.L.P 735, Mwanza
Simu: + 255 736 200910
Barua Pepe: md@ilemelamc.go.tz
Simu ya Mkononi:
Halmashauri ya Wilaya ya Magu
S.L.P: S.L.P 200, Magu
Simu: 028-2530035/2530003
Barua Pepe: ded@magudc.go.tz
Simu ya Mkononi:

Viunganishi vya Haraka

  • Maswali Yaulizwayo Mara kwa Mara
  • Makusanyo ya Ndani ya Halmashauri za Mkoa wa Mwanza
  • PReM
  • Fomu ya Ugonjwa
  • Opras fomu
  • Miongozo ya mfumo wa bajeti na Mipango
  • FFARS User Guidelines
  • OFISI MTANDAO

Viunganishi Linganishi

  • Tamisemi
  • Utumishi
  • Tovuti Kuu ya Serikali
  • Salary Slips Portal
  • Tovuti ya Sekreatarieti ya Ajira Tanzania
  • Ofisi ya Taifa ya Takwimu Tanzania
  • Tovuti ya Ikulu
  • Idara ya Habari Maelezo
  • Tovuti Rasmi ya Wananchi
  • Tovuti Kuu ya Takwimu Huria

Social Media

  • Like us on Facebook
  • Follow us on Twitter
  • Find us on Youtube
  • Follow us on Instagram

Copyright ©2016 GWF . All rights reserved.

  • Kanusho
  • Sera ya faragha
  • Maswali ya Mara kwa Mara
  • Ramani ya Tovuti