• barua pepe
  • Maswali ya Mara kwa Mara
  • Wasiliana Nasi
Mwanza Region

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania
Prime Minister's Office Regional Administration and Local Government
Mkoa wa Mwanza

  • Mwanzo
  • Kuhusu sisi
    • Dira na Mwelekeo
    • Historia ya Mkoa
    • Muundo
  • Wilaya
    • Babati
    • Mbulu
    • Hanang
    • Kiteto
    • Simanjiro
  • Idara
    • Utawala na Rasilimali Watu
    • Planning and Management
    • Fedha na Uhasibu
    • Ukaguzi wa Ndani
    • ununuzi na Ugavi
    • Uchumi na Uzalishaji
    • Miundombinu
    • Serikali za Mitaa
    • Social Welfare
    • Tehama
    • Afya
    • Elimu
    • Maji
  • Machapisho
    • Fomu
    • Miongozo
    • Taratibu
    • Ripoti
  • Investments
    • Investment One
    • Investment Two
    • Investment Three
    • Investment Four
    • Investment Five
  • Kituo cha Habari
    • Habari
    • Matangazo
    • Maktaba ya Picha
    • Sports and Games
    • Hotuba
    • Taarifa Kwa vyombo vya habari
    • Maktaba ya Video

RC Malima awahimiza Wananchi Mwanza kuelimika na kuchangamkia Bima ya Afya kwa wote

Posted on: January 24th, 2023


Mkuu wa Mkoa wa Mwanza Mhe.Adam Malima amewahimiza Wananchi Mkoani humo kuelimika vya kutosha na kuchangamkia mfumo wa Bima ya Afya kwa wote ambao ni Mkombozi kwa Mtanzania.

Akizungumza leo na wawakilishi wa makundi mbalimbali kwenye ukumbi wa Ofisi ya Mkuu wa Mkoa kwa lengo la kuelimishana kuhusiana na mfumo huo mpya unaokuja, Mhe. Malima amesema Muswada huo baada ya kuwa Sheria na kupitishwa na Bunge ni jukumu la kila mwananchi kupata huduma hiyo.

"Nina kila sababu ya kumshukuru Mhe. Rais Dkt. Samia Suluhu Hassan ambaye ameimarisha miundombinu ya Sekta ya Afya ambapo mwananchi sasa hapati usumbufu wa kutembea umbali mrefu kusaka huduma hiyo". Amesema Mhe. Malima.

Amesema siku zote ugonjwa haubishi hodi na mfumo huu wa Bima kwa wote unatumika duniani kote na Tanzania imepiga hatua nzuri tofauti na Mataifa yaliyoendelea ambayo yamekutana na changamoto kadhaa.

"Watanzania wana kila sababu ya kuchangamkia fursa hii ambayo itamgusa kila mtu hata asiye na uwezo kwani Serikali itakuwa ikitenga kila mwaka Shs Bilioni 359 kwa ajili ya wale wasio na uwezo kupata huduma hii na Shs Bilioni 149 kwa wale watakaoingia wakati mfumo unaendelea na hawana uwezo". Emmanuel Mwikabwe Meneja wa Mfuko wa Bima.

"Wanachana wa Mfuko wa Bima wa CHIF wataendelea kuwa hai hadi mwisho wa mwaka uanachama wao utakapo Kona na wataingia kwenye mfumo huu mpya". Dkt.Bahati Msaki, Mganga Mfawidhi Hospitali ya Rufaa ya Mkoa Sekou Ture.

Mkutano huo wa kuelimishana umewakutanisha Wakuu wa Wilaya zote, Waganga Wakuu wa Wilaya, Wakurugenzi wa Halmashauri, wawakilishi wa viongozi wa Dini, Wafanya biashara ndogo ndogo na viongozi wa Sekta ya usafirishaji.

Latest Announcements

  • Tangazo la kukutana na Mhe. Mkuu wa Mkoa wa Mwanza kwa shida mbalimbali.

    soma zaidi
  • TANGAZO LA NANENANE TAREHE 8.8.2025

    soma zaidi
  • View More

Habari Mpya

  • SIKU 100 ZA RAIS DKT. SAMIA: UKEREWE YAPATA AJIRA 127
  • RC MTANDA AWASILI WILAYANI UKEREWE KWA ZIARA YA KIKAZI
  • MWANZA YAIMARISHA UTETEZI WA WATU WENYE ULEMAVU
  • SERIKALI YAAHIDI KUENDELEA KUTOA USHIRIKIANO KWA WADAU WA SEKTA YA BIASHARA
  • CHOROKO KWENYE RAMANI YA UCHUMI WA TAIFA
  • soma zaidi

Wasiliana Nasi

Prime Minister's Office Regional Administration and Local Government Mkoa wa Mwanza
Ofisi ya Mkuu wa Mkoa, Mkoa wa Mwanza, 2 Regional Drive
S.L.P: 119, Mwanza.
Simu: 028-2501037
Barua Pepe: ras@mwanza.go.tz
Simu ya Mkononi: 028-2501037
Balewa/Machemba Road Street
S.L.P: S.L.P 1333, Mwanza
Simu: +255 28 250 1375
Barua Pepe: cd@mwanzacc.go.tz
Simu ya Mkononi: 0768520195
Halmashauri ya Manispaa ya Ilemela
S.L.P: S.L.P 735, Mwanza
Simu: + 255 736 200910
Barua Pepe: md@ilemelamc.go.tz
Simu ya Mkononi:
Halmashauri ya Wilaya ya Magu
S.L.P: S.L.P 200, Magu
Simu: 028-2530035/2530003
Barua Pepe: ded@magudc.go.tz
Simu ya Mkononi:

Viunganishi vya Haraka

  • Maswali Yaulizwayo Mara kwa Mara
  • Makusanyo ya Ndani ya Halmashauri za Mkoa wa Mwanza
  • PReM
  • Fomu ya Ugonjwa
  • Opras fomu
  • Miongozo ya mfumo wa bajeti na Mipango
  • FFARS User Guidelines
  • OFISI MTANDAO

Viunganishi Linganishi

  • Tamisemi
  • Utumishi
  • Tovuti Kuu ya Serikali
  • Salary Slips Portal
  • Tovuti ya Sekreatarieti ya Ajira Tanzania
  • Ofisi ya Taifa ya Takwimu Tanzania
  • Tovuti ya Ikulu
  • Idara ya Habari Maelezo
  • Tovuti Rasmi ya Wananchi
  • Tovuti Kuu ya Takwimu Huria

Social Media

  • Like us on Facebook
  • Follow us on Twitter
  • Find us on Youtube
  • Follow us on Instagram

Copyright ©2016 GWF . All rights reserved.

  • Kanusho
  • Sera ya faragha
  • Maswali ya Mara kwa Mara
  • Ramani ya Tovuti