• barua pepe
  • Maswali ya Mara kwa Mara
  • Wasiliana Nasi
Mwanza Region

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania
Prime Minister's Office Regional Administration and Local Government
Mkoa wa Mwanza

  • Mwanzo
  • Kuhusu sisi
    • Dira na Mwelekeo
    • Historia ya Mkoa
    • Muundo
  • Wilaya
    • Babati
    • Mbulu
    • Hanang
    • Kiteto
    • Simanjiro
  • Idara
    • Utawala na Rasilimali Watu
    • Planning and Management
    • Fedha na Uhasibu
    • Ukaguzi wa Ndani
    • ununuzi na Ugavi
    • Uchumi na Uzalishaji
    • Miundombinu
    • Serikali za Mitaa
    • Social Welfare
    • Tehama
    • Afya
    • Elimu
    • Maji
  • Machapisho
    • Fomu
    • Miongozo
    • Taratibu
    • Ripoti
  • Investments
    • Investment One
    • Investment Two
    • Investment Three
    • Investment Four
    • Investment Five
  • Kituo cha Habari
    • Habari
    • Matangazo
    • Maktaba ya Picha
    • Sports and Games
    • Hotuba
    • Taarifa Kwa vyombo vya habari
    • Maktaba ya Video

RC MTANDA AAGIZA USIMAMIZI THABITI WA VITUO VYA AFYA KUONGEZA MAPATO

Posted on: June 30th, 2025

Mkuu wa Mkoa wa Mwanza Mhe. Said Mtanda amewakumbusha Wadau wa Afya Wanaohudumiwa na MSD Kanda ya Mwanza kuwa wana jukumu kubwa la kuvisimamia vituo vya kutolea huduma za afya katika maeneo yao ili viweze kukusanya mapato ya kutosha.


Mkuu wa Mkoa ameyasema hayo leo wakati akifungua Mkutano wa mwaka na wadau wa sekta ya afya ambapo amewataka kusimamia mapato yanayotokana na uchangiaji wa huduma za afya ili yaweze kununua bidhaa za afya, sambamba na kusimamia mnyororo wa ugavi wa bidhaa hizo.


Mhe. Mtanda amesema Serikali ya awamu ya Sita chini ya Mheshimiwa Rais Dkt. Samia Suluhu Hassan imeendelea kuongeza kiasi cha fedha inayotengwa kwa ajili ya bajeti ya kununulia bidhaa za afya kwa ajili ya vituo vya kutolea Huduma za Afya ili kuboresha utoaji wa huduma za afya.

“Hivyo, kila mmoja ana jukumu la kusimamia matumizi sahihi ya bidhaa za afya ili Kuleta tija kwa wananchi.”


Kwa kutekeleza haya, wananchi watapata huduma bora zaidi katika vito vya kutolea huduma za Afya bila manung’uniko. Ameongeza Mkuu wa Mkoa.

Kupitia mkutano huo Mkuu wa Mkoa pia amewakumbusha wadau wa MSD kupitia Wizara ya Afya, kufanya maoteo ya bidhaa za afya kwa usahihi, weledi na kwa wakati.

Kadhalika, amewakumbusha kusimamia matumizi sahihi ya takwimu za mnyororo wa ugavi ili ziwasaidie kufanya maamuzi sahihi juu ya bidhaa za afya

Katika maeneo yeo.

Mkutano huo wa MSD na wadau wa afya wa Mikoa mitano ya Mwanza, Simiyu, Shinyanga, Mara na Geita wanaohudumiwa na Kanda ya Mwanza una madhumuni ya Kuboresha uhusiano na mawasiliano kati ya MSD na wadau wa Afya katika mikoa ya Kanda ya ziwa.

Latest Announcements

  • Tangazo la kukutana na Mhe. Mkuu wa Mkoa wa Mwanza kwa shida mbalimbali.

    soma zaidi
  • TANGAZO LA NANENANE TAREHE 8.8.2025

    soma zaidi
  • View More

Habari Mpya

  • SIKU 100 ZA RAIS DKT. SAMIA: UKEREWE YAPATA AJIRA 127
  • RC MTANDA AWASILI WILAYANI UKEREWE KWA ZIARA YA KIKAZI
  • MWANZA YAIMARISHA UTETEZI WA WATU WENYE ULEMAVU
  • SERIKALI YAAHIDI KUENDELEA KUTOA USHIRIKIANO KWA WADAU WA SEKTA YA BIASHARA
  • CHOROKO KWENYE RAMANI YA UCHUMI WA TAIFA
  • soma zaidi

Wasiliana Nasi

Prime Minister's Office Regional Administration and Local Government Mkoa wa Mwanza
Ofisi ya Mkuu wa Mkoa, Mkoa wa Mwanza, 2 Regional Drive
S.L.P: 119, Mwanza.
Simu: 028-2501037
Barua Pepe: ras@mwanza.go.tz
Simu ya Mkononi: 028-2501037
Balewa/Machemba Road Street
S.L.P: S.L.P 1333, Mwanza
Simu: +255 28 250 1375
Barua Pepe: cd@mwanzacc.go.tz
Simu ya Mkononi: 0768520195
Halmashauri ya Manispaa ya Ilemela
S.L.P: S.L.P 735, Mwanza
Simu: + 255 736 200910
Barua Pepe: md@ilemelamc.go.tz
Simu ya Mkononi:
Halmashauri ya Wilaya ya Magu
S.L.P: S.L.P 200, Magu
Simu: 028-2530035/2530003
Barua Pepe: ded@magudc.go.tz
Simu ya Mkononi:

Viunganishi vya Haraka

  • Maswali Yaulizwayo Mara kwa Mara
  • Makusanyo ya Ndani ya Halmashauri za Mkoa wa Mwanza
  • PReM
  • Fomu ya Ugonjwa
  • Opras fomu
  • Miongozo ya mfumo wa bajeti na Mipango
  • FFARS User Guidelines
  • OFISI MTANDAO

Viunganishi Linganishi

  • Tamisemi
  • Utumishi
  • Tovuti Kuu ya Serikali
  • Salary Slips Portal
  • Tovuti ya Sekreatarieti ya Ajira Tanzania
  • Ofisi ya Taifa ya Takwimu Tanzania
  • Tovuti ya Ikulu
  • Idara ya Habari Maelezo
  • Tovuti Rasmi ya Wananchi
  • Tovuti Kuu ya Takwimu Huria

Social Media

  • Like us on Facebook
  • Follow us on Twitter
  • Find us on Youtube
  • Follow us on Instagram

Copyright ©2016 GWF . All rights reserved.

  • Kanusho
  • Sera ya faragha
  • Maswali ya Mara kwa Mara
  • Ramani ya Tovuti