• barua pepe
  • Maswali ya Mara kwa Mara
  • Wasiliana Nasi
Mwanza Region

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania
Prime Minister's Office Regional Administration and Local Government
Mkoa wa Mwanza

  • Mwanzo
  • Kuhusu sisi
    • Dira na Mwelekeo
    • Historia ya Mkoa
    • Muundo
  • Wilaya
    • Babati
    • Mbulu
    • Hanang
    • Kiteto
    • Simanjiro
  • Idara
    • Utawala na Rasilimali Watu
    • Planning and Management
    • Fedha na Uhasibu
    • Ukaguzi wa Ndani
    • ununuzi na Ugavi
    • Uchumi na Uzalishaji
    • Miundombinu
    • Serikali za Mitaa
    • Social Welfare
    • Tehama
    • Afya
    • Elimu
    • Maji
  • Machapisho
    • Fomu
    • Miongozo
    • Taratibu
    • Ripoti
  • Investments
    • Investment One
    • Investment Two
    • Investment Three
    • Investment Four
    • Investment Five
  • Kituo cha Habari
    • Habari
    • Matangazo
    • Maktaba ya Picha
    • Sports and Games
    • Hotuba
    • Taarifa Kwa vyombo vya habari
    • Maktaba ya Video

RC MTANDA AAHIDI USHIRIKIANO ZAIDI JJI LA MWANZA NA TAMPERE-FINLAND

Posted on: February 7th, 2025

RC MTANDA AAHIDI USHIRIKIANO ZAIDI JJI LA MWANZA NA TAMPERE-FINLAND


Mkuu wa Mkoa wa Mwanza Mhe. Said Mtanda amempokea Balozi wa Finland nchini Mhe.Theresa Vitting na kumuahidi ushirikiano zaidi katika sekta mbalimbali baina ya Jiji la Mwanza na Tampere ili kuwaletea maendeleo wananchi na kukuza uhusiano huo.

Akizungumza na mgeni wake leo Februari 7, 2025 Ofisini kwake Mkuu huyo wa Mkoa amebainisha nchi ya Finland ni miongoni mwa Mataifa ya mwanzoni kabisa kuingia uhusiano wa kibalozi mara baada ya kupata uhuru mwaka 1961 na kumekuwa na muendelezo mzuri baina ya Mataifa hayo.

"Mwaka 1965 tuliingia rasmi kwenye mahusiano ya kibalozi na Finland,na wamekuwa na mchango mkubwa kwetu katika sekta mbalimbali ikiwemo uchangiaji wa kiwango kikubwa wa bajeti yetu", Mhe. Mtanda.

Amesema kwa upande wa Jiji la Mwanza wamekuwa wanufaika wazuri kwa upande wa Elimu, mazingira na wataalam mbalimbali na pia ametoa fursa kwa Finland kuona uwezekano wa kuwekeza katika ufugaji wa kisasa wa samaki.

"Mwanza asilimia 53 imezungukwa na maji ya ziwa Victoria, Serikali imewekeza kwa vijana kujishughulisha na ufugaji wa kisasa ni fursa nzuri endapo itawapendeza", Mkuu wa mkoa.

Kwa upande wake Mhe,Theresa Vittinng amesema Finland imefurahishwa na matokeo mazuri ya mahusiano na Tanzania na ssa inaangalia namna ya uwekezaji katika madini wakianzia mnyororo wote wa thamani katika utafiti,maabara na kuwajengea uwezo wachimbaji wadogo.

"Leo nipo Mwanza nitakwenda chuo cha ualimu Butimba tunataka kuboresha upande wa michezo,hatulichukulii kama jambo la kufurahisha tu lakini tunatambua umuhimu wake katika Dunia ya sasa",amesisitiza Bi.Theresa

Jiji la Mwanza na Jiji la Tampere kutoka Finland waliingia mahusiano kuanzia mwaka 1988 hadi sasa wakishirikiana mambo mbalimbali ukiwemo usafi wa mazingira

.

Latest Announcements

  • Tangazo la kukutana na Mhe. Mkuu wa Mkoa wa Mwanza kwa shida mbalimbali.

    soma zaidi
  • TANGAZO LA NANENANE TAREHE 8.8.2025

    soma zaidi
  • View More

Habari Mpya

  • SIKU 100 ZA RAIS DKT. SAMIA: UKEREWE YAPATA AJIRA 127
  • RC MTANDA AWASILI WILAYANI UKEREWE KWA ZIARA YA KIKAZI
  • MWANZA YAIMARISHA UTETEZI WA WATU WENYE ULEMAVU
  • SERIKALI YAAHIDI KUENDELEA KUTOA USHIRIKIANO KWA WADAU WA SEKTA YA BIASHARA
  • CHOROKO KWENYE RAMANI YA UCHUMI WA TAIFA
  • soma zaidi

Wasiliana Nasi

Prime Minister's Office Regional Administration and Local Government Mkoa wa Mwanza
Ofisi ya Mkuu wa Mkoa, Mkoa wa Mwanza, 2 Regional Drive
S.L.P: 119, Mwanza.
Simu: 028-2501037
Barua Pepe: ras@mwanza.go.tz
Simu ya Mkononi: 028-2501037
Balewa/Machemba Road Street
S.L.P: S.L.P 1333, Mwanza
Simu: +255 28 250 1375
Barua Pepe: cd@mwanzacc.go.tz
Simu ya Mkononi: 0768520195
Halmashauri ya Manispaa ya Ilemela
S.L.P: S.L.P 735, Mwanza
Simu: + 255 736 200910
Barua Pepe: md@ilemelamc.go.tz
Simu ya Mkononi:
Halmashauri ya Wilaya ya Magu
S.L.P: S.L.P 200, Magu
Simu: 028-2530035/2530003
Barua Pepe: ded@magudc.go.tz
Simu ya Mkononi:

Viunganishi vya Haraka

  • Maswali Yaulizwayo Mara kwa Mara
  • Makusanyo ya Ndani ya Halmashauri za Mkoa wa Mwanza
  • PReM
  • Fomu ya Ugonjwa
  • Opras fomu
  • Miongozo ya mfumo wa bajeti na Mipango
  • FFARS User Guidelines
  • OFISI MTANDAO

Viunganishi Linganishi

  • Tamisemi
  • Utumishi
  • Tovuti Kuu ya Serikali
  • Salary Slips Portal
  • Tovuti ya Sekreatarieti ya Ajira Tanzania
  • Ofisi ya Taifa ya Takwimu Tanzania
  • Tovuti ya Ikulu
  • Idara ya Habari Maelezo
  • Tovuti Rasmi ya Wananchi
  • Tovuti Kuu ya Takwimu Huria

Social Media

  • Like us on Facebook
  • Follow us on Twitter
  • Find us on Youtube
  • Follow us on Instagram

Copyright ©2016 GWF . All rights reserved.

  • Kanusho
  • Sera ya faragha
  • Maswali ya Mara kwa Mara
  • Ramani ya Tovuti