• barua pepe
  • Maswali ya Mara kwa Mara
  • Wasiliana Nasi
Mwanza Region

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania
Prime Minister's Office Regional Administration and Local Government
Mkoa wa Mwanza

  • Mwanzo
  • Kuhusu sisi
    • Dira na Mwelekeo
    • Historia ya Mkoa
    • Muundo
  • Wilaya
    • Babati
    • Mbulu
    • Hanang
    • Kiteto
    • Simanjiro
  • Idara
    • Utawala na Rasilimali Watu
    • Planning and Management
    • Fedha na Uhasibu
    • Ukaguzi wa Ndani
    • ununuzi na Ugavi
    • Uchumi na Uzalishaji
    • Miundombinu
    • Serikali za Mitaa
    • Social Welfare
    • Tehama
    • Afya
    • Elimu
    • Maji
  • Machapisho
    • Fomu
    • Miongozo
    • Taratibu
    • Ripoti
  • Investments
    • Investment One
    • Investment Two
    • Investment Three
    • Investment Four
    • Investment Five
  • Kituo cha Habari
    • Habari
    • Matangazo
    • Maktaba ya Picha
    • Sports and Games
    • Hotuba
    • Taarifa Kwa vyombo vya habari
    • Maktaba ya Video

RC MTANDA AIPONGEZA BENKI YA NCBA KWA KUWAENZI WATEJA WAKE

Posted on: May 23rd, 2025

RC MTANDA AIPONGEZA BENKI YA NCBA KWA KUWAENZI WATEJA WAKE


Mkuu wa Mkoa wa Mwanza Mhe. Said Mtanda ametoa pongezi kwa Uongozi wa Benki ya NCBA kwa kuandaa jioni maalumu kwa ajili ya kuwaenzi wateja wake wa thamani huku akisema hatua hiyo inakumbusha taasisi za kifedha na zingine kuwa kuna haja ya kuwapa heshima wateja wake.

Mkuu wa Mkoa ametoa pongezi hizo usiku wa leo Mei 23, 2025 alipokuwa akizungumza katika tukio la chakula cha jioni kwa ajili ya wateja wa Benki ya NCBA lililofanyika katika ukumbi wa Gold Crest Hotel ambapo ameipongeza benki hiyo kwa kuja na wazo la kuchangamana na wateja wake.

“Uwepo wa wateja hapa leo ni moyo wa maendeleo ya benki ya NCBA, pia ni moyo wa kanda ya ziwa,.biashara zenu, Uwekezaji wenu, mawazo yenu, ndoto zenu, vyote vinachangia ukuaji wa uchuki wa Mkoa wa Mwanza na Taifa kiujumla." Amesema Mkuu wa Mkoa.

Aidha, ameipongeza benki hiyo kwa kuja na jukwaa jipya ka huduma za kibenki mtandaoni na kampeni ya mpya ya Maisha ni Hesabu, hii ikiwa ni dalilo ya wazi kuwa benki iliyo ya kisasa inayojali na inayoangalia mbele.


Tutaendelea kuhakikisha mnaendelea kuwa chachu ya maendeleo ya kiuchumi na kijamii katika Mkoa wetu. Tutahakikisha mazingira yanaendelea kuwa salama na rafiki kwa biashara na uwekezaji wenu.

Amesema Mkuu wa Mkoa.

Sambamba na hayo Mhe. Mtanda amesema juhudi kubwa zimefanywa na Serikali ya Awamu ya Sita katika kuimarisha Sekta ya fedha na hususani Maendeleo ya Kibenki. Hivyo, wao katika Serikali ya Mkoa wataendelea pia kuweka mazingira mazuri ya kila mfanyabiashara kutekeleza majukumu yake bila kuvunja sheria.

Latest Announcements

  • Tangazo la kukutana na Mhe. Mkuu wa Mkoa wa Mwanza kwa shida mbalimbali.

    soma zaidi
  • TANGAZO LA NANENANE TAREHE 8.8.2025

    soma zaidi
  • View More

Habari Mpya

  • SIKU 100 ZA RAIS DKT. SAMIA: UKEREWE YAPATA AJIRA 127
  • RC MTANDA AWASILI WILAYANI UKEREWE KWA ZIARA YA KIKAZI
  • MWANZA YAIMARISHA UTETEZI WA WATU WENYE ULEMAVU
  • SERIKALI YAAHIDI KUENDELEA KUTOA USHIRIKIANO KWA WADAU WA SEKTA YA BIASHARA
  • CHOROKO KWENYE RAMANI YA UCHUMI WA TAIFA
  • soma zaidi

Wasiliana Nasi

Prime Minister's Office Regional Administration and Local Government Mkoa wa Mwanza
Ofisi ya Mkuu wa Mkoa, Mkoa wa Mwanza, 2 Regional Drive
S.L.P: 119, Mwanza.
Simu: 028-2501037
Barua Pepe: ras@mwanza.go.tz
Simu ya Mkononi: 028-2501037
Balewa/Machemba Road Street
S.L.P: S.L.P 1333, Mwanza
Simu: +255 28 250 1375
Barua Pepe: cd@mwanzacc.go.tz
Simu ya Mkononi: 0768520195
Halmashauri ya Manispaa ya Ilemela
S.L.P: S.L.P 735, Mwanza
Simu: + 255 736 200910
Barua Pepe: md@ilemelamc.go.tz
Simu ya Mkononi:
Halmashauri ya Wilaya ya Magu
S.L.P: S.L.P 200, Magu
Simu: 028-2530035/2530003
Barua Pepe: ded@magudc.go.tz
Simu ya Mkononi:

Viunganishi vya Haraka

  • Maswali Yaulizwayo Mara kwa Mara
  • Makusanyo ya Ndani ya Halmashauri za Mkoa wa Mwanza
  • PReM
  • Fomu ya Ugonjwa
  • Opras fomu
  • Miongozo ya mfumo wa bajeti na Mipango
  • FFARS User Guidelines
  • OFISI MTANDAO

Viunganishi Linganishi

  • Tamisemi
  • Utumishi
  • Tovuti Kuu ya Serikali
  • Salary Slips Portal
  • Tovuti ya Sekreatarieti ya Ajira Tanzania
  • Ofisi ya Taifa ya Takwimu Tanzania
  • Tovuti ya Ikulu
  • Idara ya Habari Maelezo
  • Tovuti Rasmi ya Wananchi
  • Tovuti Kuu ya Takwimu Huria

Social Media

  • Like us on Facebook
  • Follow us on Twitter
  • Find us on Youtube
  • Follow us on Instagram

Copyright ©2016 GWF . All rights reserved.

  • Kanusho
  • Sera ya faragha
  • Maswali ya Mara kwa Mara
  • Ramani ya Tovuti