• barua pepe
  • Maswali ya Mara kwa Mara
  • Wasiliana Nasi
Mwanza Region

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania
Prime Minister's Office Regional Administration and Local Government
Mkoa wa Mwanza

  • Mwanzo
  • Kuhusu sisi
    • Dira na Mwelekeo
    • Historia ya Mkoa
    • Muundo
  • Wilaya
    • Babati
    • Mbulu
    • Hanang
    • Kiteto
    • Simanjiro
  • Idara
    • Utawala na Rasilimali Watu
    • Planning and Management
    • Fedha na Uhasibu
    • Ukaguzi wa Ndani
    • ununuzi na Ugavi
    • Uchumi na Uzalishaji
    • Miundombinu
    • Serikali za Mitaa
    • Social Welfare
    • Tehama
    • Afya
    • Elimu
    • Maji
  • Machapisho
    • Fomu
    • Miongozo
    • Taratibu
    • Ripoti
  • Investments
    • Investment One
    • Investment Two
    • Investment Three
    • Investment Four
    • Investment Five
  • Kituo cha Habari
    • Habari
    • Matangazo
    • Maktaba ya Picha
    • Sports and Games
    • Hotuba
    • Taarifa Kwa vyombo vya habari
    • Maktaba ya Video

RC MTANDA AIPONGEZA BENKI YA NMB KWA KUONGOZA KUPATA FAIDA

Posted on: January 30th, 2025

RC MTANDA AIPONGEZA BENKI YA NMB KWA KUONGOZA KUPATA FAIDA


Mkuu wa Mkoa wa Mwanza Mhe. Said Mtanda amefanya mazungumzo na Meneja mpya wa Kanda ya ziwa kutoka benki ya NMB Bi. Faraja Ngingo

na kuipongeza Taasisi hiyo kwa kuwa kinara wa kupata faida nchini ya shs bilioni 644 baada ya kukatwa kodi.

Akizungumza na mgeni huo ofisini kwake leo tarehe 30 januari, 2025 Mtanda amebainisha kuwa kufanya vizuri kwa taasisi hiyo kunazidi kuwapa imani wateja wake na kupiga hatua kiuchumi.

"Hongereni sana natambua Serikali nayo ina hisa ya 31% mkakati yenu ya kuinua uchumi wa Taifa ni mizuri ikiwemo utoaji wa mitaji mikubwa ya mikopo kwa wafanyabiashara huku mkiwa wabunifu kwa wafanyabiashara wadogo na Ile mikopo isiyolipika ikishuka kwa asilimia 2.9,ni dhahiri NMB ni benki ya mfano wa kuigwa," Mtanda.

Aidha ametoa ushauri kwa benki hiyo kuzidi kutanua wigo wa ubunifu wa kulisaidia kundi kubwa la vijana kwa kuwaongezea mitaji ya mikopo hasa kutokana na fursa zinazoanza kuja mkoani Mwanza mara baada ya miradi ya kimkakati kukamilika

"Kwa mwaka huu tumetenga shs bilioni 6.4 ambazo zitakwenda kusaidia shughuli za afya na elimu huku tukiendelea na mpango wetu wa kuwadhamini wanafunzi 65 kila mwaka waliopata ufaulu wa daraja la juu na wanaotoka kwenye kaya masikini kwa masomo  ya elimu ya juu," Bi.Faraja.

Amesema mara baada ya mkutano wa kimataifa wa wadau wa nishati ya umeme kumalizika Jijini Dar-e-s-Samaam,benki ya NMB kwa kutambua mnyoroeo wa thamani kwenye eneo hilo, imetenga shs bilioni 100 na itatoa mkopo wa shs bilioni 1 kwa mtu watakao jishughulisha na nishati ikiwemo na uuzaji wa gesi.

Benki ya NMB mwaka 2024 imepata faida ya shs bilioni 931 na baada ya makato ya kodi imepata shs bilioni 644.

Wakati huo huo uongozi wa benki ya maendeleo ya kilimo TADB Kanda ya ziwa umesema mwaka 2024 umetoa mkopo wenye thamani ya shs bilioni 38 kwa makundi ya kilimo cha mazao,mifugo na uvuvi


Akizungumza na Mkuu wa Mkoa wa Mwanza aliyefika Ofisini kwake kutoa salamu za mwaka mpya,Meneja wa benki hiyo Alphonce Mokoki amesema upande wa uvuvi vi wametoa boti 55 zenye thamani ya shs bilioni 2.5 na vizimba 222 vilivyogharimu shs bilioni 6.

Latest Announcements

  • Tangazo la kukutana na Mhe. Mkuu wa Mkoa wa Mwanza kwa shida mbalimbali.

    soma zaidi
  • TANGAZO LA NANENANE TAREHE 8.8.2025

    soma zaidi
  • View More

Habari Mpya

  • SIKU 100 ZA RAIS DKT. SAMIA: UKEREWE YAPATA AJIRA 127
  • RC MTANDA AWASILI WILAYANI UKEREWE KWA ZIARA YA KIKAZI
  • MWANZA YAIMARISHA UTETEZI WA WATU WENYE ULEMAVU
  • SERIKALI YAAHIDI KUENDELEA KUTOA USHIRIKIANO KWA WADAU WA SEKTA YA BIASHARA
  • CHOROKO KWENYE RAMANI YA UCHUMI WA TAIFA
  • soma zaidi

Wasiliana Nasi

Prime Minister's Office Regional Administration and Local Government Mkoa wa Mwanza
Ofisi ya Mkuu wa Mkoa, Mkoa wa Mwanza, 2 Regional Drive
S.L.P: 119, Mwanza.
Simu: 028-2501037
Barua Pepe: ras@mwanza.go.tz
Simu ya Mkononi: 028-2501037
Balewa/Machemba Road Street
S.L.P: S.L.P 1333, Mwanza
Simu: +255 28 250 1375
Barua Pepe: cd@mwanzacc.go.tz
Simu ya Mkononi: 0768520195
Halmashauri ya Manispaa ya Ilemela
S.L.P: S.L.P 735, Mwanza
Simu: + 255 736 200910
Barua Pepe: md@ilemelamc.go.tz
Simu ya Mkononi:
Halmashauri ya Wilaya ya Magu
S.L.P: S.L.P 200, Magu
Simu: 028-2530035/2530003
Barua Pepe: ded@magudc.go.tz
Simu ya Mkononi:

Viunganishi vya Haraka

  • Maswali Yaulizwayo Mara kwa Mara
  • Makusanyo ya Ndani ya Halmashauri za Mkoa wa Mwanza
  • PReM
  • Fomu ya Ugonjwa
  • Opras fomu
  • Miongozo ya mfumo wa bajeti na Mipango
  • FFARS User Guidelines
  • OFISI MTANDAO

Viunganishi Linganishi

  • Tamisemi
  • Utumishi
  • Tovuti Kuu ya Serikali
  • Salary Slips Portal
  • Tovuti ya Sekreatarieti ya Ajira Tanzania
  • Ofisi ya Taifa ya Takwimu Tanzania
  • Tovuti ya Ikulu
  • Idara ya Habari Maelezo
  • Tovuti Rasmi ya Wananchi
  • Tovuti Kuu ya Takwimu Huria

Social Media

  • Like us on Facebook
  • Follow us on Twitter
  • Find us on Youtube
  • Follow us on Instagram

Copyright ©2016 GWF . All rights reserved.

  • Kanusho
  • Sera ya faragha
  • Maswali ya Mara kwa Mara
  • Ramani ya Tovuti