• barua pepe
  • Maswali ya Mara kwa Mara
  • Wasiliana Nasi
Mwanza Region

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania
Prime Minister's Office Regional Administration and Local Government
Mkoa wa Mwanza

  • Mwanzo
  • Kuhusu sisi
    • Dira na Mwelekeo
    • Historia ya Mkoa
    • Muundo
  • Wilaya
    • Babati
    • Mbulu
    • Hanang
    • Kiteto
    • Simanjiro
  • Idara
    • Utawala na Rasilimali Watu
    • Planning and Management
    • Fedha na Uhasibu
    • Ukaguzi wa Ndani
    • ununuzi na Ugavi
    • Uchumi na Uzalishaji
    • Miundombinu
    • Serikali za Mitaa
    • Social Welfare
    • Tehama
    • Afya
    • Elimu
    • Maji
  • Machapisho
    • Fomu
    • Miongozo
    • Taratibu
    • Ripoti
  • Investments
    • Investment One
    • Investment Two
    • Investment Three
    • Investment Four
    • Investment Five
  • Kituo cha Habari
    • Habari
    • Matangazo
    • Maktaba ya Picha
    • Sports and Games
    • Hotuba
    • Taarifa Kwa vyombo vya habari
    • Maktaba ya Video

RC MTANDA AISHUKURU BAKWATA KWA KUANDAA DUA KWA AJILI YA RAIS SAMIA

Posted on: January 31st, 2025

RC MTANDA AISHUKURU BAKWATA KUANDAA DUA KWA AJILI YA RAIS SAMIA


Mkuu wa Mkoa wa Mwanza Mhe. Said Mtanda amelishukuru Baraza la Waislamu Tanzania, (BAKWATA) kwa kuandaa Dua maalum nchi nzima kwa ajili ya kumuombea Rais Dkt.Samia Suluhu Hassan ili aendelee kuliongoza Taifa kwa hekima na kumuepusha na mabaya.

Dua hiyo iliyofanyika leo Januari 31, 2025 kwenye viwanja vya Bakwata eneo la Mbugani wilayani Nyamagana Mtanda amesema viongozi wetu wanahitaji kutiwa moyo kwani kazi ya kuliongoza Taifa ni kubwa hivyo inahitaji maombi kama hayo.

"Nitoe shukran za pekee kwa Mufti Zuberi bin Ali Mbwana kwa kutoa maelekezo haya ambayo leo tunayashuhudia yakitekelezwa mkoani kwetu,siku zote Dua ni chakula ya moyo pia ni ulinzi kwa lolote baya," amesisitiza mkuu huyo wa mkoa.

Mtanda amesema Rais wetu anaendelea kufanya mengi mazuri ya kujenga uchumi wa Taifa letu lakini pia wapo wachache wasiofurahishwa hivyo njia sahihi ni kuendelea kumuombea fua mara kwa mara hali ambayo itazidi kumuongezea ari ya kulitumikia Taifa kwa weledi.

"Tunaona mengi anayofanya Rais wetu,hapa Mwanza ametuletea miradi mingi ya maendeleo kuanzia sekta ya afya,elimu na miundombinu,tuna kila sababu ya kumuombea kiongozi wetu,"Hassan Kabeke,"Sheikh wa Mkoa wa Mwanza.

Dua hiyo iliyowajumuisha pia viongozi wa madhehebu mengine imeongozwa na  Sheikh Abuu Ladhwani.

Latest Announcements

  • Tangazo la kukutana na Mhe. Mkuu wa Mkoa wa Mwanza kwa shida mbalimbali.

    soma zaidi
  • TANGAZO LA NANENANE TAREHE 8.8.2025

    soma zaidi
  • View More

Habari Mpya

  • SIKU 100 ZA RAIS DKT. SAMIA: UKEREWE YAPATA AJIRA 127
  • RC MTANDA AWASILI WILAYANI UKEREWE KWA ZIARA YA KIKAZI
  • MWANZA YAIMARISHA UTETEZI WA WATU WENYE ULEMAVU
  • SERIKALI YAAHIDI KUENDELEA KUTOA USHIRIKIANO KWA WADAU WA SEKTA YA BIASHARA
  • CHOROKO KWENYE RAMANI YA UCHUMI WA TAIFA
  • soma zaidi

Wasiliana Nasi

Prime Minister's Office Regional Administration and Local Government Mkoa wa Mwanza
Ofisi ya Mkuu wa Mkoa, Mkoa wa Mwanza, 2 Regional Drive
S.L.P: 119, Mwanza.
Simu: 028-2501037
Barua Pepe: ras@mwanza.go.tz
Simu ya Mkononi: 028-2501037
Balewa/Machemba Road Street
S.L.P: S.L.P 1333, Mwanza
Simu: +255 28 250 1375
Barua Pepe: cd@mwanzacc.go.tz
Simu ya Mkononi: 0768520195
Halmashauri ya Manispaa ya Ilemela
S.L.P: S.L.P 735, Mwanza
Simu: + 255 736 200910
Barua Pepe: md@ilemelamc.go.tz
Simu ya Mkononi:
Halmashauri ya Wilaya ya Magu
S.L.P: S.L.P 200, Magu
Simu: 028-2530035/2530003
Barua Pepe: ded@magudc.go.tz
Simu ya Mkononi:

Viunganishi vya Haraka

  • Maswali Yaulizwayo Mara kwa Mara
  • Makusanyo ya Ndani ya Halmashauri za Mkoa wa Mwanza
  • PReM
  • Fomu ya Ugonjwa
  • Opras fomu
  • Miongozo ya mfumo wa bajeti na Mipango
  • FFARS User Guidelines
  • OFISI MTANDAO

Viunganishi Linganishi

  • Tamisemi
  • Utumishi
  • Tovuti Kuu ya Serikali
  • Salary Slips Portal
  • Tovuti ya Sekreatarieti ya Ajira Tanzania
  • Ofisi ya Taifa ya Takwimu Tanzania
  • Tovuti ya Ikulu
  • Idara ya Habari Maelezo
  • Tovuti Rasmi ya Wananchi
  • Tovuti Kuu ya Takwimu Huria

Social Media

  • Like us on Facebook
  • Follow us on Twitter
  • Find us on Youtube
  • Follow us on Instagram

Copyright ©2016 GWF . All rights reserved.

  • Kanusho
  • Sera ya faragha
  • Maswali ya Mara kwa Mara
  • Ramani ya Tovuti