• barua pepe
  • Maswali ya Mara kwa Mara
  • Wasiliana Nasi
Mwanza Region

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania
Prime Minister's Office Regional Administration and Local Government
Mkoa wa Mwanza

  • Mwanzo
  • Kuhusu sisi
    • Dira na Mwelekeo
    • Historia ya Mkoa
    • Muundo
  • Wilaya
    • Babati
    • Mbulu
    • Hanang
    • Kiteto
    • Simanjiro
  • Idara
    • Utawala na Rasilimali Watu
    • Planning and Management
    • Fedha na Uhasibu
    • Ukaguzi wa Ndani
    • ununuzi na Ugavi
    • Uchumi na Uzalishaji
    • Miundombinu
    • Serikali za Mitaa
    • Social Welfare
    • Tehama
    • Afya
    • Elimu
    • Maji
  • Machapisho
    • Fomu
    • Miongozo
    • Taratibu
    • Ripoti
  • Investments
    • Investment One
    • Investment Two
    • Investment Three
    • Investment Four
    • Investment Five
  • Kituo cha Habari
    • Habari
    • Matangazo
    • Maktaba ya Picha
    • Sports and Games
    • Hotuba
    • Taarifa Kwa vyombo vya habari
    • Maktaba ya Video

RC MTANDA AKUTANA NA KUFANYA MAZUNGUMZO NA UONGOZI KUTOKA JIMBO LA HENAN,CHINA

Posted on: September 6th, 2024

RC MTANDA AKUTANA NA KUFANYA MAZUNGUMZO NA UONGOZI KUTOKA JIMBO LA HENAN,CHINA


Mkuu wa Mkoa wa Mwanza Mhe. Said Mtanda leo amekutana na kufanya mazungumzo na Naibu Gavana kutoka Jimbo la Henan kutoka nchini China,Mhe. Liu Yujiang na kusema mahusiano baina ya Tanzania na China yamezidi kuwa na tija siku hadi siku.

Katika mazungumzo hayo yaliyofanyika leo Septemba 6,2024 kwenye ukumbi mdogo wa Ofisi ya mkuu wa mkoa ukiwajumuisha Menejiment kutoka pande zote mbili,Mtanda amesema historia ya ushirikiano baina ya Mataifa hayo ni ya muda mrefu na ujio wao utazidi kukuza mahusiano kati ya Mwanza na Jimbo la Henan.

"Ziara yenu ya siku tatu hapa nchini itaongeza tija katika sekta mbalimbali ambazo tumekuwa tukishirikiana yakiwemo masuala ya teknolojia na pia tutabadilishana uzoefu wa kitaalamu kwa maendeleo ya miji yetu",Mkuu wa Mkoa.

Mtanda amebainisha moja ya shabaha kuu ya ziara yao itakuwa ni kutupatia uzoefu wa namna gani mapinduzi na mafanikio ya teknolojia kutoka Jimbo la Henan yatakavyoweza kusaidia Mkoa wa Mwanza katika baadhi ya maeneo kama viwanda na madini na tutakuwa tayari kujifunza kutoka kwao.

Katika mazungumzo hayo yaliyokwenda pamoja na kusaini barua ya kusudio iliyosainiwa na kaimu Katibu Tawala wa mkoa Ndugu Kusirie Swai na mjumbe mmoja aliyeambatana na msafara wa Naibu Gavana huyo,Mtanda ameonesha matumaini ya muendelezo wa ushirikiano huo ambao utazidi kuwanufaisha wananchi kimaendeleo kutoka pande hizo mbili kwa kuibuka fursa mbalimbali za kiuchumi.

Naibu Gavana Mhe.Liu Yujiang amesema licha ya Taifa lao kupiga hatua kubwa kiuchumi Duniani lakini wanajivunia uhusiano na Tanzania na utazidi kudumishwa ili kila upande unufaike katika nyanja zote za kimaendeleo


Waasisi wa muungano wa ushirikiano baina ya Mataifa hayo ni Rais wa awamu ya kwanza wa Tanzania, Hayati Julius Nyerere na Hayati Mao Tsetung kutoka China.

Latest Announcements

  • Tangazo la kukutana na Mhe. Mkuu wa Mkoa wa Mwanza kwa shida mbalimbali.

    soma zaidi
  • TANGAZO LA NANENANE TAREHE 8.8.2025

    soma zaidi
  • View More

Habari Mpya

  • SIKU 100 ZA RAIS DKT. SAMIA: UKEREWE YAPATA AJIRA 127
  • RC MTANDA AWASILI WILAYANI UKEREWE KWA ZIARA YA KIKAZI
  • MWANZA YAIMARISHA UTETEZI WA WATU WENYE ULEMAVU
  • SERIKALI YAAHIDI KUENDELEA KUTOA USHIRIKIANO KWA WADAU WA SEKTA YA BIASHARA
  • CHOROKO KWENYE RAMANI YA UCHUMI WA TAIFA
  • soma zaidi

Wasiliana Nasi

Prime Minister's Office Regional Administration and Local Government Mkoa wa Mwanza
Ofisi ya Mkuu wa Mkoa, Mkoa wa Mwanza, 2 Regional Drive
S.L.P: 119, Mwanza.
Simu: 028-2501037
Barua Pepe: ras@mwanza.go.tz
Simu ya Mkononi: 028-2501037
Balewa/Machemba Road Street
S.L.P: S.L.P 1333, Mwanza
Simu: +255 28 250 1375
Barua Pepe: cd@mwanzacc.go.tz
Simu ya Mkononi: 0768520195
Halmashauri ya Manispaa ya Ilemela
S.L.P: S.L.P 735, Mwanza
Simu: + 255 736 200910
Barua Pepe: md@ilemelamc.go.tz
Simu ya Mkononi:
Halmashauri ya Wilaya ya Magu
S.L.P: S.L.P 200, Magu
Simu: 028-2530035/2530003
Barua Pepe: ded@magudc.go.tz
Simu ya Mkononi:

Viunganishi vya Haraka

  • Maswali Yaulizwayo Mara kwa Mara
  • Makusanyo ya Ndani ya Halmashauri za Mkoa wa Mwanza
  • PReM
  • Fomu ya Ugonjwa
  • Opras fomu
  • Miongozo ya mfumo wa bajeti na Mipango
  • FFARS User Guidelines
  • OFISI MTANDAO

Viunganishi Linganishi

  • Tamisemi
  • Utumishi
  • Tovuti Kuu ya Serikali
  • Salary Slips Portal
  • Tovuti ya Sekreatarieti ya Ajira Tanzania
  • Ofisi ya Taifa ya Takwimu Tanzania
  • Tovuti ya Ikulu
  • Idara ya Habari Maelezo
  • Tovuti Rasmi ya Wananchi
  • Tovuti Kuu ya Takwimu Huria

Social Media

  • Like us on Facebook
  • Follow us on Twitter
  • Find us on Youtube
  • Follow us on Instagram

Copyright ©2016 GWF . All rights reserved.

  • Kanusho
  • Sera ya faragha
  • Maswali ya Mara kwa Mara
  • Ramani ya Tovuti