• barua pepe
  • Maswali ya Mara kwa Mara
  • Wasiliana Nasi
Mwanza Region

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania
Prime Minister's Office Regional Administration and Local Government
Mkoa wa Mwanza

  • Mwanzo
  • Kuhusu sisi
    • Dira na Mwelekeo
    • Historia ya Mkoa
    • Muundo
  • Wilaya
    • Babati
    • Mbulu
    • Hanang
    • Kiteto
    • Simanjiro
  • Idara
    • Utawala na Rasilimali Watu
    • Planning and Management
    • Fedha na Uhasibu
    • Ukaguzi wa Ndani
    • ununuzi na Ugavi
    • Uchumi na Uzalishaji
    • Miundombinu
    • Serikali za Mitaa
    • Social Welfare
    • Tehama
    • Afya
    • Elimu
    • Maji
  • Machapisho
    • Fomu
    • Miongozo
    • Taratibu
    • Ripoti
  • Investments
    • Investment One
    • Investment Two
    • Investment Three
    • Investment Four
    • Investment Five
  • Kituo cha Habari
    • Habari
    • Matangazo
    • Maktaba ya Picha
    • Sports and Games
    • Hotuba
    • Taarifa Kwa vyombo vya habari
    • Maktaba ya Video

RC MTANDA AKUTANA NA KUZUNGUMZA NA WAFANYABIASHARA MWANZA

Posted on: June 26th, 2024

RC MTANDA AKUTANA NA KUZUNGUMZA NA WAFANYABIASHARA MWANZA


Mkuu wa Mkoa wa Mwanza Mhe. Said Mtanda leo Juni 26, 2024 amekutana na kufanya mazungumzo na baadhi ya Wafanyabiashara wa Mkoani humo lengo likiwa ni kuwasikiliza michango na maoni yao juu ya mgomo wa wafanyabiashara unaoendelea Jijini humo

Katika mazungumzo yake Mkuu huyo wa Mkoa amewataka wafanyabiashara wote waliofunga maduka yao kuhakikisha wanayafungua kwa hiari yao wenyewe kwani Serikali ya Mkoa wa Mwanza ipo tayari kuwasikiliza kama wana hoja za msingi.

"Kama wafanyabiashara mna hoja za msingi njooni tuwasikilize nimekwisha fungua milango kwa makundi yote njooni ofisini mtushauri na mlete hoja zenu na sisi tutaangalia namna sahihi ya kuwasaidia".

"Na kama mkileta hoja zenu zikawa zipo nje ya uwezo wetu sisi tutazipeleka kwa wakubwa wetu huko juu na wao watatupa maelekezo au wao watayatolea maelekezo wao wenyewe," Ameongeza RC Mtanda.

Akizungumza mara baada ya kuwasikiliza Wafanyabiashara hao wanaolalamikia utitiri wa kodi kutoka Halmashauri ya Jiji la Mwanza Mhe. Mtanda amesema hakuna Taifa linaloweza kujiendesha bila kodi, Serikali inakuwa na uwezo wa kuwahudumia na kupeleka miradi kwa wanachi kutokana na michango inayotolewa na wananchi wenyewe ikiwemo ulipaji kodi.

"Leo hii Serikali ya Rais samia inafanya miradi mikubwa hapa nchini, je angewezaje kutekeleza hayo kama sio kupitia makusanyo ya kodi kutoka kwa wananchi wake, maendeleo mengi yamefanyika hapa nchini kutokana na  ya makusanyo ya kodi," Amesema RC Mtanda.

Mhe. Mtanda pia amesisitiza kuwa endapo wafanyabiashara hao wanataka sheria za kodi zibadilishwe basi hawana budi kuleta maoni yao ili wabunge wayachukue na wakayafanyie kazi bungeni maana chombo pekee kinachoweza kuunda na kuvunja sheria ni Bunge la Jamhuri ya Muungano wa Tanzania.


Latest Announcements

  • Tangazo la kukutana na Mhe. Mkuu wa Mkoa wa Mwanza kwa shida mbalimbali.

    soma zaidi
  • TANGAZO LA NANENANE TAREHE 8.8.2025

    soma zaidi
  • View More

Habari Mpya

  • SIKU 100 ZA RAIS DKT. SAMIA: UKEREWE YAPATA AJIRA 127
  • RC MTANDA AWASILI WILAYANI UKEREWE KWA ZIARA YA KIKAZI
  • MWANZA YAIMARISHA UTETEZI WA WATU WENYE ULEMAVU
  • SERIKALI YAAHIDI KUENDELEA KUTOA USHIRIKIANO KWA WADAU WA SEKTA YA BIASHARA
  • CHOROKO KWENYE RAMANI YA UCHUMI WA TAIFA
  • soma zaidi

Wasiliana Nasi

Prime Minister's Office Regional Administration and Local Government Mkoa wa Mwanza
Ofisi ya Mkuu wa Mkoa, Mkoa wa Mwanza, 2 Regional Drive
S.L.P: 119, Mwanza.
Simu: 028-2501037
Barua Pepe: ras@mwanza.go.tz
Simu ya Mkononi: 028-2501037
Balewa/Machemba Road Street
S.L.P: S.L.P 1333, Mwanza
Simu: +255 28 250 1375
Barua Pepe: cd@mwanzacc.go.tz
Simu ya Mkononi: 0768520195
Halmashauri ya Manispaa ya Ilemela
S.L.P: S.L.P 735, Mwanza
Simu: + 255 736 200910
Barua Pepe: md@ilemelamc.go.tz
Simu ya Mkononi:
Halmashauri ya Wilaya ya Magu
S.L.P: S.L.P 200, Magu
Simu: 028-2530035/2530003
Barua Pepe: ded@magudc.go.tz
Simu ya Mkononi:

Viunganishi vya Haraka

  • Maswali Yaulizwayo Mara kwa Mara
  • Makusanyo ya Ndani ya Halmashauri za Mkoa wa Mwanza
  • PReM
  • Fomu ya Ugonjwa
  • Opras fomu
  • Miongozo ya mfumo wa bajeti na Mipango
  • FFARS User Guidelines
  • OFISI MTANDAO

Viunganishi Linganishi

  • Tamisemi
  • Utumishi
  • Tovuti Kuu ya Serikali
  • Salary Slips Portal
  • Tovuti ya Sekreatarieti ya Ajira Tanzania
  • Ofisi ya Taifa ya Takwimu Tanzania
  • Tovuti ya Ikulu
  • Idara ya Habari Maelezo
  • Tovuti Rasmi ya Wananchi
  • Tovuti Kuu ya Takwimu Huria

Social Media

  • Like us on Facebook
  • Follow us on Twitter
  • Find us on Youtube
  • Follow us on Instagram

Copyright ©2016 GWF . All rights reserved.

  • Kanusho
  • Sera ya faragha
  • Maswali ya Mara kwa Mara
  • Ramani ya Tovuti