• barua pepe
  • Maswali ya Mara kwa Mara
  • Wasiliana Nasi
Mwanza Region

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania
Prime Minister's Office Regional Administration and Local Government
Mkoa wa Mwanza

  • Mwanzo
  • Kuhusu sisi
    • Dira na Mwelekeo
    • Historia ya Mkoa
    • Muundo
  • Wilaya
    • Babati
    • Mbulu
    • Hanang
    • Kiteto
    • Simanjiro
  • Idara
    • Utawala na Rasilimali Watu
    • Planning and Management
    • Fedha na Uhasibu
    • Ukaguzi wa Ndani
    • ununuzi na Ugavi
    • Uchumi na Uzalishaji
    • Miundombinu
    • Serikali za Mitaa
    • Social Welfare
    • Tehama
    • Afya
    • Elimu
    • Maji
  • Machapisho
    • Fomu
    • Miongozo
    • Taratibu
    • Ripoti
  • Investments
    • Investment One
    • Investment Two
    • Investment Three
    • Investment Four
    • Investment Five
  • Kituo cha Habari
    • Habari
    • Matangazo
    • Maktaba ya Picha
    • Sports and Games
    • Hotuba
    • Taarifa Kwa vyombo vya habari
    • Maktaba ya Video

RC MTANDA AMSHUKURU DKT. SAMIA KUANZISHA OFISI YA KANDA YA ZIWA YA KUDHIBITI NA KUPAMBANA NA DAWA ZA KULEVYA

Posted on: June 30th, 2024

RC MTANDA AMSHUKURU DKT. SAMIA KUANZISHA OFISI YA KANDA YA ZIWA YA KUDHIBITI NA KUPAMBANA NA DAWA ZA KULEVYA


Mkuu wa Mkoa wa Mwanza Mhe. Said Mtanda amemshukuru Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Dkt. Samia Suluhu Hassan kwa kuanzisha Ofisi ya kanda ya ziwa ya mamlaka ya kudhibiti na kupambana na dawa za kulevya na kuimarisha mapambano dhidi ya dawa za kulevya nchini.

Shukrani hizo amezitoa leo wakati alipokua akitoa salamu katika kilele cha maadhimisho ya Kitaifa ya siku ya kupiga vita dawa za kulevya duniani, maadhimisho yaliyofanyika leo Juni 30 2024, kwenye uwanja wa Nyamagana

Akitoa taarifa ya hali ya dawa za kulevya katika Mkoa wa Mwanza kuanzia mwaka 2018 hadi 2023, Mhe. Mtanda amesema jumla ya wananchi waliopatikana na dawa za kulevya aina ya bangi ni 1797, mirungi 294, dawa za kulevya (cocaine, heroine na nyingine) 51 na kufanya jumla ya dawa zote kuwa 2142.

"Takwimu hizi zinabainisha kwamba bishara na matumizi ya dawa za kulevya hapa Mkoani Mwanza ni kubwa na inahitaji msukumo mkubwa kutoka kwa Serikali pamoja na wadau mbalimbali ili kuendelea kupambana na wazalishaji, wasambaji na watumiaji wa dawa za kulevya".

Aidha Mkuu huyo wa Mkoa ametoa wito kwa wananchi wa Mkoa wa Mwanza kutokukubali matumizi ya dawa za kulevya kwani zinaharibu jamii, na kama tutashirikiana pamoja tunaweza kulikabili janga hili.

Kadhalika Mhe. Mtanda amesema Mkoa huo unaendelea kusimamia na kufuatilia kwa karibu miradi ya kimkakati na miradi yote inayoendelea kujengwa ili kuhakikisha miradi hiyo inatekelezwa kwa ubora na kwa kuzingatia thamani ya fedha (Value for Money).

Maadhimisho ya Kitaifa ya siku ya kupiga vita dawa za kulevya duniani yamehitimishwa leo Mkaoni Mwanza na kuhudhuliwa na viongozi mbalimbali wa Serikali, Chama cha Mapinduzi, Viongozi wa kimila, mashirika mbalimbali, wadau na wananchi huku mgeni rasmi akiwa ni Waziri Mkuu wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania  Mhe. Kassim Majaliwa (Mb.).

Latest Announcements

  • Tangazo la kukutana na Mhe. Mkuu wa Mkoa wa Mwanza kwa shida mbalimbali.

    soma zaidi
  • TANGAZO LA NANENANE TAREHE 8.8.2025

    soma zaidi
  • View More

Habari Mpya

  • SIKU 100 ZA RAIS DKT. SAMIA: UKEREWE YAPATA AJIRA 127
  • RC MTANDA AWASILI WILAYANI UKEREWE KWA ZIARA YA KIKAZI
  • MWANZA YAIMARISHA UTETEZI WA WATU WENYE ULEMAVU
  • SERIKALI YAAHIDI KUENDELEA KUTOA USHIRIKIANO KWA WADAU WA SEKTA YA BIASHARA
  • CHOROKO KWENYE RAMANI YA UCHUMI WA TAIFA
  • soma zaidi

Wasiliana Nasi

Prime Minister's Office Regional Administration and Local Government Mkoa wa Mwanza
Ofisi ya Mkuu wa Mkoa, Mkoa wa Mwanza, 2 Regional Drive
S.L.P: 119, Mwanza.
Simu: 028-2501037
Barua Pepe: ras@mwanza.go.tz
Simu ya Mkononi: 028-2501037
Balewa/Machemba Road Street
S.L.P: S.L.P 1333, Mwanza
Simu: +255 28 250 1375
Barua Pepe: cd@mwanzacc.go.tz
Simu ya Mkononi: 0768520195
Halmashauri ya Manispaa ya Ilemela
S.L.P: S.L.P 735, Mwanza
Simu: + 255 736 200910
Barua Pepe: md@ilemelamc.go.tz
Simu ya Mkononi:
Halmashauri ya Wilaya ya Magu
S.L.P: S.L.P 200, Magu
Simu: 028-2530035/2530003
Barua Pepe: ded@magudc.go.tz
Simu ya Mkononi:

Viunganishi vya Haraka

  • Maswali Yaulizwayo Mara kwa Mara
  • Makusanyo ya Ndani ya Halmashauri za Mkoa wa Mwanza
  • PReM
  • Fomu ya Ugonjwa
  • Opras fomu
  • Miongozo ya mfumo wa bajeti na Mipango
  • FFARS User Guidelines
  • OFISI MTANDAO

Viunganishi Linganishi

  • Tamisemi
  • Utumishi
  • Tovuti Kuu ya Serikali
  • Salary Slips Portal
  • Tovuti ya Sekreatarieti ya Ajira Tanzania
  • Ofisi ya Taifa ya Takwimu Tanzania
  • Tovuti ya Ikulu
  • Idara ya Habari Maelezo
  • Tovuti Rasmi ya Wananchi
  • Tovuti Kuu ya Takwimu Huria

Social Media

  • Like us on Facebook
  • Follow us on Twitter
  • Find us on Youtube
  • Follow us on Instagram

Copyright ©2016 GWF . All rights reserved.

  • Kanusho
  • Sera ya faragha
  • Maswali ya Mara kwa Mara
  • Ramani ya Tovuti