• barua pepe
  • Maswali ya Mara kwa Mara
  • Wasiliana Nasi
Mwanza Region

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania
Prime Minister's Office Regional Administration and Local Government
Mkoa wa Mwanza

  • Mwanzo
  • Kuhusu sisi
    • Dira na Mwelekeo
    • Historia ya Mkoa
    • Muundo
  • Wilaya
    • Babati
    • Mbulu
    • Hanang
    • Kiteto
    • Simanjiro
  • Idara
    • Utawala na Rasilimali Watu
    • Planning and Management
    • Fedha na Uhasibu
    • Ukaguzi wa Ndani
    • ununuzi na Ugavi
    • Uchumi na Uzalishaji
    • Miundombinu
    • Serikali za Mitaa
    • Social Welfare
    • Tehama
    • Afya
    • Elimu
    • Maji
  • Machapisho
    • Fomu
    • Miongozo
    • Taratibu
    • Ripoti
  • Investments
    • Investment One
    • Investment Two
    • Investment Three
    • Investment Four
    • Investment Five
  • Kituo cha Habari
    • Habari
    • Matangazo
    • Maktaba ya Picha
    • Sports and Games
    • Hotuba
    • Taarifa Kwa vyombo vya habari
    • Maktaba ya Video

RC MTANDA AWAPONGEZA JWTZ MWANZA KUTOA HUDUMA ZA AFYA BURE

Posted on: August 28th, 2024

RC MTANDA AWAPONGEZA JWTZ MWANZA KUTOA HUDUMA ZA AFYA BURE


Mkuu wa Mkoa wa Mwanza Mhe. Said Mtanda  amelipongeza Jeshi la wananchi wa Tanzania Mkoani humo kwa kuweka kambi ya matibabu bure ikiwa ni katika kuadhimisha miaka 60 ya jeshi hilo.

Pongezi hizo zimetolewa leo Agosti 28, 2024 mara baada ya kukagua mabanda ya kambi ya matibabu yaliyopo viwanja vya Furahisha Manispaa ya ilemela.

"Ninakupongeza Luteni kanali pamoja na wenzako kwa kuadhimisha miaka 60 ya jeshi kwa kutoa huduma za afya kwa wananchi wetu  pamoja na kuendelea kuimarisha ulinzi ambalo ndio jukumu lenu". Amesema Mhe. Mtanda.

Aidha Mhe. Mtanda amewataka Wananchi kuendelee kushirikiana na serikali kwani serikali inaendelea kuboresha huduma za afya nchini na nia kubwa ni kutibu wananchi hivyo amewataka wananchi kufika kwenye hospitali ya jeshi pale Ilemela kwani kuna vifaa vya kisasa.

Sambamba na hayo pia Mhe. Mtanda amewatoa hofu wananchi wote wanaoendelea kuzuru katika viwanja hivyo kuwa watapatiwa huduma na hakuna yoyote kati yao atakayeachwa kwani Jeshi limemhakikishia hilo na kutoa rai pia kwa wananchi kuchangamkia fursa hiyo kwa kujitokeza kwa wingi.

Naye Luteni kanali Ahmedi Ali Shabhay amesema kama Hospitali ya Kanda ya Jeshi wamejipanga vyema kuhakikisha wanawahudumia wananchi wote watakaojitokeza, aidha amesema pia wamekua na ushirikiano kwa karibu na Wataalamu kutoka Damu salama na hivyo kupelekea kuwepo kwa huduma ya uchangiaji damu katika viwanja hivyo.

Aidha Luteni Kanali Shabhay ametumia wasaa huo pia kutoa wito kwa wananchi kufika katika hospitali ya jeshi ya kanda ya ziwa Magharibi iliyopo Mtaa wa Uwanja wa Ndege Wilayani Ilemela kwani wanatoa huduma mbalimbali za afya na amewakaribisha kufanyiwa uchunguzi na matibabu katika hospitali hiyo ambayo inahudumia wananchi wote.

Latest Announcements

  • Tangazo la kukutana na Mhe. Mkuu wa Mkoa wa Mwanza kwa shida mbalimbali.

    soma zaidi
  • TANGAZO LA NANENANE TAREHE 8.8.2025

    soma zaidi
  • View More

Habari Mpya

  • SIKU 100 ZA RAIS DKT. SAMIA: UKEREWE YAPATA AJIRA 127
  • RC MTANDA AWASILI WILAYANI UKEREWE KWA ZIARA YA KIKAZI
  • MWANZA YAIMARISHA UTETEZI WA WATU WENYE ULEMAVU
  • SERIKALI YAAHIDI KUENDELEA KUTOA USHIRIKIANO KWA WADAU WA SEKTA YA BIASHARA
  • CHOROKO KWENYE RAMANI YA UCHUMI WA TAIFA
  • soma zaidi

Wasiliana Nasi

Prime Minister's Office Regional Administration and Local Government Mkoa wa Mwanza
Ofisi ya Mkuu wa Mkoa, Mkoa wa Mwanza, 2 Regional Drive
S.L.P: 119, Mwanza.
Simu: 028-2501037
Barua Pepe: ras@mwanza.go.tz
Simu ya Mkononi: 028-2501037
Balewa/Machemba Road Street
S.L.P: S.L.P 1333, Mwanza
Simu: +255 28 250 1375
Barua Pepe: cd@mwanzacc.go.tz
Simu ya Mkononi: 0768520195
Halmashauri ya Manispaa ya Ilemela
S.L.P: S.L.P 735, Mwanza
Simu: + 255 736 200910
Barua Pepe: md@ilemelamc.go.tz
Simu ya Mkononi:
Halmashauri ya Wilaya ya Magu
S.L.P: S.L.P 200, Magu
Simu: 028-2530035/2530003
Barua Pepe: ded@magudc.go.tz
Simu ya Mkononi:

Viunganishi vya Haraka

  • Maswali Yaulizwayo Mara kwa Mara
  • Makusanyo ya Ndani ya Halmashauri za Mkoa wa Mwanza
  • PReM
  • Fomu ya Ugonjwa
  • Opras fomu
  • Miongozo ya mfumo wa bajeti na Mipango
  • FFARS User Guidelines
  • OFISI MTANDAO

Viunganishi Linganishi

  • Tamisemi
  • Utumishi
  • Tovuti Kuu ya Serikali
  • Salary Slips Portal
  • Tovuti ya Sekreatarieti ya Ajira Tanzania
  • Ofisi ya Taifa ya Takwimu Tanzania
  • Tovuti ya Ikulu
  • Idara ya Habari Maelezo
  • Tovuti Rasmi ya Wananchi
  • Tovuti Kuu ya Takwimu Huria

Social Media

  • Like us on Facebook
  • Follow us on Twitter
  • Find us on Youtube
  • Follow us on Instagram

Copyright ©2016 GWF . All rights reserved.

  • Kanusho
  • Sera ya faragha
  • Maswali ya Mara kwa Mara
  • Ramani ya Tovuti