• barua pepe
  • Maswali ya Mara kwa Mara
  • Wasiliana Nasi
Mwanza Region

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania
Prime Minister's Office Regional Administration and Local Government
Mkoa wa Mwanza

  • Mwanzo
  • Kuhusu sisi
    • Dira na Mwelekeo
    • Historia ya Mkoa
    • Muundo
  • Wilaya
    • Babati
    • Mbulu
    • Hanang
    • Kiteto
    • Simanjiro
  • Idara
    • Utawala na Rasilimali Watu
    • Planning and Management
    • Fedha na Uhasibu
    • Ukaguzi wa Ndani
    • ununuzi na Ugavi
    • Uchumi na Uzalishaji
    • Miundombinu
    • Serikali za Mitaa
    • Social Welfare
    • Tehama
    • Afya
    • Elimu
    • Maji
  • Machapisho
    • Fomu
    • Miongozo
    • Taratibu
    • Ripoti
  • Investments
    • Investment One
    • Investment Two
    • Investment Three
    • Investment Four
    • Investment Five
  • Kituo cha Habari
    • Habari
    • Matangazo
    • Maktaba ya Picha
    • Sports and Games
    • Hotuba
    • Taarifa Kwa vyombo vya habari
    • Maktaba ya Video

RC MTANDA AWATAKA MAAFISA UHAMIAJI NA ASKARI KUWA NA NIDHAMU, KUEPUKA RUSHWA

Posted on: June 3rd, 2024

RC MTANDA AWATAKA MAAFISA UHAMIAJI NA ASKARI KUWA NA NIDHAMU, KUEPUKA RUSHWA


Mkuu wa Mkoa wa Mwanza Mhe. Said Mtanda leo Juni 3, 2024 amehudhuria hafla ya kuvishwa nishani Maafisa Ukaguzi na askari 203 kutoka Jeshi la Uhamiaji na kuwataka kutanguliza nidhamu na kuepuka rushwa kazini.

Akizungumza na Maafisa hao kwenye viwanja vya Ofisi ya Uhamiaji  Mkoa, Mtanda amebainisha hatua ya Rais kuwavisha nishani hizo ni kutokana na sifa walizonazo hivyo wanapaswa kuwa mabalozi wazuri kwa wengine.

"Nawapongeza sana kwa hatua hii, kumbukeni si jepesi hili na ndeleeni kufanya kazi kwa kuzingatia sheria, kanuni na miongozo ili mtoe huduma bora kwa wananchi", Mkuu wa Mkoa.

Amesema kila eneo la kazi lina changamoto zake na Serikali inazitatua kadiri ya uwezo wake na akawataka Maafisa hao kusimamia vizuri usalama wa nchi kwa watu wanaoingia na kutoka.

Amempongeza pia Kamishna Jenerali wa Uhamiaji Dkt. Anna Makakala kwa kuridhia hafla hiyo kufanyika mkoani Mwanza na kusisitiza Mkoa huo ndiyo kitovu cha biashara eneo la maziwa makuu.

"Nishani hizi tofauti nilizowavalisha leo kwa niaba ya Rais, tambueni ni heshima aliyoitoa kwa majeshi yetu tukitimiza miaka 60 ya Muungano wetu, mkaongeze bidii ya kazi na kuwa mfano kwa wengine,"Dkt. Anna Makakala, Kamishna Jenerali wa Uhamiaji.

Kamishna Jenerali huyo amewavisha nishani tofauti kwa Maafisa Wakaguzi na askari wa Uhamiaji kutoka mikoa ya Mwanza, Kagera, Simiyu, Geita, Kigoma, Mara, Tabora na Shinyanga.

Nishani walizovalishwa Maafisa hao  ni ya Muungano,Utumishi uliotukuka,Utumishi wa muda mrefu na tabia njema na utumishi wa muda mrefu.

Latest Announcements

  • Tangazo la kukutana na Mhe. Mkuu wa Mkoa wa Mwanza kwa shida mbalimbali.

    soma zaidi
  • TANGAZO LA NANENANE TAREHE 8.8.2025

    soma zaidi
  • View More

Habari Mpya

  • SIKU 100 ZA RAIS DKT. SAMIA: UKEREWE YAPATA AJIRA 127
  • RC MTANDA AWASILI WILAYANI UKEREWE KWA ZIARA YA KIKAZI
  • MWANZA YAIMARISHA UTETEZI WA WATU WENYE ULEMAVU
  • SERIKALI YAAHIDI KUENDELEA KUTOA USHIRIKIANO KWA WADAU WA SEKTA YA BIASHARA
  • CHOROKO KWENYE RAMANI YA UCHUMI WA TAIFA
  • soma zaidi

Wasiliana Nasi

Prime Minister's Office Regional Administration and Local Government Mkoa wa Mwanza
Ofisi ya Mkuu wa Mkoa, Mkoa wa Mwanza, 2 Regional Drive
S.L.P: 119, Mwanza.
Simu: 028-2501037
Barua Pepe: ras@mwanza.go.tz
Simu ya Mkononi: 028-2501037
Balewa/Machemba Road Street
S.L.P: S.L.P 1333, Mwanza
Simu: +255 28 250 1375
Barua Pepe: cd@mwanzacc.go.tz
Simu ya Mkononi: 0768520195
Halmashauri ya Manispaa ya Ilemela
S.L.P: S.L.P 735, Mwanza
Simu: + 255 736 200910
Barua Pepe: md@ilemelamc.go.tz
Simu ya Mkononi:
Halmashauri ya Wilaya ya Magu
S.L.P: S.L.P 200, Magu
Simu: 028-2530035/2530003
Barua Pepe: ded@magudc.go.tz
Simu ya Mkononi:

Viunganishi vya Haraka

  • Maswali Yaulizwayo Mara kwa Mara
  • Makusanyo ya Ndani ya Halmashauri za Mkoa wa Mwanza
  • PReM
  • Fomu ya Ugonjwa
  • Opras fomu
  • Miongozo ya mfumo wa bajeti na Mipango
  • FFARS User Guidelines
  • OFISI MTANDAO

Viunganishi Linganishi

  • Tamisemi
  • Utumishi
  • Tovuti Kuu ya Serikali
  • Salary Slips Portal
  • Tovuti ya Sekreatarieti ya Ajira Tanzania
  • Ofisi ya Taifa ya Takwimu Tanzania
  • Tovuti ya Ikulu
  • Idara ya Habari Maelezo
  • Tovuti Rasmi ya Wananchi
  • Tovuti Kuu ya Takwimu Huria

Social Media

  • Like us on Facebook
  • Follow us on Twitter
  • Find us on Youtube
  • Follow us on Instagram

Copyright ©2016 GWF . All rights reserved.

  • Kanusho
  • Sera ya faragha
  • Maswali ya Mara kwa Mara
  • Ramani ya Tovuti