• barua pepe
  • Maswali ya Mara kwa Mara
  • Wasiliana Nasi
Mwanza Region

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania
Prime Minister's Office Regional Administration and Local Government
Mkoa wa Mwanza

  • Mwanzo
  • Kuhusu sisi
    • Dira na Mwelekeo
    • Historia ya Mkoa
    • Muundo
  • Wilaya
    • Babati
    • Mbulu
    • Hanang
    • Kiteto
    • Simanjiro
  • Idara
    • Utawala na Rasilimali Watu
    • Planning and Management
    • Fedha na Uhasibu
    • Ukaguzi wa Ndani
    • ununuzi na Ugavi
    • Uchumi na Uzalishaji
    • Miundombinu
    • Serikali za Mitaa
    • Social Welfare
    • Tehama
    • Afya
    • Elimu
    • Maji
  • Machapisho
    • Fomu
    • Miongozo
    • Taratibu
    • Ripoti
  • Investments
    • Investment One
    • Investment Two
    • Investment Three
    • Investment Four
    • Investment Five
  • Kituo cha Habari
    • Habari
    • Matangazo
    • Maktaba ya Picha
    • Sports and Games
    • Hotuba
    • Taarifa Kwa vyombo vya habari
    • Maktaba ya Video

RC MTANDA AWATAKA MGAMBO WA JIJI KUZINGATIA SHERIA, TARATIBU NA KANUNI WAKATI WA UTEKELEZAJI WA MAJUKUMU

Posted on: July 5th, 2024

RC MTANDA AWATAKA MGAMBO WA JIJI  KUZINGATIA SHERIA, TARATIBU NA KANUNI WAKATI WA UTEKELEZAJI WA MAJUKUMU


Mkuu wa Mkoa wa Mwanza Mhe. Said Mtanda amewataka askari wa Jeshi la Akiba (Mgambo) wa Jiji la Mwanza kuzingatia na kutekeleza sheria, taratibu na kanuni katika zoezi la ukamataji wa wafanyabiashara wanaokiuka sheria na kanuni zilizowekwa katika maeneo rasmi ya kufanyia biashara na kupanga biashara zao barabarani.

“Askari Mgambo anayo amri ya ukamataji na anapokamata anatakiwa azingatie sheria lakini anayekamatwa naye anatakiwa kutii sheria bila shuruti”, amesema Mtanda.

Akizungumza leo Julai 5, 2024 kwenye kikao kazi kilichofanyika kwenye ukumbi wa Ofisi ya Mkuu wa Mkoa, Mtanda ameutaka uongozi wa Jiji la Mwanza chini ya Mkurugenzi wake kuharakisha ujenzi wa masoko sahihi ili kuepusha migogoro inayojitokeza.

“Ili kupunguza adha ya wafanyabiashara kuzurura na kupanga bidhaa kwenye barabara ni vizuri masoko haya yakamilishwe kwa wakati ili wapate maeneo mazuri yakufanya biashara” Mkuu  wa Mkoa.

Naye, msimamizi wa askari wa Jiji Mwanza SSP Philoteus Ngosingosi amesema Juni 20, 2024 alikabidhiwa rasmi na Uongozi wa Jiji kuendesha shughuli ya kuelimisha, kukamata na kuwafikisha mahakamani na kutoa adhabu wafanyabiashara ambao hawataki kufata sheria na kanuni zilizowekwa.

Mkoa wa Mwanza unachangia asilimia 7.1 katika pato la Taifa hivyo kulipa kodi ni wajibu na sheria ili kuleta maendeleo ya nchi.

Latest Announcements

  • Tangazo la kukutana na Mhe. Mkuu wa Mkoa wa Mwanza kwa shida mbalimbali.

    soma zaidi
  • TANGAZO LA NANENANE TAREHE 8.8.2025

    soma zaidi
  • View More

Habari Mpya

  • SIKU 100 ZA RAIS DKT. SAMIA: UKEREWE YAPATA AJIRA 127
  • RC MTANDA AWASILI WILAYANI UKEREWE KWA ZIARA YA KIKAZI
  • MWANZA YAIMARISHA UTETEZI WA WATU WENYE ULEMAVU
  • SERIKALI YAAHIDI KUENDELEA KUTOA USHIRIKIANO KWA WADAU WA SEKTA YA BIASHARA
  • CHOROKO KWENYE RAMANI YA UCHUMI WA TAIFA
  • soma zaidi

Wasiliana Nasi

Prime Minister's Office Regional Administration and Local Government Mkoa wa Mwanza
Ofisi ya Mkuu wa Mkoa, Mkoa wa Mwanza, 2 Regional Drive
S.L.P: 119, Mwanza.
Simu: 028-2501037
Barua Pepe: ras@mwanza.go.tz
Simu ya Mkononi: 028-2501037
Balewa/Machemba Road Street
S.L.P: S.L.P 1333, Mwanza
Simu: +255 28 250 1375
Barua Pepe: cd@mwanzacc.go.tz
Simu ya Mkononi: 0768520195
Halmashauri ya Manispaa ya Ilemela
S.L.P: S.L.P 735, Mwanza
Simu: + 255 736 200910
Barua Pepe: md@ilemelamc.go.tz
Simu ya Mkononi:
Halmashauri ya Wilaya ya Magu
S.L.P: S.L.P 200, Magu
Simu: 028-2530035/2530003
Barua Pepe: ded@magudc.go.tz
Simu ya Mkononi:

Viunganishi vya Haraka

  • Maswali Yaulizwayo Mara kwa Mara
  • Makusanyo ya Ndani ya Halmashauri za Mkoa wa Mwanza
  • PReM
  • Fomu ya Ugonjwa
  • Opras fomu
  • Miongozo ya mfumo wa bajeti na Mipango
  • FFARS User Guidelines
  • OFISI MTANDAO

Viunganishi Linganishi

  • Tamisemi
  • Utumishi
  • Tovuti Kuu ya Serikali
  • Salary Slips Portal
  • Tovuti ya Sekreatarieti ya Ajira Tanzania
  • Ofisi ya Taifa ya Takwimu Tanzania
  • Tovuti ya Ikulu
  • Idara ya Habari Maelezo
  • Tovuti Rasmi ya Wananchi
  • Tovuti Kuu ya Takwimu Huria

Social Media

  • Like us on Facebook
  • Follow us on Twitter
  • Find us on Youtube
  • Follow us on Instagram

Copyright ©2016 GWF . All rights reserved.

  • Kanusho
  • Sera ya faragha
  • Maswali ya Mara kwa Mara
  • Ramani ya Tovuti