• barua pepe
  • Maswali ya Mara kwa Mara
  • Wasiliana Nasi
Mwanza Region

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania
Prime Minister's Office Regional Administration and Local Government
Mkoa wa Mwanza

  • Mwanzo
  • Kuhusu sisi
    • Dira na Mwelekeo
    • Historia ya Mkoa
    • Muundo
  • Wilaya
    • Babati
    • Mbulu
    • Hanang
    • Kiteto
    • Simanjiro
  • Idara
    • Utawala na Rasilimali Watu
    • Planning and Management
    • Fedha na Uhasibu
    • Ukaguzi wa Ndani
    • ununuzi na Ugavi
    • Uchumi na Uzalishaji
    • Miundombinu
    • Serikali za Mitaa
    • Social Welfare
    • Tehama
    • Afya
    • Elimu
    • Maji
  • Machapisho
    • Fomu
    • Miongozo
    • Taratibu
    • Ripoti
  • Investments
    • Investment One
    • Investment Two
    • Investment Three
    • Investment Four
    • Investment Five
  • Kituo cha Habari
    • Habari
    • Matangazo
    • Maktaba ya Picha
    • Sports and Games
    • Hotuba
    • Taarifa Kwa vyombo vya habari
    • Maktaba ya Video

RC MTANDA AWATAKA VIJANA WANAVYUO KUTOHARAKIA MAISHA

Posted on: November 20th, 2024

RC MTANDA AWATAKA VIJANA WANAVYUO KUTOHARAKIA MAISHA


Mkuu wa Mkoa wa Mwanza Mhe. Said Mtanda amewataka Vijana kutoka Vyuo Vikuu na vya Kati Mkoani humo kuacha tamaa ya kukimbilia kutamani kupata vitu au mali ambavyo hawana uwezo navyo kwani inachochea ukatili wa kijinsia.

Mhe. Mtanda ametoa rai hiyo mapema leo tarehe 20 Novemba, 2024 wakati akizindua Kampeni ya Kampasi Salama inayotekekezwa na Serikali kwa ushirikiano na Shirika la Umoja wa Mataifa  la Elimu, Sayansi na Utamaduni (UNESCO).

Halikadhalika, ametumia jukwaa hilo kuwasihi vijana kujiepusha na makundi hatarishi yanayoweza kuwapeleka kwenye hatari ya kufanyiwa ukatili wa kijinsia na amewataka kutumia wakati vema kwa ajili ya kuwa salama na kujibidiisha katika masomo.

"Mzazi kakuleta hapa kwa imani kubwa sana na wewe inakuaje ukifika chuo usijisimamie na kujitambua ili uweze kuwa kijana bora ukasoma kwa bidii na kuandaa kesho yako bora." Mkuu wa Mkoa.

Aidha, Mhe. Mtanda amebainisha kuwa Serikali kupitia wizara ya maendeleo ya jamii inaendelea kuratibu upatikanaji wa afua mbalimbali za utekelezaji wa sera ya kutokomeza ukatili wa kijinsia nchini ikiwemo kwa wanafunzi wa vyuo vikuu.

Vilevile, amewapongeza UNESCO na Wizara ya Elimu kwa kushirikiana na Wizara ya Maendeleo ya jamii kwa kutekekeza mradi wa O3 PLUS ambao malengo yake ni kutokomeza vitendo vya ukatili wa kijinsia katika vyo vikuu na vya kati.

Naye Kaimu Makamu Mkuu wa Chuo cha SAUT Mwanza Prof. Hoseah Regoshora amewashukuru UNESCO kwa kuwa sehemu ya kampeni ya kutokomeza ukatili wa kijinsia kwa wanafunzi kwa kuwajengea uwezo na kufadhili tafiti.

Kwa upande wake Mwakilishi Mkazi wa UNESCO Nchini Tanzania, Bw. Michael Toto amesema wamedhamiria kutokomeza kabisa ukatili kwa wanafunzi wawapo kwenye kampasi zao na ndio maana wameamua kutoa elimu ya umuhimu wa usalama wa watoto wawapo chuoni kwa ufanisi katika masomo.


Latest Announcements

  • Tangazo la kukutana na Mhe. Mkuu wa Mkoa wa Mwanza kwa shida mbalimbali.

    soma zaidi
  • TANGAZO LA NANENANE TAREHE 8.8.2025

    soma zaidi
  • View More

Habari Mpya

  • SIKU 100 ZA RAIS DKT. SAMIA: UKEREWE YAPATA AJIRA 127
  • RC MTANDA AWASILI WILAYANI UKEREWE KWA ZIARA YA KIKAZI
  • MWANZA YAIMARISHA UTETEZI WA WATU WENYE ULEMAVU
  • SERIKALI YAAHIDI KUENDELEA KUTOA USHIRIKIANO KWA WADAU WA SEKTA YA BIASHARA
  • CHOROKO KWENYE RAMANI YA UCHUMI WA TAIFA
  • soma zaidi

Wasiliana Nasi

Prime Minister's Office Regional Administration and Local Government Mkoa wa Mwanza
Ofisi ya Mkuu wa Mkoa, Mkoa wa Mwanza, 2 Regional Drive
S.L.P: 119, Mwanza.
Simu: 028-2501037
Barua Pepe: ras@mwanza.go.tz
Simu ya Mkononi: 028-2501037
Balewa/Machemba Road Street
S.L.P: S.L.P 1333, Mwanza
Simu: +255 28 250 1375
Barua Pepe: cd@mwanzacc.go.tz
Simu ya Mkononi: 0768520195
Halmashauri ya Manispaa ya Ilemela
S.L.P: S.L.P 735, Mwanza
Simu: + 255 736 200910
Barua Pepe: md@ilemelamc.go.tz
Simu ya Mkononi:
Halmashauri ya Wilaya ya Magu
S.L.P: S.L.P 200, Magu
Simu: 028-2530035/2530003
Barua Pepe: ded@magudc.go.tz
Simu ya Mkononi:

Viunganishi vya Haraka

  • Maswali Yaulizwayo Mara kwa Mara
  • Makusanyo ya Ndani ya Halmashauri za Mkoa wa Mwanza
  • PReM
  • Fomu ya Ugonjwa
  • Opras fomu
  • Miongozo ya mfumo wa bajeti na Mipango
  • FFARS User Guidelines
  • OFISI MTANDAO

Viunganishi Linganishi

  • Tamisemi
  • Utumishi
  • Tovuti Kuu ya Serikali
  • Salary Slips Portal
  • Tovuti ya Sekreatarieti ya Ajira Tanzania
  • Ofisi ya Taifa ya Takwimu Tanzania
  • Tovuti ya Ikulu
  • Idara ya Habari Maelezo
  • Tovuti Rasmi ya Wananchi
  • Tovuti Kuu ya Takwimu Huria

Social Media

  • Like us on Facebook
  • Follow us on Twitter
  • Find us on Youtube
  • Follow us on Instagram

Copyright ©2016 GWF . All rights reserved.

  • Kanusho
  • Sera ya faragha
  • Maswali ya Mara kwa Mara
  • Ramani ya Tovuti