• barua pepe
  • Maswali ya Mara kwa Mara
  • Wasiliana Nasi
Mwanza Region

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania
Prime Minister's Office Regional Administration and Local Government
Mkoa wa Mwanza

  • Mwanzo
  • Kuhusu sisi
    • Dira na Mwelekeo
    • Historia ya Mkoa
    • Muundo
  • Wilaya
    • Babati
    • Mbulu
    • Hanang
    • Kiteto
    • Simanjiro
  • Idara
    • Utawala na Rasilimali Watu
    • Planning and Management
    • Fedha na Uhasibu
    • Ukaguzi wa Ndani
    • ununuzi na Ugavi
    • Uchumi na Uzalishaji
    • Miundombinu
    • Serikali za Mitaa
    • Social Welfare
    • Tehama
    • Afya
    • Elimu
    • Maji
  • Machapisho
    • Fomu
    • Miongozo
    • Taratibu
    • Ripoti
  • Investments
    • Investment One
    • Investment Two
    • Investment Three
    • Investment Four
    • Investment Five
  • Kituo cha Habari
    • Habari
    • Matangazo
    • Maktaba ya Picha
    • Sports and Games
    • Hotuba
    • Taarifa Kwa vyombo vya habari
    • Maktaba ya Video

RC MTANDA AWATAKA WAFANYABIASHARA KUWA NA SUBIRA WAKATI SOKO KUU LA MJINI KATI LIKITARAJIWA KUTOA HUDUMA HIVI KARIBUNI

Posted on: June 3rd, 2024

RC MTANDA AWATAKA WAFANYABIASHARA KUWA NA SUBIRA WAKATI SOKO KUU LA MJINI KATI LIKITARAJIWA KUTOA HUDUMA HIVI KARIBUNI


Mkuu wa Mkoa wa Mwanza Mhe. Said Mtanda amewataka wafanyabiashara mjini Mwanza kuwa wavumilivu na kuendelea na biashara zao kwenye eneo walilopangwa kwani ujenzi wa Soko Kuu la Jijini humo lipo mbioni kukamilishwa.

Ametoa wito huo leo Juni 03, 2024 wakati akizungumza na wafanyabiashara wa Soko la Mbugani waliohamishiwa hapo kwa muda mfupi kupisha ujenzi wa Soko kuu la mjini kati linalotekelezwa kwa zaidi ya Bilioni 23.

"Serikali imeridhia kummalizia mkandarasi shs bilioni 3 zilizobaki hivyo tuna imani kasi ya umaliziaji sasa itakwenda vizuri na wafanyabiashara mtaanza kutoa huduma kwenye mazingira bora na ya kisasa," amesema Mkuu wa Mkoa.

Mtanda amesema, kwa sasa ni hasara kuwekeza kwenye soko la muda kwani eneo hilo ni la muda mfupi na kwamba nguvu kubwa imeelekezwa kwenye ujenzi wa soko la Mjini Kati ambalo ujenzi wake umeshafikia zaidi ya asilimia 90.

Kwa upande wake Mkuu wa Wilaya ya Nyamagana Mhe. Amina Makilagi amesema mara baada ya soko kuu kukamilika wafanyabiashara wa Mbugani watapewa kipaumbele kuingia rasmi soko jipya kama walivyoahidiwa awali na Serikali.

Aidha, ametumia jukwaa hilo kuwashukuru  Baraza la Kiislam Nchini (BAKWATA) kupitia Msikiti mkuu wa Mwanza kwa kutoa eneo hilo linalotumiwa kwa muda kwa sasa wakati ujenzi wa soko la kuu ukiendelea.

Latest Announcements

  • Tangazo la kukutana na Mhe. Mkuu wa Mkoa wa Mwanza kwa shida mbalimbali.

    soma zaidi
  • TANGAZO LA NANENANE TAREHE 8.8.2025

    soma zaidi
  • View More

Habari Mpya

  • SIKU 100 ZA RAIS DKT. SAMIA: UKEREWE YAPATA AJIRA 127
  • RC MTANDA AWASILI WILAYANI UKEREWE KWA ZIARA YA KIKAZI
  • MWANZA YAIMARISHA UTETEZI WA WATU WENYE ULEMAVU
  • SERIKALI YAAHIDI KUENDELEA KUTOA USHIRIKIANO KWA WADAU WA SEKTA YA BIASHARA
  • CHOROKO KWENYE RAMANI YA UCHUMI WA TAIFA
  • soma zaidi

Wasiliana Nasi

Prime Minister's Office Regional Administration and Local Government Mkoa wa Mwanza
Ofisi ya Mkuu wa Mkoa, Mkoa wa Mwanza, 2 Regional Drive
S.L.P: 119, Mwanza.
Simu: 028-2501037
Barua Pepe: ras@mwanza.go.tz
Simu ya Mkononi: 028-2501037
Balewa/Machemba Road Street
S.L.P: S.L.P 1333, Mwanza
Simu: +255 28 250 1375
Barua Pepe: cd@mwanzacc.go.tz
Simu ya Mkononi: 0768520195
Halmashauri ya Manispaa ya Ilemela
S.L.P: S.L.P 735, Mwanza
Simu: + 255 736 200910
Barua Pepe: md@ilemelamc.go.tz
Simu ya Mkononi:
Halmashauri ya Wilaya ya Magu
S.L.P: S.L.P 200, Magu
Simu: 028-2530035/2530003
Barua Pepe: ded@magudc.go.tz
Simu ya Mkononi:

Viunganishi vya Haraka

  • Maswali Yaulizwayo Mara kwa Mara
  • Makusanyo ya Ndani ya Halmashauri za Mkoa wa Mwanza
  • PReM
  • Fomu ya Ugonjwa
  • Opras fomu
  • Miongozo ya mfumo wa bajeti na Mipango
  • FFARS User Guidelines
  • OFISI MTANDAO

Viunganishi Linganishi

  • Tamisemi
  • Utumishi
  • Tovuti Kuu ya Serikali
  • Salary Slips Portal
  • Tovuti ya Sekreatarieti ya Ajira Tanzania
  • Ofisi ya Taifa ya Takwimu Tanzania
  • Tovuti ya Ikulu
  • Idara ya Habari Maelezo
  • Tovuti Rasmi ya Wananchi
  • Tovuti Kuu ya Takwimu Huria

Social Media

  • Like us on Facebook
  • Follow us on Twitter
  • Find us on Youtube
  • Follow us on Instagram

Copyright ©2016 GWF . All rights reserved.

  • Kanusho
  • Sera ya faragha
  • Maswali ya Mara kwa Mara
  • Ramani ya Tovuti