• barua pepe
  • Maswali ya Mara kwa Mara
  • Wasiliana Nasi
Mwanza Region

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania
Prime Minister's Office Regional Administration and Local Government
Mkoa wa Mwanza

  • Mwanzo
  • Kuhusu sisi
    • Dira na Mwelekeo
    • Historia ya Mkoa
    • Muundo
  • Wilaya
    • Babati
    • Mbulu
    • Hanang
    • Kiteto
    • Simanjiro
  • Idara
    • Utawala na Rasilimali Watu
    • Planning and Management
    • Fedha na Uhasibu
    • Ukaguzi wa Ndani
    • ununuzi na Ugavi
    • Uchumi na Uzalishaji
    • Miundombinu
    • Serikali za Mitaa
    • Social Welfare
    • Tehama
    • Afya
    • Elimu
    • Maji
  • Machapisho
    • Fomu
    • Miongozo
    • Taratibu
    • Ripoti
  • Investments
    • Investment One
    • Investment Two
    • Investment Three
    • Investment Four
    • Investment Five
  • Kituo cha Habari
    • Habari
    • Matangazo
    • Maktaba ya Picha
    • Sports and Games
    • Hotuba
    • Taarifa Kwa vyombo vya habari
    • Maktaba ya Video

RC MTANDA AWATAKA WAGANGA WAKUU WA MIKOA NA WILAYA KUSIMAMIA UPATIKANAJI WA DAWA KWA KARIBU

Posted on: June 26th, 2024

RC MTANDA AWATAKA WAGANGA WAKUU WA MIKOA NA WILAYA KUSIMAMIA UPATIKANAJI WA DAWA KWA KARIBU


kutokana na kuwepo kwa malalamiko mengi juu ya wizi wa dawa, kununua dawa nyingi na hatimaye kuchina na kusababisha hasara kwa Serikali, Mkuu wa Mkoa wa Mwanza Mhe. Said Mtanda amewataka na kuwaagiza Waganga Wakuu wa Mikoa na Wilaya za Kanda ya Mwanza kuhakikisha wanasimamia upatikanaji wa dawa kwa karibu.

Mhe. Mtanda ametoa kauli hiyo wakati akihutubia katika mkutano wa mwaka na wadau wa afya kanda ya Mwanza uliofanyika leo Juni 26, 2024 mkoani humo,Mhe. Mtanda amewataka waganga wakuu wa wilaya na Wafamasia wa mikoa kukagua na kufuatilia matumizi ya bidhaa za afya katika kila ngazi ili kudhibiti mianya ya upotevu wa bidhaa hizo.

"Ni mategemeo yangu kuwa baada ya mkutano huu, wote tutaondoka na uelewa wa pamoja na maazimio ambayo utekelezaji wake utaboresha upatikanaji wa bidhaa za afya pamoja na kuboresha huduma za afya maeneo yetu ya kazi".

Aidha Mkuu huyo wa Mkoa amewakumbusha wadau wa MSD kupitia Wizara ya afya, kufanya maoteo ya bidhaa za afya kwa usahihi, weledi na kwa wakati, hii itawezesha MSD kuwa na takwimu sahihi katika bidhaa za afya kuagiza kutoka kwa wazalishaji na washitiri hivyo kuboresha upatikanaji wa bidhaa hizo.

Kadhalika Mhe. Mtanda amewataka waganga wakuu wa wilaya na wafamasia kusimamia ukusanyaji wa mapato katika vituo vya kutolea afya ili vituo hivyo viweze kulipa madeni yaliyopo MSD kwa wakati mara baada ya kupokea shehena ya bidhaa na kuepusha madeni yasiyo ya lazima.

"Ninawakumbusha pia mna jukumu la kuvisimamia vituo vya kutolea huduma za afya katika maeneo yenu ili viweze kukusanya mapato ya kutosha yanayotokana na uchangiaji wa huduma za afya".Mkuu wa Mkoa

Naye Mwakilishi wa Mkurugenzi Mkuu wa Bohari ya dawa (MSD) Bw. Victor Sungusia amesema mikutano ya mwaka na wadau wa afya ni muhimu sana kwa pande zote mbili yaani MSD yenyewe na viongozi wa sekta ya afya ngazi ya Mkoa na Wilaya, kwa sababu wakati wa kikao hicho kuna mambo yatawasilishwa na kujadiliwa ambayo ni muhimu wakati wa utekelezaji wa majukumu yao ya kila siku.

Latest Announcements

  • Tangazo la kukutana na Mhe. Mkuu wa Mkoa wa Mwanza kwa shida mbalimbali.

    soma zaidi
  • TANGAZO LA NANENANE TAREHE 8.8.2025

    soma zaidi
  • View More

Habari Mpya

  • SIKU 100 ZA RAIS DKT. SAMIA: UKEREWE YAPATA AJIRA 127
  • RC MTANDA AWASILI WILAYANI UKEREWE KWA ZIARA YA KIKAZI
  • MWANZA YAIMARISHA UTETEZI WA WATU WENYE ULEMAVU
  • SERIKALI YAAHIDI KUENDELEA KUTOA USHIRIKIANO KWA WADAU WA SEKTA YA BIASHARA
  • CHOROKO KWENYE RAMANI YA UCHUMI WA TAIFA
  • soma zaidi

Wasiliana Nasi

Prime Minister's Office Regional Administration and Local Government Mkoa wa Mwanza
Ofisi ya Mkuu wa Mkoa, Mkoa wa Mwanza, 2 Regional Drive
S.L.P: 119, Mwanza.
Simu: 028-2501037
Barua Pepe: ras@mwanza.go.tz
Simu ya Mkononi: 028-2501037
Balewa/Machemba Road Street
S.L.P: S.L.P 1333, Mwanza
Simu: +255 28 250 1375
Barua Pepe: cd@mwanzacc.go.tz
Simu ya Mkononi: 0768520195
Halmashauri ya Manispaa ya Ilemela
S.L.P: S.L.P 735, Mwanza
Simu: + 255 736 200910
Barua Pepe: md@ilemelamc.go.tz
Simu ya Mkononi:
Halmashauri ya Wilaya ya Magu
S.L.P: S.L.P 200, Magu
Simu: 028-2530035/2530003
Barua Pepe: ded@magudc.go.tz
Simu ya Mkononi:

Viunganishi vya Haraka

  • Maswali Yaulizwayo Mara kwa Mara
  • Makusanyo ya Ndani ya Halmashauri za Mkoa wa Mwanza
  • PReM
  • Fomu ya Ugonjwa
  • Opras fomu
  • Miongozo ya mfumo wa bajeti na Mipango
  • FFARS User Guidelines
  • OFISI MTANDAO

Viunganishi Linganishi

  • Tamisemi
  • Utumishi
  • Tovuti Kuu ya Serikali
  • Salary Slips Portal
  • Tovuti ya Sekreatarieti ya Ajira Tanzania
  • Ofisi ya Taifa ya Takwimu Tanzania
  • Tovuti ya Ikulu
  • Idara ya Habari Maelezo
  • Tovuti Rasmi ya Wananchi
  • Tovuti Kuu ya Takwimu Huria

Social Media

  • Like us on Facebook
  • Follow us on Twitter
  • Find us on Youtube
  • Follow us on Instagram

Copyright ©2016 GWF . All rights reserved.

  • Kanusho
  • Sera ya faragha
  • Maswali ya Mara kwa Mara
  • Ramani ya Tovuti