• barua pepe
  • Maswali ya Mara kwa Mara
  • Wasiliana Nasi
Mwanza Region

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania
Prime Minister's Office Regional Administration and Local Government
Mkoa wa Mwanza

  • Mwanzo
  • Kuhusu sisi
    • Dira na Mwelekeo
    • Historia ya Mkoa
    • Muundo
  • Wilaya
    • Babati
    • Mbulu
    • Hanang
    • Kiteto
    • Simanjiro
  • Idara
    • Utawala na Rasilimali Watu
    • Planning and Management
    • Fedha na Uhasibu
    • Ukaguzi wa Ndani
    • ununuzi na Ugavi
    • Uchumi na Uzalishaji
    • Miundombinu
    • Serikali za Mitaa
    • Social Welfare
    • Tehama
    • Afya
    • Elimu
    • Maji
  • Machapisho
    • Fomu
    • Miongozo
    • Taratibu
    • Ripoti
  • Investments
    • Investment One
    • Investment Two
    • Investment Three
    • Investment Four
    • Investment Five
  • Kituo cha Habari
    • Habari
    • Matangazo
    • Maktaba ya Picha
    • Sports and Games
    • Hotuba
    • Taarifa Kwa vyombo vya habari
    • Maktaba ya Video

RC Mwanza aendelea kutoa misaada Wanafunzi wa Sekondari ya Bwiru waliounguliwa na Bweni

Posted on: July 1st, 2022

Mkuu wa Mkoa wa Mwanza Mhe Mhandisi Robert Gabriel leo ameendelea kuongoza zoezi la kuwapatia mahitaji muhimu na ukaguzi wa ujenzi wa Bweni la Wanafunzi wa Shule ya Sekondari ya Bwiru lililoungua wiki hii.

Akiwa Shuleni hapo Mhe Gabriel amewakabidhi Wanafunzi 76 Masanduku, Nguo, Makufuli na Shuka za kulalia ambayo ni michango inayoendelea kutolewa na Wadau mbalimbali wa Mwanza walioguswa na janga la moto huo.

"Naomba mtulie msiwe na shaka na badala yake ongezeni bidii ya masomo, tambueni Serikali ipo nanyi ndiyo maana mnaniona tangu siku ya ajali ya moto nipo hapa kuhakikisha kila kitu kinakaa sawa kama awali" Mkuu wa Mkoa.


Amesema ameridhishwa na kazi ya ujenzi wa Bweni na kuwataka Walimu wenye Taaluma ya Uhandisi kutoka Shule hiyo kushiriki ujenzi wa Bweni hilo na kuwahimiza wahusika wote kutanguliza uzalendo ili Wanafunzi hao wapate Bweni bora na la kisasa.

Katika hatua nyingine, Mhe Gabriel amefanya kikao kifupi na Walimu wa Sekondari ya Bwiru na kuwaahidi kuzitatua changamoto zao mbalimbali yakiwemo kuboresha nyumba zao za kuishi na mazingira ya kazi zao.

Baadhi ya Wanafunzi Michael Masatu na Shafii Said wakizungumza kwa niaba ya wenzao wamemshukuru Mkuu huyo wa Mkoa na Serikali ya Awamu ya Sita kwa msaada wa haraka walioutoa kwao mara baada ya Janga hilo la moto na kuahidi kusoma kwa bidii ili kutimiza malengo yao.

Mwalimu Mkuu wa Shule ya Sekondari ya Bwiru Thomas Werema amewaondoa shaka wazazi wa Wanafunzi na kusisitiza mazingira yote yapo salama na Wanafunzi wanaendelea na masomo vizuri.

Bweni la Shule ya Sekondari ya Wavulana ya Bwiru liliteketea na moto siku ya Jumatano kuamkia Alhamisi na vitu vyote vilivyokuwemo   kuangamia na moto huo.

Latest Announcements

  • Tangazo la kukutana na Mhe. Mkuu wa Mkoa wa Mwanza kwa shida mbalimbali.

    soma zaidi
  • TANGAZO LA NANENANE TAREHE 8.8.2025

    soma zaidi
  • View More

Habari Mpya

  • SIKU 100 ZA RAIS DKT. SAMIA: UKEREWE YAPATA AJIRA 127
  • RC MTANDA AWASILI WILAYANI UKEREWE KWA ZIARA YA KIKAZI
  • MWANZA YAIMARISHA UTETEZI WA WATU WENYE ULEMAVU
  • SERIKALI YAAHIDI KUENDELEA KUTOA USHIRIKIANO KWA WADAU WA SEKTA YA BIASHARA
  • CHOROKO KWENYE RAMANI YA UCHUMI WA TAIFA
  • soma zaidi

Wasiliana Nasi

Prime Minister's Office Regional Administration and Local Government Mkoa wa Mwanza
Ofisi ya Mkuu wa Mkoa, Mkoa wa Mwanza, 2 Regional Drive
S.L.P: 119, Mwanza.
Simu: 028-2501037
Barua Pepe: ras@mwanza.go.tz
Simu ya Mkononi: 028-2501037
Balewa/Machemba Road Street
S.L.P: S.L.P 1333, Mwanza
Simu: +255 28 250 1375
Barua Pepe: cd@mwanzacc.go.tz
Simu ya Mkononi: 0768520195
Halmashauri ya Manispaa ya Ilemela
S.L.P: S.L.P 735, Mwanza
Simu: + 255 736 200910
Barua Pepe: md@ilemelamc.go.tz
Simu ya Mkononi:
Halmashauri ya Wilaya ya Magu
S.L.P: S.L.P 200, Magu
Simu: 028-2530035/2530003
Barua Pepe: ded@magudc.go.tz
Simu ya Mkononi:

Viunganishi vya Haraka

  • Maswali Yaulizwayo Mara kwa Mara
  • Makusanyo ya Ndani ya Halmashauri za Mkoa wa Mwanza
  • PReM
  • Fomu ya Ugonjwa
  • Opras fomu
  • Miongozo ya mfumo wa bajeti na Mipango
  • FFARS User Guidelines
  • OFISI MTANDAO

Viunganishi Linganishi

  • Tamisemi
  • Utumishi
  • Tovuti Kuu ya Serikali
  • Salary Slips Portal
  • Tovuti ya Sekreatarieti ya Ajira Tanzania
  • Ofisi ya Taifa ya Takwimu Tanzania
  • Tovuti ya Ikulu
  • Idara ya Habari Maelezo
  • Tovuti Rasmi ya Wananchi
  • Tovuti Kuu ya Takwimu Huria

Social Media

  • Like us on Facebook
  • Follow us on Twitter
  • Find us on Youtube
  • Follow us on Instagram

Copyright ©2016 GWF . All rights reserved.

  • Kanusho
  • Sera ya faragha
  • Maswali ya Mara kwa Mara
  • Ramani ya Tovuti