• barua pepe
  • Maswali ya Mara kwa Mara
  • Wasiliana Nasi
Mwanza Region

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania
Prime Minister's Office Regional Administration and Local Government
Mkoa wa Mwanza

  • Mwanzo
  • Kuhusu sisi
    • Dira na Mwelekeo
    • Historia ya Mkoa
    • Muundo
  • Wilaya
    • Babati
    • Mbulu
    • Hanang
    • Kiteto
    • Simanjiro
  • Idara
    • Utawala na Rasilimali Watu
    • Planning and Management
    • Fedha na Uhasibu
    • Ukaguzi wa Ndani
    • ununuzi na Ugavi
    • Uchumi na Uzalishaji
    • Miundombinu
    • Serikali za Mitaa
    • Social Welfare
    • Tehama
    • Afya
    • Elimu
    • Maji
  • Machapisho
    • Fomu
    • Miongozo
    • Taratibu
    • Ripoti
  • Investments
    • Investment One
    • Investment Two
    • Investment Three
    • Investment Four
    • Investment Five
  • Kituo cha Habari
    • Habari
    • Matangazo
    • Maktaba ya Picha
    • Sports and Games
    • Hotuba
    • Taarifa Kwa vyombo vya habari
    • Maktaba ya Video

RC MWANZA AHIMIZA USHIRIKIANO NA WADAU WA UJENZI

Posted on: February 16th, 2025

RC MWANZA AHIMIZA USHIRIKIANO NA WADAU WA UJENZI.


Mkuu wa Mkoa wa Mwanza, Mhe. Said Mtanda, amesema dhamira ya Serikali ni kuendelea kushirikiana na wadau wa sekta ya ujenzi ili kuhakikisha wananufaika na miradi mikubwa inayotekelezwa na Rais Samia Suluhu Hassan mkoani humo.

Akizungumza katika hafla ya wadau wa sekta ya ujenzi, Iliyoandaliwa na kampuni ya magic builders international limited Tanzania Mhe. Mtanda amebainisha kuwa Serikali inatambua mchango wa mafundi katika maendeleo ya miundombinu na itahakikisha maslahi yao yanalindwa.

Pia ameahidi kushughulikia changamoto ya mafundi kucheleweshewa malipo pindi wanapomaliza kazi kwenye taasisi mbalimbali wakiwemo watu na makampuni.

Katika hafla hiyo mkuu wa mkoa wa Mwanza amekabidhi vifaa vya shule yakiwemo madaftari kwa watoto zaidi ya 300 wa mafundi hao, ambavyo vimetolewa na kampuni ya magic builders international limited ili kuongeza chachu kwa watoto hao kupenda elimu.


Kwa upande wao, mafundi wamezungumzia utayari wa kushirikiana na Serikali katika nyanja mbalimbali, ikiwa ni pamoja na kushiriki uchaguzi mkuu unaotarajiwa kufanyika Oktoba mwaka huu.

Aidha, wameiomba Serikali kurasimisha kundi lao, likiwemo la mafundi rangi, ili waweze kupata fursa kama mikopo na huduma nyingine zinazotolewa kwa makundi mengine kama kundi la waendesha bodaboda.

Katika hotuba yake, Mtanda pia amewaonya vijana wanaoeneza dhana potofu kuwa mtu anaweza kupata pesa bila kufanya kazi ambapo amesisitiza kuwa huo ni upotoshaji mkubwa kwa vijana ambao ndiyo nguvu kazi ya Taifa.

Latest Announcements

  • Tangazo la kukutana na Mhe. Mkuu wa Mkoa wa Mwanza kwa shida mbalimbali.

    soma zaidi
  • TANGAZO LA NANENANE TAREHE 8.8.2025

    soma zaidi
  • View More

Habari Mpya

  • SIKU 100 ZA RAIS DKT. SAMIA: UKEREWE YAPATA AJIRA 127
  • RC MTANDA AWASILI WILAYANI UKEREWE KWA ZIARA YA KIKAZI
  • MWANZA YAIMARISHA UTETEZI WA WATU WENYE ULEMAVU
  • SERIKALI YAAHIDI KUENDELEA KUTOA USHIRIKIANO KWA WADAU WA SEKTA YA BIASHARA
  • CHOROKO KWENYE RAMANI YA UCHUMI WA TAIFA
  • soma zaidi

Wasiliana Nasi

Prime Minister's Office Regional Administration and Local Government Mkoa wa Mwanza
Ofisi ya Mkuu wa Mkoa, Mkoa wa Mwanza, 2 Regional Drive
S.L.P: 119, Mwanza.
Simu: 028-2501037
Barua Pepe: ras@mwanza.go.tz
Simu ya Mkononi: 028-2501037
Balewa/Machemba Road Street
S.L.P: S.L.P 1333, Mwanza
Simu: +255 28 250 1375
Barua Pepe: cd@mwanzacc.go.tz
Simu ya Mkononi: 0768520195
Halmashauri ya Manispaa ya Ilemela
S.L.P: S.L.P 735, Mwanza
Simu: + 255 736 200910
Barua Pepe: md@ilemelamc.go.tz
Simu ya Mkononi:
Halmashauri ya Wilaya ya Magu
S.L.P: S.L.P 200, Magu
Simu: 028-2530035/2530003
Barua Pepe: ded@magudc.go.tz
Simu ya Mkononi:

Viunganishi vya Haraka

  • Maswali Yaulizwayo Mara kwa Mara
  • Makusanyo ya Ndani ya Halmashauri za Mkoa wa Mwanza
  • PReM
  • Fomu ya Ugonjwa
  • Opras fomu
  • Miongozo ya mfumo wa bajeti na Mipango
  • FFARS User Guidelines
  • OFISI MTANDAO

Viunganishi Linganishi

  • Tamisemi
  • Utumishi
  • Tovuti Kuu ya Serikali
  • Salary Slips Portal
  • Tovuti ya Sekreatarieti ya Ajira Tanzania
  • Ofisi ya Taifa ya Takwimu Tanzania
  • Tovuti ya Ikulu
  • Idara ya Habari Maelezo
  • Tovuti Rasmi ya Wananchi
  • Tovuti Kuu ya Takwimu Huria

Social Media

  • Like us on Facebook
  • Follow us on Twitter
  • Find us on Youtube
  • Follow us on Instagram

Copyright ©2016 GWF . All rights reserved.

  • Kanusho
  • Sera ya faragha
  • Maswali ya Mara kwa Mara
  • Ramani ya Tovuti