• barua pepe
  • Maswali ya Mara kwa Mara
  • Wasiliana Nasi
Mwanza Region

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania
Prime Minister's Office Regional Administration and Local Government
Mkoa wa Mwanza

  • Mwanzo
  • Kuhusu sisi
    • Dira na Mwelekeo
    • Historia ya Mkoa
    • Muundo
  • Wilaya
    • Babati
    • Mbulu
    • Hanang
    • Kiteto
    • Simanjiro
  • Idara
    • Utawala na Rasilimali Watu
    • Planning and Management
    • Fedha na Uhasibu
    • Ukaguzi wa Ndani
    • ununuzi na Ugavi
    • Uchumi na Uzalishaji
    • Miundombinu
    • Serikali za Mitaa
    • Social Welfare
    • Tehama
    • Afya
    • Elimu
    • Maji
  • Machapisho
    • Fomu
    • Miongozo
    • Taratibu
    • Ripoti
  • Investments
    • Investment One
    • Investment Two
    • Investment Three
    • Investment Four
    • Investment Five
  • Kituo cha Habari
    • Habari
    • Matangazo
    • Maktaba ya Picha
    • Sports and Games
    • Hotuba
    • Taarifa Kwa vyombo vya habari
    • Maktaba ya Video

RC Mwanza awaondoa shaka Wakazi wa Milimani Mkoani humo

Posted on: June 16th, 2022

Mkuu wa Mkoa wa Mwanza, Mhe Mhandisi Robert Gabriel amewahakikishia wananchi wa Makaazi ya Milimani Mkoani humo kuwa wapo salama kwenye makazi yao na hakuna mtu anayeweza kuwaondoa kwenye maeneo hayo kinyume cha sheria.


Amebainisha hayo leo Juni 15, 2022 wakati akizungumza na wakaazi wa Kata ya Igogo na Pamba alipofika kusikiliza kero za wananchi hao na kukagua maendeleo ya mradi wa kuondoa maji taka kutoka kwenye makazi hayo.


"Maeneo yapo salama, mtu aliyeko juu mlimani anafanana na aliye chini wote ni sawa kwa mujibu wa sheria na ukiwa na leseni ya makazi au hati yako akija mtu analitaka eneo lako basi akuachie mahela na hakuna mtu wakukupokonya, kukufukuza wala kukudhulumu," amesema.


"Mhe Rais amefanya mambo makubwa sana kama mnavyoona huko juu kuna matenki yanaondoa maji taka na kuyaleta kwenye mfumo mkubwa huku chini na kila mtu mwenye eneo huko juu anapimiwa ardhi na kupewa leseni ya makazi ili kumhakikishia usalama wa eneo lake." Mkuu wa Mkoa amesisitiza..


"Ndugu zangu serikali imewekeza zaidi ya Bilioni 2.6 kwenye mradi wa miundombinu ya Maji Taka na unahusisha pia njia za kupanda na kushuka wananchi ambazo nimewaomba wauboreshe kwa kuweka kingo kwenye njia hizo ili wakaazi wapate kuwa salama zaidi." Mkuu wa Mkoa amesisitiza.


"Kwa upande wa kata ya Igogo na zingine tano tuna mradi wa kutambua vipande vya ardhi na kuyatambua rasmi ikiwa ni kuboresha maeneo ya vilima kwahiyo wananchi elfu 12 tumewatambua na tunawapatia leseni za makazi na wizara ya ardhi imewezesha na taarifa zinatumika kwenye mfumo wa anuani za makazi na zitatumiwa kwenye Sensa ya Watu na Makazi. Kamishna wa Ardhi Mkoa, Elia Kamihanda.


Kaimu Mkurugenzi wa Mamlaka ya Maji safi na Usafi wa Mazingira Mwanza, Mhandisi Martha Chuwa amesema kwa kushirikiana na serikali wanatekeleza mradi wa Maji Taka na safi na kaya zipatazo 393 kwa upande wa Igogo na maeneo mengine ambapo kwa ujumla Mradi huo umegharimu bilioni 2.6 na Umeshaanza kutekelezwa.

"Namshukuru sana Mhe. Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania kwa kutuboreshea makazi ya wakaazi wa milimani na tumeona pale mradi wenye zaidi ya Bilioni mbili, nawahakikisha wananchi wangu hakuna atakayehamishwa." Mhe Diwani wa Kata ya Igogo Mhe Ramadhan Mahila.

Latest Announcements

  • Tangazo la kukutana na Mhe. Mkuu wa Mkoa wa Mwanza kwa shida mbalimbali.

    soma zaidi
  • TANGAZO LA NANENANE TAREHE 8.8.2025

    soma zaidi
  • View More

Habari Mpya

  • SIKU 100 ZA RAIS DKT. SAMIA: UKEREWE YAPATA AJIRA 127
  • RC MTANDA AWASILI WILAYANI UKEREWE KWA ZIARA YA KIKAZI
  • MWANZA YAIMARISHA UTETEZI WA WATU WENYE ULEMAVU
  • SERIKALI YAAHIDI KUENDELEA KUTOA USHIRIKIANO KWA WADAU WA SEKTA YA BIASHARA
  • CHOROKO KWENYE RAMANI YA UCHUMI WA TAIFA
  • soma zaidi

Wasiliana Nasi

Prime Minister's Office Regional Administration and Local Government Mkoa wa Mwanza
Ofisi ya Mkuu wa Mkoa, Mkoa wa Mwanza, 2 Regional Drive
S.L.P: 119, Mwanza.
Simu: 028-2501037
Barua Pepe: ras@mwanza.go.tz
Simu ya Mkononi: 028-2501037
Balewa/Machemba Road Street
S.L.P: S.L.P 1333, Mwanza
Simu: +255 28 250 1375
Barua Pepe: cd@mwanzacc.go.tz
Simu ya Mkononi: 0768520195
Halmashauri ya Manispaa ya Ilemela
S.L.P: S.L.P 735, Mwanza
Simu: + 255 736 200910
Barua Pepe: md@ilemelamc.go.tz
Simu ya Mkononi:
Halmashauri ya Wilaya ya Magu
S.L.P: S.L.P 200, Magu
Simu: 028-2530035/2530003
Barua Pepe: ded@magudc.go.tz
Simu ya Mkononi:

Viunganishi vya Haraka

  • Maswali Yaulizwayo Mara kwa Mara
  • Makusanyo ya Ndani ya Halmashauri za Mkoa wa Mwanza
  • PReM
  • Fomu ya Ugonjwa
  • Opras fomu
  • Miongozo ya mfumo wa bajeti na Mipango
  • FFARS User Guidelines
  • OFISI MTANDAO

Viunganishi Linganishi

  • Tamisemi
  • Utumishi
  • Tovuti Kuu ya Serikali
  • Salary Slips Portal
  • Tovuti ya Sekreatarieti ya Ajira Tanzania
  • Ofisi ya Taifa ya Takwimu Tanzania
  • Tovuti ya Ikulu
  • Idara ya Habari Maelezo
  • Tovuti Rasmi ya Wananchi
  • Tovuti Kuu ya Takwimu Huria

Social Media

  • Like us on Facebook
  • Follow us on Twitter
  • Find us on Youtube
  • Follow us on Instagram

Copyright ©2016 GWF . All rights reserved.

  • Kanusho
  • Sera ya faragha
  • Maswali ya Mara kwa Mara
  • Ramani ya Tovuti