• barua pepe
  • Maswali ya Mara kwa Mara
  • Wasiliana Nasi
Mwanza Region

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania
Prime Minister's Office Regional Administration and Local Government
Mkoa wa Mwanza

  • Mwanzo
  • Kuhusu sisi
    • Dira na Mwelekeo
    • Historia ya Mkoa
    • Muundo
  • Wilaya
    • Babati
    • Mbulu
    • Hanang
    • Kiteto
    • Simanjiro
  • Idara
    • Utawala na Rasilimali Watu
    • Planning and Management
    • Fedha na Uhasibu
    • Ukaguzi wa Ndani
    • ununuzi na Ugavi
    • Uchumi na Uzalishaji
    • Miundombinu
    • Serikali za Mitaa
    • Social Welfare
    • Tehama
    • Afya
    • Elimu
    • Maji
  • Machapisho
    • Fomu
    • Miongozo
    • Taratibu
    • Ripoti
  • Investments
    • Investment One
    • Investment Two
    • Investment Three
    • Investment Four
    • Investment Five
  • Kituo cha Habari
    • Habari
    • Matangazo
    • Maktaba ya Picha
    • Sports and Games
    • Hotuba
    • Taarifa Kwa vyombo vya habari
    • Maktaba ya Video

RC Mwanza awataka Maafisa Rasilimali Watu kufanya kazi kwa Weledi

Posted on: June 11th, 2022

_Mkuu wa Mkoa wa Mwanza Mhe Mhandisi Robert Gabriel ametoa wito kwa Maafisa Rasilimaliwatu na Utawala walioko kwenye Serikali kuu, Mamlaka za Serikali za Mitaa, Mashirika ya Umma, Wakala na Taasisi binafsi nchini kuhudhuria Mkutano Mkuu wa Pili wa Maafisa Rasilimaliwatu na Utawala utakaofanyika tarehe 15-17 Juni, 2022.

Amesema hayo leo Juni 11, 2022 wakati wa mkutano na Waandishi wa Habari kwa kushirikiana na kamati tendaji ya umoja wa Maafisa Rasilimaliwatu na Utawala Tanzania ambapo amefafanua kuwa Mkutano huo utafanyika kwenye ukumbi wa Hoteli ya Gold Crest Jijini Mwanza.


Mhe. Mkuu wa Mkoa amefafanua kuwa umoja huo ulioanzishwa na kusajiriwa Februari 13, 2018 nchini umesaidia kuwaunganisha Maafisa Rasilimaliwatu na Utawala kwa lengo la Kubadilishana uzoefu na kuishuri Serikali juu ya namna bora ya usimamizi wa watumishi wa Umma na Sekta binafsi.


Vilevile, Mkuu wa Mkoa amewapongeza Maafisa Rasilimaliwatu na Utawala kwa kukutana Mkoani humo huku akibainisha kuwa itasaidia kuongeza ari ya kuchapa kazi na kuonyana kuhusu utendaji kazi wa kuzingatia Weledi wenye tija.


"Uwepo wa Maafisa Rasilimaliwatu na Utawala zaidi ya 400 hapa jijini ni fursa kwa wafanyabiashara na wadau wa maendeleo na itawapa fursa Maafisa hao kutembelea na kujifunza kwenye vivutio vya kitalii na fursa zilizopo Mkoani Mwanza", amesema.


Mhe Mkuu wa Mkoa amewahakikishia Maafisa hao usalama na amejinasibu  hali ya hewa ni tulivu Jijini humo, uwepo wa vyakula bora na amewakaribisha kushiriki kwenye utambulisho rasmi wa Filamu ya Royal Tour itakayofanyika kwenye viwanja vya Rock City Mall siku ya tarehe 18, Juni 2022.


_Mwisho_

Latest Announcements

  • Tangazo la kukutana na Mhe. Mkuu wa Mkoa wa Mwanza kwa shida mbalimbali.

    soma zaidi
  • TANGAZO LA NANENANE TAREHE 8.8.2025

    soma zaidi
  • View More

Habari Mpya

  • SIKU 100 ZA RAIS DKT. SAMIA: UKEREWE YAPATA AJIRA 127
  • RC MTANDA AWASILI WILAYANI UKEREWE KWA ZIARA YA KIKAZI
  • MWANZA YAIMARISHA UTETEZI WA WATU WENYE ULEMAVU
  • SERIKALI YAAHIDI KUENDELEA KUTOA USHIRIKIANO KWA WADAU WA SEKTA YA BIASHARA
  • CHOROKO KWENYE RAMANI YA UCHUMI WA TAIFA
  • soma zaidi

Wasiliana Nasi

Prime Minister's Office Regional Administration and Local Government Mkoa wa Mwanza
Ofisi ya Mkuu wa Mkoa, Mkoa wa Mwanza, 2 Regional Drive
S.L.P: 119, Mwanza.
Simu: 028-2501037
Barua Pepe: ras@mwanza.go.tz
Simu ya Mkononi: 028-2501037
Balewa/Machemba Road Street
S.L.P: S.L.P 1333, Mwanza
Simu: +255 28 250 1375
Barua Pepe: cd@mwanzacc.go.tz
Simu ya Mkononi: 0768520195
Halmashauri ya Manispaa ya Ilemela
S.L.P: S.L.P 735, Mwanza
Simu: + 255 736 200910
Barua Pepe: md@ilemelamc.go.tz
Simu ya Mkononi:
Halmashauri ya Wilaya ya Magu
S.L.P: S.L.P 200, Magu
Simu: 028-2530035/2530003
Barua Pepe: ded@magudc.go.tz
Simu ya Mkononi:

Viunganishi vya Haraka

  • Maswali Yaulizwayo Mara kwa Mara
  • Makusanyo ya Ndani ya Halmashauri za Mkoa wa Mwanza
  • PReM
  • Fomu ya Ugonjwa
  • Opras fomu
  • Miongozo ya mfumo wa bajeti na Mipango
  • FFARS User Guidelines
  • OFISI MTANDAO

Viunganishi Linganishi

  • Tamisemi
  • Utumishi
  • Tovuti Kuu ya Serikali
  • Salary Slips Portal
  • Tovuti ya Sekreatarieti ya Ajira Tanzania
  • Ofisi ya Taifa ya Takwimu Tanzania
  • Tovuti ya Ikulu
  • Idara ya Habari Maelezo
  • Tovuti Rasmi ya Wananchi
  • Tovuti Kuu ya Takwimu Huria

Social Media

  • Like us on Facebook
  • Follow us on Twitter
  • Find us on Youtube
  • Follow us on Instagram

Copyright ©2016 GWF . All rights reserved.

  • Kanusho
  • Sera ya faragha
  • Maswali ya Mara kwa Mara
  • Ramani ya Tovuti