• barua pepe
  • Maswali ya Mara kwa Mara
  • Wasiliana Nasi
Mwanza Region

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania
Prime Minister's Office Regional Administration and Local Government
Mkoa wa Mwanza

  • Mwanzo
  • Kuhusu sisi
    • Dira na Mwelekeo
    • Historia ya Mkoa
    • Muundo
  • Wilaya
    • Babati
    • Mbulu
    • Hanang
    • Kiteto
    • Simanjiro
  • Idara
    • Utawala na Rasilimali Watu
    • Planning and Management
    • Fedha na Uhasibu
    • Ukaguzi wa Ndani
    • ununuzi na Ugavi
    • Uchumi na Uzalishaji
    • Miundombinu
    • Serikali za Mitaa
    • Social Welfare
    • Tehama
    • Afya
    • Elimu
    • Maji
  • Machapisho
    • Fomu
    • Miongozo
    • Taratibu
    • Ripoti
  • Investments
    • Investment One
    • Investment Two
    • Investment Three
    • Investment Four
    • Investment Five
  • Kituo cha Habari
    • Habari
    • Matangazo
    • Maktaba ya Picha
    • Sports and Games
    • Hotuba
    • Taarifa Kwa vyombo vya habari
    • Maktaba ya Video

RC Mwanza azitaka Halmashauri zote kutenga ardhi kwa Wawekezaji

Posted on: April 14th, 2022

Mkuu wa Mkoa wa Mwanza Mhe,Mhandisi Robert Gabriel amezikumbusha Halmashauri zote Mkoani humo kuweka kipaumbele maeneo ya ardhi kwa ajili ya Wawekezaji.


Mkuu wa Mkoa amesema hayo wakati wa kikao cha Baraza la Biashara la Mkoa wa  Mwanza,amesema Mkoa huo una fursa nyingi za biashara na ardhi ndiyo mtaji wa msingi katika suala la uwekezaji.


"Naagiza maeneo yote yawe yamepimwa ili anapofika mwekezaji kusiwepo na ubabaishaji wa kuanza kumzururisha ili kujenga ushawishi wa kupata chochote,tutapoteza kuwapata wenye nia ya kuwekeza"

Gabriel amesema pia eneo kubwa la Mkoa wa Mwanza ni maji lenye Ziwa Victoria hivyo tunapozungumzia Uchumi wa bluu tutambue fursa zilizopo Ziwani humo likiwemo ufungaji wa Samaki kwa njia ya Vizimba.


"Hizi ni fursa ambazo tuna wajibu wa kuzisimamia na kuweka mazingira mazuri kwa Mwananchi ili kukuza Uchumi wa mtu mmoja mmoja na Taifa Kwa ujumla."


Katika kikao hicho Mkuu huyo wa Mkoa amekiri mgogoro wa kimataifa kwa Mataifa ya Ulaya,Urusi na Ukraine imechangia Uchumi kunyumba na kuchangia bidhaa kupanda bei hasa ya nishati ya Mafuta,amewataka Wafanyabiashara kujenga mshikamano wa pamoja kwa kipindi hiki cha mpito na siyo kutumia nafasi hiyo kumtwisha mzigo mwananchi kutokana na upandaji bei ya bidhaa.


Kikao hicho cha Baraza la Biashara la Mkoa wa Mwanza wamezungumzia na kuweka mikakati mbalimbali ya kukuza Uchumi wa Mkoa huo.


Baraza la Biashara la Mkoa wa Mwanza linawajumuisha Wafanyabishara wakubwa wenye Viwanda,Taasisi za Serikali na binafsi, na wajumbe wa

Mabaraza ya Biashara kutoka Wilaya

 zote za Mkoa wa Mwanza.

Latest Announcements

  • Tangazo la kukutana na Mhe. Mkuu wa Mkoa wa Mwanza kwa shida mbalimbali.

    soma zaidi
  • TANGAZO LA NANENANE TAREHE 8.8.2025

    soma zaidi
  • View More

Habari Mpya

  • SIKU 100 ZA RAIS DKT. SAMIA: UKEREWE YAPATA AJIRA 127
  • RC MTANDA AWASILI WILAYANI UKEREWE KWA ZIARA YA KIKAZI
  • MWANZA YAIMARISHA UTETEZI WA WATU WENYE ULEMAVU
  • SERIKALI YAAHIDI KUENDELEA KUTOA USHIRIKIANO KWA WADAU WA SEKTA YA BIASHARA
  • CHOROKO KWENYE RAMANI YA UCHUMI WA TAIFA
  • soma zaidi

Wasiliana Nasi

Prime Minister's Office Regional Administration and Local Government Mkoa wa Mwanza
Ofisi ya Mkuu wa Mkoa, Mkoa wa Mwanza, 2 Regional Drive
S.L.P: 119, Mwanza.
Simu: 028-2501037
Barua Pepe: ras@mwanza.go.tz
Simu ya Mkononi: 028-2501037
Balewa/Machemba Road Street
S.L.P: S.L.P 1333, Mwanza
Simu: +255 28 250 1375
Barua Pepe: cd@mwanzacc.go.tz
Simu ya Mkononi: 0768520195
Halmashauri ya Manispaa ya Ilemela
S.L.P: S.L.P 735, Mwanza
Simu: + 255 736 200910
Barua Pepe: md@ilemelamc.go.tz
Simu ya Mkononi:
Halmashauri ya Wilaya ya Magu
S.L.P: S.L.P 200, Magu
Simu: 028-2530035/2530003
Barua Pepe: ded@magudc.go.tz
Simu ya Mkononi:

Viunganishi vya Haraka

  • Maswali Yaulizwayo Mara kwa Mara
  • Makusanyo ya Ndani ya Halmashauri za Mkoa wa Mwanza
  • PReM
  • Fomu ya Ugonjwa
  • Opras fomu
  • Miongozo ya mfumo wa bajeti na Mipango
  • FFARS User Guidelines
  • OFISI MTANDAO

Viunganishi Linganishi

  • Tamisemi
  • Utumishi
  • Tovuti Kuu ya Serikali
  • Salary Slips Portal
  • Tovuti ya Sekreatarieti ya Ajira Tanzania
  • Ofisi ya Taifa ya Takwimu Tanzania
  • Tovuti ya Ikulu
  • Idara ya Habari Maelezo
  • Tovuti Rasmi ya Wananchi
  • Tovuti Kuu ya Takwimu Huria

Social Media

  • Like us on Facebook
  • Follow us on Twitter
  • Find us on Youtube
  • Follow us on Instagram

Copyright ©2016 GWF . All rights reserved.

  • Kanusho
  • Sera ya faragha
  • Maswali ya Mara kwa Mara
  • Ramani ya Tovuti