• barua pepe
  • Maswali ya Mara kwa Mara
  • Wasiliana Nasi
Mwanza Region

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania
Prime Minister's Office Regional Administration and Local Government
Mkoa wa Mwanza

  • Mwanzo
  • Kuhusu sisi
    • Dira na Mwelekeo
    • Historia ya Mkoa
    • Muundo
  • Wilaya
    • Babati
    • Mbulu
    • Hanang
    • Kiteto
    • Simanjiro
  • Idara
    • Utawala na Rasilimali Watu
    • Planning and Management
    • Fedha na Uhasibu
    • Ukaguzi wa Ndani
    • ununuzi na Ugavi
    • Uchumi na Uzalishaji
    • Miundombinu
    • Serikali za Mitaa
    • Social Welfare
    • Tehama
    • Afya
    • Elimu
    • Maji
  • Machapisho
    • Fomu
    • Miongozo
    • Taratibu
    • Ripoti
  • Investments
    • Investment One
    • Investment Two
    • Investment Three
    • Investment Four
    • Investment Five
  • Kituo cha Habari
    • Habari
    • Matangazo
    • Maktaba ya Picha
    • Sports and Games
    • Hotuba
    • Taarifa Kwa vyombo vya habari
    • Maktaba ya Video

REO MWANZA AFANYA TATHIMINI YA MATOKEO YA KIDATO CHA NNE NA KUTOA MAAGIZO KWA SHULE ZILIZOFANYA VIBAYA

Posted on: February 6th, 2024

REO MWANZA AFANYA TATHIMINI YA MATOKEO YA KIDATO CHA NNE NA KUTOA MAAGIZO KWA SHULE ZILIZOFANYA VIBAYA


Afisa Elimu Mkoa wa Mwanza Martin Nkwabi amefanya kikao na walimu wakuu wa shule zote za Sekondari za mkoani humo ambazo zimefanya vibaya kwenye matokeo ya kidato cha nne mwaka 2023-2024

Amesema hayo leo Februari 06, 2024 katika ukumbi wa Mkuu wa Mkoa ambapo amekutana na walimu wakuu wote wa shule za Sekondari zilizofanya vibaya katika matokeo ya Kidato cha nne Mwaka 2023-2024 ambapo ni tathimini ya kimkakati ya kila mwaka kwa lengo la kutokomeza ufaulu usiokidhi viwango na kupandisha ufaulu mkoani humo.

“Mwaka jana tulikuwa na shule 53 zilizokuwa na ufaulu mbaya na kati ya hizo ni shule 21 tu ndo ambazo wamefanikiwa kupandisha ufaulu wao mwaka huu, hao wengine wameporomoka sana kulinganisha na matokeao ya zamani na shule hizi zinatoka katika halmashauri ya ukerewe, Jiji la Mwanza Misungwi hazijafanikiwa kupandisha ufaulu kabisa na kukidhi viwango vya ufaulu”, amesema Nkwabi.

Lakini pia amewapongeza sana walimu wa taaluma kwa jitihada zao za kuhakikisha shule zinafanya vizuri katika matokeo, pia ametaka walimu wakuu wa shule huu mwaka kuwa wa mwisho kwa matokeo mabovu katika shule zao.

Nae Afisa Taaluma Mkoa wa Mwanza Aisa Rupia ametoa orodha ya shule zilizopandisha ufaulu na ambazo hazijapindisha ufaulu katika mkoa huo, lakini amezitaka shule zingine kuiga mfano kwenye shule zilizofanya vizuri na kufuta sifuri na rai yake ni kutaka shule zote zipate matokeo chanya huku akihamasisha uwajibikaji na kujitoa mashuleni.

“Tunazipongeza kwa dhati shule zilizofuta daraja sifuri rai shule ziandae mikakati ya kufuta sifuri katika mkoa wa Mwanza wanafunzi wajengewe uwezo wa kufanya vizuri zaidi kitaaluma,”amesema Afisa Taaluma

Huo ni muendelezo wa kuleta matokeo chanya ya kielimu katika mkoa wa Mwanza kwenye shule za Sekondari, tathimini hizo hufanyika kila mwaka kwa dhumuni la kuboresha kupandisha ufaulu na kutokomeza sifuri.

Latest Announcements

  • Tangazo la kukutana na Mhe. Mkuu wa Mkoa wa Mwanza kwa shida mbalimbali.

    soma zaidi
  • TANGAZO LA NANENANE TAREHE 8.8.2025

    soma zaidi
  • View More

Habari Mpya

  • SIKU 100 ZA RAIS DKT. SAMIA: UKEREWE YAPATA AJIRA 127
  • RC MTANDA AWASILI WILAYANI UKEREWE KWA ZIARA YA KIKAZI
  • MWANZA YAIMARISHA UTETEZI WA WATU WENYE ULEMAVU
  • SERIKALI YAAHIDI KUENDELEA KUTOA USHIRIKIANO KWA WADAU WA SEKTA YA BIASHARA
  • CHOROKO KWENYE RAMANI YA UCHUMI WA TAIFA
  • soma zaidi

Wasiliana Nasi

Prime Minister's Office Regional Administration and Local Government Mkoa wa Mwanza
Ofisi ya Mkuu wa Mkoa, Mkoa wa Mwanza, 2 Regional Drive
S.L.P: 119, Mwanza.
Simu: 028-2501037
Barua Pepe: ras@mwanza.go.tz
Simu ya Mkononi: 028-2501037
Balewa/Machemba Road Street
S.L.P: S.L.P 1333, Mwanza
Simu: +255 28 250 1375
Barua Pepe: cd@mwanzacc.go.tz
Simu ya Mkononi: 0768520195
Halmashauri ya Manispaa ya Ilemela
S.L.P: S.L.P 735, Mwanza
Simu: + 255 736 200910
Barua Pepe: md@ilemelamc.go.tz
Simu ya Mkononi:
Halmashauri ya Wilaya ya Magu
S.L.P: S.L.P 200, Magu
Simu: 028-2530035/2530003
Barua Pepe: ded@magudc.go.tz
Simu ya Mkononi:

Viunganishi vya Haraka

  • Maswali Yaulizwayo Mara kwa Mara
  • Makusanyo ya Ndani ya Halmashauri za Mkoa wa Mwanza
  • PReM
  • Fomu ya Ugonjwa
  • Opras fomu
  • Miongozo ya mfumo wa bajeti na Mipango
  • FFARS User Guidelines
  • OFISI MTANDAO

Viunganishi Linganishi

  • Tamisemi
  • Utumishi
  • Tovuti Kuu ya Serikali
  • Salary Slips Portal
  • Tovuti ya Sekreatarieti ya Ajira Tanzania
  • Ofisi ya Taifa ya Takwimu Tanzania
  • Tovuti ya Ikulu
  • Idara ya Habari Maelezo
  • Tovuti Rasmi ya Wananchi
  • Tovuti Kuu ya Takwimu Huria

Social Media

  • Like us on Facebook
  • Follow us on Twitter
  • Find us on Youtube
  • Follow us on Instagram

Copyright ©2016 GWF . All rights reserved.

  • Kanusho
  • Sera ya faragha
  • Maswali ya Mara kwa Mara
  • Ramani ya Tovuti