• barua pepe
  • Maswali ya Mara kwa Mara
  • Wasiliana Nasi
Mwanza Region

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania
Prime Minister's Office Regional Administration and Local Government
Mkoa wa Mwanza

  • Mwanzo
  • Kuhusu sisi
    • Dira na Mwelekeo
    • Historia ya Mkoa
    • Muundo
  • Wilaya
    • Babati
    • Mbulu
    • Hanang
    • Kiteto
    • Simanjiro
  • Idara
    • Utawala na Rasilimali Watu
    • Planning and Management
    • Fedha na Uhasibu
    • Ukaguzi wa Ndani
    • ununuzi na Ugavi
    • Uchumi na Uzalishaji
    • Miundombinu
    • Serikali za Mitaa
    • Social Welfare
    • Tehama
    • Afya
    • Elimu
    • Maji
  • Machapisho
    • Fomu
    • Miongozo
    • Taratibu
    • Ripoti
  • Investments
    • Investment One
    • Investment Two
    • Investment Three
    • Investment Four
    • Investment Five
  • Kituo cha Habari
    • Habari
    • Matangazo
    • Maktaba ya Picha
    • Sports and Games
    • Hotuba
    • Taarifa Kwa vyombo vya habari
    • Maktaba ya Video

SERIKALI ITAENDELEA KUTHAMINI MCHANGO WA WANASAYANSI NCHINI - DKT. BITEKO

Posted on: November 13th, 2024

SERIKALI ITAENDELEA KUTHAMINI MCHANGO WA WANASAYANSI NCHINI - DKT. BITEKO


Naibu Waziri Mkuu na Waziri wa Nishati Mhe. Dkt. Doto Biteko amesema  Serikali ya Tanzania itaendelea kushirikiana na kuwajengea mazingira mazuri wanasayansi nchini ili kuenzi mchango wao katika kuimarisha sekta ya afya.

Dkt. Biteko ametoa wito huo leo Novemba 13, 2024 wakati akifungua Kongamano la Kimataifa la Sayansi lililoandaliwa na Chuo Kikuu cha Sayansi (CUHAS) katika hoteli ya Malaika Ilemela Mwanza.

Amesema wanasayansi wana mchango mkubwa katika kukabili majanga ya kiafya mathalani maradhi ya mlipuko kupitia tafiti zao wanazofanya ambazo zinatoa majibu ya chanzo na namna ya kukabiliana na maradhi fulani kupitia machapisho wanayotoa.

Aidha, amewapongeza Chuo Kikuu cha Sayansi Bugando kwa kutoa zaidi ya machapisho 150 ya kisayansi yanayotoa mchango mkubwa kwenye upangaji wa sera nchini na kwa kipekee Prof. Steven Mshana ambaye ameibuka kuwa mwanasayansi bora wa mwaka 2024.

Mkuu wa Mkoa wa Mwanza Mhe. Said Mtanda amesema wananchi wa Mkoa huo wanaishukuru Serikali ya awamu ya sita inayoongozwa na Mhe. Samia Suluhu Hassan Rais wa Tanzania kwa kuupatia Mkoa huo fedha zaidi ya Tshs. Trilioni 6 kutekeleza miradi mbalimbali ya maendeleo.

Vilevile, amebainisha kuwa wananchi wa Mkoa huo wanajivunia uwepo wa Ziwa Victoria ambalo wanalitumia kuwainua kiuchumi katika shughuli za uvuvi na kwamba wananchi wake wana afya njema wanaendelea kuchangia pato la Taifa kwa zaidi ya asilimia 7.2.

Kongamano hilo la 14 lililoandaliwa na hospitali ya kanda ya rufaa Bugando na chuo kikuu cha sayansi kimewakutanisha zaidi ya wataalamu 450 kutoka ndani na nje ya nchi wanaokutana kujadili mustakabali wa magonjwa na namna ya kuyakabili.

Latest Announcements

  • Tangazo la kukutana na Mhe. Mkuu wa Mkoa wa Mwanza kwa shida mbalimbali.

    soma zaidi
  • TANGAZO LA NANENANE TAREHE 8.8.2025

    soma zaidi
  • View More

Habari Mpya

  • SIKU 100 ZA RAIS DKT. SAMIA: UKEREWE YAPATA AJIRA 127
  • RC MTANDA AWASILI WILAYANI UKEREWE KWA ZIARA YA KIKAZI
  • MWANZA YAIMARISHA UTETEZI WA WATU WENYE ULEMAVU
  • SERIKALI YAAHIDI KUENDELEA KUTOA USHIRIKIANO KWA WADAU WA SEKTA YA BIASHARA
  • CHOROKO KWENYE RAMANI YA UCHUMI WA TAIFA
  • soma zaidi

Wasiliana Nasi

Prime Minister's Office Regional Administration and Local Government Mkoa wa Mwanza
Ofisi ya Mkuu wa Mkoa, Mkoa wa Mwanza, 2 Regional Drive
S.L.P: 119, Mwanza.
Simu: 028-2501037
Barua Pepe: ras@mwanza.go.tz
Simu ya Mkononi: 028-2501037
Balewa/Machemba Road Street
S.L.P: S.L.P 1333, Mwanza
Simu: +255 28 250 1375
Barua Pepe: cd@mwanzacc.go.tz
Simu ya Mkononi: 0768520195
Halmashauri ya Manispaa ya Ilemela
S.L.P: S.L.P 735, Mwanza
Simu: + 255 736 200910
Barua Pepe: md@ilemelamc.go.tz
Simu ya Mkononi:
Halmashauri ya Wilaya ya Magu
S.L.P: S.L.P 200, Magu
Simu: 028-2530035/2530003
Barua Pepe: ded@magudc.go.tz
Simu ya Mkononi:

Viunganishi vya Haraka

  • Maswali Yaulizwayo Mara kwa Mara
  • Makusanyo ya Ndani ya Halmashauri za Mkoa wa Mwanza
  • PReM
  • Fomu ya Ugonjwa
  • Opras fomu
  • Miongozo ya mfumo wa bajeti na Mipango
  • FFARS User Guidelines
  • OFISI MTANDAO

Viunganishi Linganishi

  • Tamisemi
  • Utumishi
  • Tovuti Kuu ya Serikali
  • Salary Slips Portal
  • Tovuti ya Sekreatarieti ya Ajira Tanzania
  • Ofisi ya Taifa ya Takwimu Tanzania
  • Tovuti ya Ikulu
  • Idara ya Habari Maelezo
  • Tovuti Rasmi ya Wananchi
  • Tovuti Kuu ya Takwimu Huria

Social Media

  • Like us on Facebook
  • Follow us on Twitter
  • Find us on Youtube
  • Follow us on Instagram

Copyright ©2016 GWF . All rights reserved.

  • Kanusho
  • Sera ya faragha
  • Maswali ya Mara kwa Mara
  • Ramani ya Tovuti