• barua pepe
  • Maswali ya Mara kwa Mara
  • Wasiliana Nasi
Mwanza Region

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania
Prime Minister's Office Regional Administration and Local Government
Mkoa wa Mwanza

  • Mwanzo
  • Kuhusu sisi
    • Dira na Mwelekeo
    • Historia ya Mkoa
    • Muundo
  • Wilaya
    • Babati
    • Mbulu
    • Hanang
    • Kiteto
    • Simanjiro
  • Idara
    • Utawala na Rasilimali Watu
    • Planning and Management
    • Fedha na Uhasibu
    • Ukaguzi wa Ndani
    • ununuzi na Ugavi
    • Uchumi na Uzalishaji
    • Miundombinu
    • Serikali za Mitaa
    • Social Welfare
    • Tehama
    • Afya
    • Elimu
    • Maji
  • Machapisho
    • Fomu
    • Miongozo
    • Taratibu
    • Ripoti
  • Investments
    • Investment One
    • Investment Two
    • Investment Three
    • Investment Four
    • Investment Five
  • Kituo cha Habari
    • Habari
    • Matangazo
    • Maktaba ya Picha
    • Sports and Games
    • Hotuba
    • Taarifa Kwa vyombo vya habari
    • Maktaba ya Video

TRA MWANZA WAANDAA FUTARI MAALUMU KUWASHUKURU WALIPA KODI KWA HIARI

Posted on: March 29th, 2025

TRA MWANZA WAANDAA FUTARI MAALUMU KUWASHUKURU WALIPA KODI KWA HIARI


Mamlaka ya Mapato Tanzania (TRA) Mkoa wa Mwanza wameandaa futari maalumu kwa lengo la kuwapongeza Wananchi wa Mkoa wa Mwanza kwa kulipa kodi kwa hiari ambapo mpaka kufikia sasa tayari Mamlaka wamefikia lengo kwa kukusanya mapato kwa 104%.

Akizungumza katika futari hiyo Mkuu wa Mkoa wa Mwanza Mhe. Said Mtanda ambaye ndiye alikuwa mgeni rasmi amesema ulipaji wa kodi ndio msingi wa maendeleo ya Taifa, na kodi ndio uti wa mgongo wa miradi mbalimbali ambayo inatekelezwa na inayopangwa kutekelezwa na serikali.

Aidha, amewapongeza kwa kufikia lengo la makusanyo ya asilimia 104 na kuwataka kuendelea kutoa elimu ya ulipaji kodi kwa hiari, wananchi waelimishwe vizuri ili walipe kodi bila kushurutishwa na mtu yoyote kwa kuwa hayo ndio maelekezo na maono ya Mhe. Rais Dkt. Samia Suluhu Hassan.

Meneja wa Mamlaka ya Mapato Tanzania (TRA) Mkoa wa Mwanza Bw. Faustine Mdessa amesema walianza shughuli hiyo mapema jana ambapo walitoa msaada katika vituo viwili vya watoto yatima na leo wameamua kukutana na makundi mbalimbali ya wawakilishi wa wananchi kwa lengo la kuwashukuru na kurudisha shukrani kwa Wananchi.

“Niwaombe nyie ambao mmeshiriki sadaka hii maalumu muwe mabalozi wazuri wa ulipaji kodi mkawaambie wenzetu huko wawe wazalendo kwa kulipa kodi kwa hiari”.

Sheikh Wa Mkoa wa Mwanza Alhajj Hassan Kabeke naye amewapongeza Mamlaka hiyo kwa kufanya jambo jema la kuwakumbuka Yatima na wale wenye uhitaji, Aidha amesema katika mjumuiko huo kuna watu wa dini mbalimbali hiyo ikiwa ni ishara ya kwamba sisi Watanzania ni wamoja na hatuna budi kuendeleza mahusiano hayo mema.

Latest Announcements

  • Tangazo la kukutana na Mhe. Mkuu wa Mkoa wa Mwanza kwa shida mbalimbali.

    soma zaidi
  • TANGAZO LA NANENANE TAREHE 8.8.2025

    soma zaidi
  • View More

Habari Mpya

  • SIKU 100 ZA RAIS DKT. SAMIA: UKEREWE YAPATA AJIRA 127
  • RC MTANDA AWASILI WILAYANI UKEREWE KWA ZIARA YA KIKAZI
  • MWANZA YAIMARISHA UTETEZI WA WATU WENYE ULEMAVU
  • SERIKALI YAAHIDI KUENDELEA KUTOA USHIRIKIANO KWA WADAU WA SEKTA YA BIASHARA
  • CHOROKO KWENYE RAMANI YA UCHUMI WA TAIFA
  • soma zaidi

Wasiliana Nasi

Prime Minister's Office Regional Administration and Local Government Mkoa wa Mwanza
Ofisi ya Mkuu wa Mkoa, Mkoa wa Mwanza, 2 Regional Drive
S.L.P: 119, Mwanza.
Simu: 028-2501037
Barua Pepe: ras@mwanza.go.tz
Simu ya Mkononi: 028-2501037
Balewa/Machemba Road Street
S.L.P: S.L.P 1333, Mwanza
Simu: +255 28 250 1375
Barua Pepe: cd@mwanzacc.go.tz
Simu ya Mkononi: 0768520195
Halmashauri ya Manispaa ya Ilemela
S.L.P: S.L.P 735, Mwanza
Simu: + 255 736 200910
Barua Pepe: md@ilemelamc.go.tz
Simu ya Mkononi:
Halmashauri ya Wilaya ya Magu
S.L.P: S.L.P 200, Magu
Simu: 028-2530035/2530003
Barua Pepe: ded@magudc.go.tz
Simu ya Mkononi:

Viunganishi vya Haraka

  • Maswali Yaulizwayo Mara kwa Mara
  • Makusanyo ya Ndani ya Halmashauri za Mkoa wa Mwanza
  • PReM
  • Fomu ya Ugonjwa
  • Opras fomu
  • Miongozo ya mfumo wa bajeti na Mipango
  • FFARS User Guidelines
  • OFISI MTANDAO

Viunganishi Linganishi

  • Tamisemi
  • Utumishi
  • Tovuti Kuu ya Serikali
  • Salary Slips Portal
  • Tovuti ya Sekreatarieti ya Ajira Tanzania
  • Ofisi ya Taifa ya Takwimu Tanzania
  • Tovuti ya Ikulu
  • Idara ya Habari Maelezo
  • Tovuti Rasmi ya Wananchi
  • Tovuti Kuu ya Takwimu Huria

Social Media

  • Like us on Facebook
  • Follow us on Twitter
  • Find us on Youtube
  • Follow us on Instagram

Copyright ©2016 GWF . All rights reserved.

  • Kanusho
  • Sera ya faragha
  • Maswali ya Mara kwa Mara
  • Ramani ya Tovuti