• barua pepe
  • Maswali ya Mara kwa Mara
  • Wasiliana Nasi
Mwanza Region

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania
Prime Minister's Office Regional Administration and Local Government
Mkoa wa Mwanza

  • Mwanzo
  • Kuhusu sisi
    • Dira na Mwelekeo
    • Historia ya Mkoa
    • Muundo
  • Wilaya
    • Babati
    • Mbulu
    • Hanang
    • Kiteto
    • Simanjiro
  • Idara
    • Utawala na Rasilimali Watu
    • Planning and Management
    • Fedha na Uhasibu
    • Ukaguzi wa Ndani
    • ununuzi na Ugavi
    • Uchumi na Uzalishaji
    • Miundombinu
    • Serikali za Mitaa
    • Social Welfare
    • Tehama
    • Afya
    • Elimu
    • Maji
  • Machapisho
    • Fomu
    • Miongozo
    • Taratibu
    • Ripoti
  • Investments
    • Investment One
    • Investment Two
    • Investment Three
    • Investment Four
    • Investment Five
  • Kituo cha Habari
    • Habari
    • Matangazo
    • Maktaba ya Picha
    • Sports and Games
    • Hotuba
    • Taarifa Kwa vyombo vya habari
    • Maktaba ya Video

TULINDE NGUVU KAZI YA TAIFA KWA KUSHIRIKIANA KUTOKOMEZA MARALIA: RAS BALANDYA

Posted on: April 29th, 2024

TULINDE NGUVU KAZI YA TAIFA KWA KUSHIRIKIANA KUTOKOMEZA MARALIA: RAS BALANDYA


Viongozi wa Sekta ya Afya, Marafiki wa Maendeleo kwenye masuala ya Afya pamoja na viongozi wa dini wamekumbushwa kuunganisha nguvu pamoja katika mapambano dhidi ya ugonjwa wa Maralia ili kulinda nguvu kazi ya Taifa.

Rai hiyo ameitoa leo Aprili 29, 2024 na Katibu Tawala Mkoa wa Mwanza Balabdya Elikana wakati wa uhamasishaji wa kampeni ya ugawaji wa vyandarua Milioni 1.4 kwa Halmashauri 6 bila malipo zikiwalenga kaya zote ambazo zinakabiliwa na changamoto ya ugonjwa huo.

Balandya amebainisha kuwa licha ya takwimu kuonesha maambukizi ya Maralia kushuka kutoka asilimia 8 mwaka 2017 hadi 8% mwaka 2022 Mkoani Mwanza lakini bado nguvu ya ziada inahitajika kuutokomeza kabisa.

"Kwenye vituo vya afya bado kuna idadi kubwa ya wagonjwa wa Maralia wanaofika kupatiwa matibabu, unakuta baadhi ya watu wanatumia vyandarua kuvulia samaki au kufugia kuku hii maana yake bado Jamii inahitaji mkazo wa kuelimishwa," Mtendaji wa Mkoa.

Aidha ameipongeza Wizara ya afya, Ofisi ya Rais- TAMISEMI pamoja na Marafiki wa Maendeleo kwenye sekta ya afya kuja na mpango huo ambao una nia njema ya kujenga afya ya Watanzania.

"Hapa tukumbushane tena wahusika wote katika ugawaji huu wa vyandarua tusiende kwenye kaya na kuanza kutanguliza masharti kabla ya kugawa, hapo tutakuwa tunapindisha malengo yetu," amesisitiza Balandya.

Aidha, ameitaka Jamii kuhakikisha inaunga mkono jitihada hizo za Serikali katika kampeni kama hizo na kuwaepuka baadhi wenye kauli potofu kuwa vyandarua hivyo vinapunguza nguvu za kiume ukivitumia.

Mganga Mkuu wa Mkoa wa Mwanza Thomas Rutachunzibwa amebainisha kuwa wamejipanga vizuri kuhakikisha elimu inatokewa kwa ufasaha kuanzia kwenye kaya hasa usafi wa mazingira wanayoishi.

"Kampeni hii imelenga Halmashauri za Buchosa, Kwimba,Magu, Misungwi, Sengerema na Ukerewe ambazo zimeonesha bado zinakabiliwa na changamoto ya Maralia", Stella Kajange,Mratibu wa Maralia na udhibiti wa wadudu wadhurifu OR-TAMISEMI.

Latest Announcements

  • Tangazo la kukutana na Mhe. Mkuu wa Mkoa wa Mwanza kwa shida mbalimbali.

    soma zaidi
  • TANGAZO LA NANENANE TAREHE 8.8.2025

    soma zaidi
  • View More

Habari Mpya

  • SIKU 100 ZA RAIS DKT. SAMIA: UKEREWE YAPATA AJIRA 127
  • RC MTANDA AWASILI WILAYANI UKEREWE KWA ZIARA YA KIKAZI
  • MWANZA YAIMARISHA UTETEZI WA WATU WENYE ULEMAVU
  • SERIKALI YAAHIDI KUENDELEA KUTOA USHIRIKIANO KWA WADAU WA SEKTA YA BIASHARA
  • CHOROKO KWENYE RAMANI YA UCHUMI WA TAIFA
  • soma zaidi

Wasiliana Nasi

Prime Minister's Office Regional Administration and Local Government Mkoa wa Mwanza
Ofisi ya Mkuu wa Mkoa, Mkoa wa Mwanza, 2 Regional Drive
S.L.P: 119, Mwanza.
Simu: 028-2501037
Barua Pepe: ras@mwanza.go.tz
Simu ya Mkononi: 028-2501037
Balewa/Machemba Road Street
S.L.P: S.L.P 1333, Mwanza
Simu: +255 28 250 1375
Barua Pepe: cd@mwanzacc.go.tz
Simu ya Mkononi: 0768520195
Halmashauri ya Manispaa ya Ilemela
S.L.P: S.L.P 735, Mwanza
Simu: + 255 736 200910
Barua Pepe: md@ilemelamc.go.tz
Simu ya Mkononi:
Halmashauri ya Wilaya ya Magu
S.L.P: S.L.P 200, Magu
Simu: 028-2530035/2530003
Barua Pepe: ded@magudc.go.tz
Simu ya Mkononi:

Viunganishi vya Haraka

  • Maswali Yaulizwayo Mara kwa Mara
  • Makusanyo ya Ndani ya Halmashauri za Mkoa wa Mwanza
  • PReM
  • Fomu ya Ugonjwa
  • Opras fomu
  • Miongozo ya mfumo wa bajeti na Mipango
  • FFARS User Guidelines
  • OFISI MTANDAO

Viunganishi Linganishi

  • Tamisemi
  • Utumishi
  • Tovuti Kuu ya Serikali
  • Salary Slips Portal
  • Tovuti ya Sekreatarieti ya Ajira Tanzania
  • Ofisi ya Taifa ya Takwimu Tanzania
  • Tovuti ya Ikulu
  • Idara ya Habari Maelezo
  • Tovuti Rasmi ya Wananchi
  • Tovuti Kuu ya Takwimu Huria

Social Media

  • Like us on Facebook
  • Follow us on Twitter
  • Find us on Youtube
  • Follow us on Instagram

Copyright ©2016 GWF . All rights reserved.

  • Kanusho
  • Sera ya faragha
  • Maswali ya Mara kwa Mara
  • Ramani ya Tovuti